thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 264
Tangu nianze kukuona humu jamii forum,hasa katika mada hiz ,hujawahi kufafanua kitu wewe kama wewe zaid ya kuuliza maswal.hatuko hapa kukujibu kila unachouliza bali kutoa hoja za msingi zitakazo tujaza maarifa.inawezekana we unajua kitu falan mi sijui ama kinyume chake,sa we ukiwa kila siku unauliza tuuuu,bila kuandika unachojua wewe tutafika??,.afu cha ajabu unajibiwa lakini bado unazalisha maswali pacha.afu huelewi kha!!,,
hahaha sijui chochote jibu hayo maswali we si unajifanya hakuna mungu utaelewa tu jibu maswali si umedandia mada