Chanzo cha umaskini wa Waafrika ni viongozi wa kisiasa na wa kidini

Chanzo cha umaskini wa Waafrika ni viongozi wa kisiasa na wa kidini

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,
Lengo kubwa la Waafrika kupigana vita dhidi ya wakoloni ilikuwa ni kurudisha ardhi na heshima yao ambazo zilikuwa zimechukuliwa na wanasiasa na viongozi wa dini wa kikoloni siyo kurejesha DEMOCRACY.

Leo hii taasisi za kidini na wanasiasa ndiyo wanamiliki ARDHI na UTU kwa kumiliki ardhi na mali kibao kwa kisingizio cha DEMOCRACY na AMANI.

Kama WAAFRIKA hatutaamka na kuanzisha vita dhi ya watu hawa WANASIASA na VIONGOZI wa dini basi UMASKINI utakuwa ni HAKI yetu milele kwa kuwa WANASIASA na viongozi wa DINI ni pipa na mfuniko,wao ndiyo sababu ya vita,maisha magumu,madeni yasiyolopika na mauaji ya raia huko DRC,Kenya,Somalia,Libya,Mali,nk.
 
Kwahiyo viongozi wa kisiasa na kidini ndio wamesababisha uwe kula kulala bure hapo kwa shemeji yako alipoolewa dada yako.

Pumbavu. Amka kafanye kazi uondokane na huo umaskini. Acha kubet bwege wewe.
Taswira ya mtu huanzia kwenye majina anayojiita yeye mwenyewe lwa utambulisho kama ulivyofanya wewe kujiita "muuza madafu wa ikulu" kitu ambacho kinaonesha wewe ni KIBUDU hujui unatoka wapi na unaenda wapi bali unafuata upepo kama bendera kwa misemo ya mihemko na siasa za maji taka.

Siasa na dini siyo mtaji kwako tena jitafakari siyo muda mrefu utaelewa hilo.

Siyo wote walioko humu ni mbuzi kama wewe hivyo waache wenye kujitambua walioandikiwa huu uzi wataelewa siyo wewe JUHA.

Mwisho siyo kila uzi humu umeandikiwa wewe au ni lazima uchangie jiangalie bwege wewe
 
Chanzo cha umasikini ni kutojitambua, kutotambua rasilimali zinazokuzunguka na jinsi ya kuzitumia.
Hakuna mwafrika anayejitambua akiwa chini ya dini za kuja(i.e:uislam,ukristo,nk) kwa kuiga mfumo wa maisha ya wakoloni ikiwemo siasa.

Nchi za Afrika Magharibi kama Mali,nk zimeweza kulipa madeni yao chini ya viongozi wa Junta na siyo wa KISIASA wala KIDINI unadhani ni kwanini??
 
Habarini,
Lengo kubwa la Waafrika kupigana vita dhidi ya wakoloni ilikuwa ni kurudisha ardhi na heshima yao ambazo zilikuwa zimechukuliwa na wanasiasa na viongozi wa dini wa kikoloni siyo kurejesha DEMOCRACY.

Leo hii taasisi za kidini na wanasiasa ndiyo wanamiliki ARDHI na UTU kwa kumiliki ardhi na mali kibao kwa kisingizio cha DEMOCRACY na AMANI.

Kama WAAFRIKA hatutaamka na kuanzisha vita dhi ya watu hawa WANASIASA na VIONGOZI wa dini basi UMASKINI utakuwa ni HAKI yetu milele kwa kuwa WANASIASA na viongozi wa DINI ni pipa na mfuniko,wao ndiyo sababu ya vita,maisha magumu,madeni yasiyolopika na mauaji ya raia huko DRC,Kenya,Somalia,Libya,Mali,nk.
Kwani hawa wazungu, waarabu, waasia wanaokuja Africa na kutàjirika hào viongozi wa dini na kisiasa huwà hawapo?
 
Back
Top Bottom