Tangu nianze kukuona humu jamii forum,hasa katika mada hiz ,hujawahi kufafanua kitu wewe kama wewe zaid ya kuuliza maswal.hatuko hapa kukujibu kila unachouliza bali kutoa hoja za msingi zitakazo tujaza maarifa.inawezekana we unajua kitu falan mi sijui ama kinyume chake,sa we ukiwa kila siku unauliza tuuuu,bila kuandika unachojua wewe tutafika??,.afu cha ajabu unajibiwa lakini bado unazalisha maswali pacha.afu huelewi kha!!,,
hahaha sijui chochote jibu hayo maswali we si unajifanya hakuna mungu utaelewa tu jibu maswali si umedandia mada
Utasapoti vipi kitu ambacho hukijui freeideas? Ningekuona una hoja kama ungekuwa mmoja wapo wakutaka kujua ni kivipi hizo nishati zimepelekea kutokea kwa viumbe, but hauoneshi hata dalili yakutaka kujua zaid ya kusupport ma kukandia dini. You are bias against religion without supporting reasons
Sijadandia mada we mdandiaji na maswali yako yasiyoisha
si umesema unasupport ili kuprove lazima maswali lazima ujibu
MTAZAMO WANGU Kutokana na tafiti ndogo nilizo ninadhani mwanzo kabisa kabla ya kuwepo chochote kulikuwa hakuna kitu yaani utupu.
Katika huu utupu kulikuwa na Nguvu au nishati isiyo umbwa ya NISHATI YA BARIDI na umeme na nyinginezo
Kwa hiyo hizi nishati zisizo umbwasiku hadi siku zilikuwa katika hali ya mabadiliko jambo liliko sababisha kuongeza ku umbika kwa nishati au vitu vingine vinavyo umbika vyenyewe kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinaumbika AUTOMATIC.
.Na hisi kabisa mwanzo kabisa kulikuwa na utupu katika huo utupu kulikuwa na nishati mbalimbali zilizo kuwepo. Muunganiko wa hizo nishati ulisababisha utokeaji wa viumbe mbalimbali
Mimi mwanzoni kabisa ya ulimwengu kulikuwa kuna utupu. Baada ya utupu kukaa kwa muda mrefu vitu vyenyewe vikaanza kuumbika automatic.
Mleta mada namuunga mkono
HAKUNA KITU WALA MTU ALIYEKAA NA KUSEMA KWAMBA HIKI KIWE NA HIKI KISIWE,i mean i dont believe in ANYTHING
Inaweza kuwa mojawapo y visababishi ambavyo vinapelekea uhai ama kutokea kwa viumbe,namsapoti kwa sababu Siamini kazika falsafa zaa kidini kwama tuliumbwa
Nice,mkuu,nikuulize swali??,unaamini katika uumbaji??,em nifahamishe kwa point hai niweze kuelewa.
MIMI SIAMINI KATIKA UWEPO WA POWER AMA NGUVU YOYOTE ILE,karibu sana ,nawapenda sana watu kama nyie mnaokariri mafundisho ya mapadri na mapastor bila kujiongeza,.ONDOA UOGA WA DHAMBI KISHA TUJADILI MADA HII KWA MAPANA
comprehension plz, kama una mtoto wa miaka saba mtume aangalie maandishi yako then mwambie a comment juu ya uwezo wa kufikiri wa mwandishi mwenye id yako. lete majibu ya mtoto hapa
comprehension plz, kama una mtoto wa miaka saba mtume aangalie maandishi yako then mwambie a comment juu ya uwezo wa kufikiri wa mwandishi mwenye id yako. lete majibu ya mtoto hapa
tell this nigger mkuu ataamini tu yupo eti tujazane maarifa huku yeye hajui utupu ukoje atuambia unajuaje ule ni utupu sayansi ni kushanga na kugundua bado they no nothing about nature
Hii inazidi kuonesha kwamba uwezo wako wa kufikir n mdogo sana ndugu.yaan badala ya kutoa point ama hoja unaanza kuleta mada za uandishi??,.we unatakiwa utoa hoja sio kuangalia lituo kimekaa wapi hahahha mfa maji pole sana jipange
Unasema dunia imeumbwa afu huna hata uthibitisho wa hilo.umekariri hadithi za maisha ya wayahudi na jinsi walivokuwa wanajikomboa kutoka utumwani.we ya kwako mbona hukuandikiwa??
utupu unatoaje kitu kama ni hali ya kutokuwepo kitu?
