Chanzo cha viumbe vyote(Kisayansi)


hahaa.. kumbe ni mfuasi wa Darwin,,,asante kwa shule mkuu,, haya mambo magumu sana ni imani tu ndo cha msingi. Biblia inasema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi (nchi maana yake dunia) haifafanui lini Mungu aliumba, hiyo itabaki kuwa siri ya Mungu,,, hata sayansi ina theorize tu kwa hili
 
Mungu ni nn??,kwa hiyo mungu ni nishat??

Why do you like to assume? Assumption syndrome belongs to non theists, are you one of them?

Jibu swali: Dunia ina umri gani?

Jibu swali: Kivipi Mungu hawezi kuhusishwa na Nishati?

I don't think those are rocket science questions.
 

Kama nchi maana yake Dunia,unaongelea vipi sayari kama Mars,Jupiter Venus n.k??,nazo ziliumbwa na mungu??,maana Earth (dunia)ni mojawapo wa sayari hizo.Basi nifahamishe kama mungu aliumba pia mars na vingine vyote kama hivyo na nambie wapi inaonesha hayo.
 

Vertical Thinking: Neurosurgeon Ben Carson Rejects Darwinian Evolution
 
Why do you like to assume? Assumption syndrome belongs to non theists, are you one of them?

Jibu swali: Dunia ina umri gani?

Jibu swali: Kivipi Mungu hawezi kuhusishwa na Nishati?

I don't think those are rocket science questions.

Maswali haya nishamjibu mdau mmoja hapo juu ila ntakujibu.
Dunia inakadiriwa kuwa na umri wa miaka 4.5 billions.na uhai ulianza duniani miaka 3.5 billions iliyopita.

Kuhusu nishati na MUNGU ,NIKUULIZE WEWE,maana unadai kwamba wanauhusiano na mikatka unithibitishie hilo
 

Annex the quote and or show me the post.

Prove to me that the earth is 4.5 Billions years. I need impeccable evidence and not vain fallacious dogmas.
 
Kuhusu nishati na MUNGU ,NIKUULIZE WEWE,maana unadai kwamba wanauhusiano na mikatka unithibitishie hilo

Jibu swali: Kivipi Mungu hawezi kuhusishwa na Nishati?

Do you know how to read and understand?
 

Biblia yangu inanambia...in the beginning God created the universe... dunia na sayari nyinginezo zimo
 
Annex the quote and or show me the post.

Prove to me that the earth is 4.5 Billions years. I need impeccable evidence and not vain fallacious dogmas.

Science ist not a Dogma,Dogmas are those u call words of GOD,science can be proved,its questionable and it has got vivid evidences??,sina maabala hapa kwa cm ningekuonesha ushahidi wa kutokea kwa dunia miaka 4.5 billions ilopita.nakushaur jaribu kusoma chunguz na historia mbalimbali.Usisome to Biblia ama koran maana zinafumba mambo haya.
 
Biblia yangu inanambia...in the beginning God created the universe... dunia na sayari nyinginezo zimo

Naomba andiko lisemalo"" in the beginning God created the Universe ..?
 
Jibu swali: Kivipi Mungu hawezi kuhusishwa na Nishati?

Do you know how to read and understand?

Nishati sio mungu,nishati inaelezeka jinsi inavotokea na mungu kamwe Haelezeki bali kwa IMANI.,
 

How do you question " a non existence God"?
 
Nishati sio mungu,nishati inaelezeka jinsi inavotokea na mungu kamwe Haelezeki bali kwa IMANI.,

How did you come to that?

Bado unashindwa kusema kwanini Mungu hawezi kuhusishwa na Nishati. Did I say God is Energy?

How do you get energy "ex nihilo"?
 
How did you come to that?

Bado unashindwa kusema kwanini Mungu hawezi kuhusishwa na Nishati. Did I say God is Energy?

How do you get energy "ex nihilo"?

Hawezi kuhusishwa na nishati kwa sababu HAYUPO
 
Hawezi kuhusishwa na nishati kwa sababu HAYUPO

Hayupo wapi? How did you come to that?

Prove to me that "HAYUPO"

Give me airtight evidences to support that "hayupo" na kwanini hayupo?
 

Kwa wale tuliosoma shule ya msingi miaka 1990's somo SAYANSIKIMU lilitufundisha usafi na mapishi, hivyo jina lako halinipi shida na unachoandika....umefanya utafiti, tueleze umetumia aina gani ya research methodology, ume-analyse data zako kwa njia gani ili niweze kukuunga mkono, bila hivyo jina lako limenikumbusha somo nililolipenda sana SAYANSIKIMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…