Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
Unamuunga mkono kwa kutype hayo maneno yako ya ''namuunga mkono'', kivipi?
HAKUNA KITU WALA MTU ALIYEKAA NA KUSEMA KWAMBA HIKI KIWE NA HIKI KISIWE,i mean i dont believe in ANYTHING
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuunga mkono kwa kutype hayo maneno yako ya ''namuunga mkono'', kivipi?
HAKUNA KITU WALA MTU ALIYEKAA NA KUSEMA KWAMBA HIKI KIWE NA HIKI KISIWE,i mean i dont believe in ANYTHING
That means unakubaliana kuwa viumbe chimbuko lake ni nishati alizozitaja mtoa mada? Nishati alizozitaja mtoa mada ni baridi na umeme. Do you agree with him?
HAKUNA KITU WALA MTU ALIYEKAA NA KUSEMA KWAMBA HIKI KIWE NA HIKI KISIWE,i mean i dont believe in ANYTHING
Mtoa mada Nenda katubu kwa Mungu wako haraka sana, ushauri tu lakini
utupu ukoje?
Weka picha tafadhari
Mtoa mada Nenda katubu kwa Mungu wako haraka sana, ushauri tu lakini
Mkuu si semi kwamba MUNGU HAYUPO na amini ya kwamba MUNGU YUPO .
Inaweza kuwa mojawapo y visababishi ambavyo vinapelekea uhai ama kutokea kwa viumbe,namsapoti kwa sababu Siamini kazika falsafa zaa kidini kwama tuliumbwa
Utasapoti vipi kitu ambacho hukijui freeideas? Ningekuona una hoja kama ungekuwa mmoja wapo wakutaka kujua ni kivipi hizo nishati zimepelekea kutokea kwa viumbe, but hauoneshi hata dalili yakutaka kujua zaid ya kusupport ma kukandia dini. You are bias against religion without supporting reasons
Utupu au ukiwa ni hali ya kutokuwepo kwa kitu chochote kinacho onekana au kushikika ni hali ya kutokuwepo kitu chochote.
Nice,mkuu,nikuulize swali??,unaamini katika uumbaji??,em nifahamishe kwa point hai niweze kuelewa.
MIMI SIAMINI KATIKA UWEPO WA POWER AMA NGUVU YOYOTE ILE,karibu sana ,nawapenda sana watu kama nyie mnaokariri mafundisho ya mapadri na mapastor bila kujiongeza,.ONDOA UOGA WA DHAMBI KISHA TUJADILI MADA HII KWA MAPANA
Atubu kwa sababu gan,mbona mnajenga uoga bila sababu,we mungu ulishamuona??,
hana sifa ya kuonekana ,,,we utupu ushawahi kuona na sehemu kwenye utupu kukoje giza au?mana huoni kitu je unaona nini kwenye hali ya utupu