Unajua maana ya Nature unayoisema??,ungejua maana yake hakika ungekuwa upande wangu.Ila kwa kuwa umekaririshwa nahisi hujui,si ajabu ukasema NATURE NI MUNGU WAKO
Nimesema ndani ya utupu au ukiwa kulikuwa na nishati au nguvu zisizo onekana na reaction ya nguvu hizi katika specific condition ulisababisha utokeaje wa vitu.
Haya niliyo yasema ukifikiria juu juu huwezi kuelewa.
nature ni mfumo wa kufumbwa uhalisia uliyewekwa na mungu ili tumtukuze mana ukifa kesho mchango wako ni hewa na hujui what after ,,life is a learning process
MTAZAMO WANGU Kutokana na tafiti ndogo nilizo ninadhani mwanzo kabisa kabla ya kuwepo chochote kulikuwa hakuna kitu yaani utupu.
Katika huu utupu kulikuwa na Nguvu au nishati isiyo umbwa ya NISHATI YA BARIDI na umeme na nyinginezo
Kwa hiyo hizi nishati zisizo umbwasiku hadi siku zilikuwa katika hali ya mabadiliko jambo liliko sababisha kuongeza ku umbika kwa nishati au vitu vingine vinavyo umbika vyenyewe kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinaumbika AUTOMATIC.
.Na hisi kabisa mwanzo kabisa kulikuwa na utupu katika huo utupu kulikuwa na nishati mbalimbali zilizo kuwepo. Muunganiko wa hizo nishati ulisababisha utokeaji wa viumbe mbalimbali
Mimi mwanzoni kabisa ya ulimwengu kulikuwa kuna utupu. Baada ya utupu kukaa kwa muda mrefu vitu vyenyewe vikaanza kuumbika automatic.
Mleta mada namuunga mkono
HAKUNA KITU WALA MTU ALIYEKAA NA KUSEMA KWAMBA HIKI KIWE NA HIKI KISIWE,i mean i dont believe in ANYTHING
Inaweza kuwa mojawapo y visababishi ambavyo vinapelekea uhai ama kutokea kwa viumbe,namsapoti kwa sababu Siamini kazika falsafa zaa kidini kwama tuliumbwa
Hii inazidi kuonesha kwamba uwezo wako wa kufikir n mdogo sana ndugu.yaan badala ya kutoa point ama hoja unaanza kuleta mada za uandishi??,.we unatakiwa utoa hoja sio kuangalia lituo kimekaa wapi hahahha mfa maji pole sana jipange
Unasema dunia imeumbwa afu huna hata uthibitisho wa hilo.umekariri hadithi za maisha ya wayahudi na jinsi walivokuwa wanajikomboa kutoka utumwani.we ya kwako mbona hukuandikiwa??
Sio Vituo, nataka a comment mtiririko wa hoja zako na utaalam wa kupinga na kuunga mkono...mpe mtoto wako jifanye sio wewe, lakini ulete kile mtoto atakuwa ame note kwa mwandishi wewe. Be honesty
Ona sasa unavochanganya mafile,hahaha NATURE ni mfumo wa kufumbwa?Ili tumtukuze??,ukifa kisho mchango wako ni hewa????,hujui what after(na hiyo ndo sababu ya watu kumuumba mungu.),Hakika leo nimeamini we ni mtupu,yan pamoja na kukwambia katika threads mbalimbali kwamba ondoa uoga kisha tujadili mada tukiwa huru huafanya hivo.Unaulizwa nature unataja kuabudu!!,kuabudu nn??,hivi we unaweza kumfundisha mtu hata dini??,kama ndo umekariri hivyo??,.mtu asiye jua lolote katika dini si utampiga makofi ?,usiogope kijana hata kama umeshika dini jadili ukiwa huru
Sio Vituo, nataka a comment mtiririko wa hoja zako na utaalam wa kupinga na kuunga mkono...mpe mtoto wako jifanye sio wewe, lakini ulete kile mtoto atakuwa ame note kwa mwandishi wewe. Be honesty
Sio Vituo, nataka a comment mtiririko wa hoja zako na utaalam wa kupinga na kuunga mkono...mpe mtoto wako jifanye sio wewe, lakini ulete kile mtoto atakuwa ame note kwa mwandishi wewe. Be honesty