Chanzo cha viumbe vyote(Kisayansi)

Chanzo cha viumbe vyote(Kisayansi)

My point.. Hapo mwanzo kulikuwepo neno(Kristo/nguvu/nishati inayoongelewa) nae neno(Kristo/nishati inayoongelewa) alikuwepo kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu...na vitu vyote vilumbwa kutoka kwa huyo neno (Kristo/nishatiinayoongelewa)...nae neno akavaa mwili akakaa kwetu....na tuumbe mwanadam kwa mfano wetu ( God Father, son, holy spirit)

Kwa hiyo hata ss ni miungu.. ile nguvu(nishati inayoongelewa) imo ndani yetu ndo maana unakuta mtu anameditate hadi anaelea hewani.

Hitimisho:Nishati inayoongelewa na sayansi ndo Mungu...hana mwanzo wala mwisho,,,sayansi na dini ni kitu kilekile, ila kimoja kimetangulia mbele zaid ya mwenzake,,, SOMA 'Angels and Demons' by Dan Brown

Hapo ndo unazidi kuchanganya mambo,NISHATI NA MUNGU WAPI NA WAPI?.Nikuulize,Dunia ina umri gani/?
 
[h=3]Genesis 1....[/h]King James Version (KJV)

1 In the beginning God created the heaven and the earth.
2 And the earth was without form, and void; and darkness was upon the face of the deep. And the Spirit of God moved upon the face of the waters.
3 And God said, Let there be light: and there was light.............
 
Katika Uzi wangu flani nilijaribu kuwaeleza watu kuhusu Uumbaji,kwamba hata sisi binadamu tunaweza kuumba!!,ama kwamba uhai haukutoka kwa mungu wenu.bali uhai ulitokana na NON LIVING THINGS.,mfano chukua matope,na takata chafu zote za mabaki ya vitu,weka sehem yenye joto na mgandamizo wa hewa. kisha kisha nenda baada ya siku kadhaa,.utakuta MINYOO,CHAMBO,FUNZA,INZI N.K,,hawa viumbe wametokea tu na sio kwamba MUNGU KASHUKA CHAP CHAP NAKUUMBA ,.Chukua ngozi ya nguruwe kisha iweke juani hata mwaka kisha irudishe ndani mahala pa joto la kawaida baada ya wiki ITAOTA NYWERE,je mungu kahusika??,uhai unatokea AUTOMATICALLY BY CHANCE ,mazingira na wakati.Hii ni ngumu sana kemezwa na watu waliokariri mafundisho ya PADRI NA PASTOR AMA SHEKHE,.sikuzote nawaambia Ukitoa UOGA moyoni utagundua kitu.
 
kuna uwezekano mkubwa kwa mgandamizo wa hewa ndo chanzo cha kutokea viumbe 2kiwemo binadamu e.g kwenye vidole ukiva soksi zenye maji na uvae vi2 kwa masaa kaza kutakua na bacteria kutokana na joto.So naunga mkono mada

Kama ni hivyo mbona haviendelei kutokea viumbe vingine? Miaka na miaka kumekuwepo na viumbe vilevile labda vichache vimedisapear lakini hamna vipya why?
 
Hapo ndo unazidi kuchanganya mambo,NISHATI NA MUNGU WAPI NA WAPI?.Nikuulize,Dunia ina umri gani/?

Umri wa dunia hata sayansi haiwezi kujibu.... kuna maswali mengine hata sayansi haina majibu,, na hiyo ni proof kwamba kuna nguvu (unayoiita nishati) ambayo haiwezi kuelezeka ambayo imefanya kuwepo kwa vitu vyote including dunia,, how? when? no body knows only God (nguvu/nishati/neno/Kristo) hana mwanzo wala mwisho, hana sura, yuko mahali popote, na anaishi ndani yetu,,, ni ngumu kuelewa hay mambo ndo maan dini ina rahisisha ' amini tu'
 
Vitu kuandaliwa plani kabla ya kutengenezwa haimaanishi kuna kuna MUNGU !!,wala haimaanishi hapo mwanzo kuna mtu ama kitu kilifanya plani ya kuumba.

Kufanya plani ni mojawapo ya njia za watu kuyakabili mazingira.Mtu hufikiri kila kikicha nini cha kufanya ili kuyakabili mazingira.

Nikuulize maswali,japo sijajua we dini gani.lakini sio hoja nailiza tu,Dini ama imani yako inazungumziaje Historia,mfano inasema nini kuhusu ICE AGE,STONE AGE,IRON AGE??,ama kidini havikuwepo??,je unakibaliana na mabadiliko ya kigeogradia yaliyotokea katika uso wa dunia mpaka kufika hapa ??,
Je mungu aliumba dunia ikiwa na sura gani?? Je Adam na hawa walikiwa na mwonekano upi??asante

Mkuu Free ideas,

Awali ya yote mimi ni mwislamu, na wala imani yangu haina tatizo na scientific outlook unayoizungumzia. Tukizungumzia concept ya evolution ya natural systems sipati tatizo kwa vile katika imani yangu kuna concept ya Mola Mlezi. Ikimaanisha all evolutionary stages ambazo system objects (created objects) zitahitahitaji kwa ajili ya kupambana na mazingira yao zitapata kutokona na design iliyowaumba.

Hapa nitafafanua. Marekani kuna Bison. Kwa Wao ni kama buffalo. Ukimwangalia ni kama Nyumbu wa hapa ila wa kule ana manyoya mengi sana mwili mzima. Hapa utaona kuwa Bison ana manyoya kwa ajili ya kumhifadhi na baridi ya kule. Lakini huwezi kusema eti Bison walikaa wakasema sasa tutaota manyoya zaidi mwilini mwetu. Tuliopo huku Afrika hatukuitisha kikao na kuamua sasa tutaongeza melanin katika ngozi zetu.

Ama kuhusu ICE age, Iron age, Stone age hizo ni zama ambazo tunafundishwa kuwa kila jamii ilikuwa na zama zake. Wapo walioishi mapangoni nk. Lakini vitabu vyote vya dini huwa mara nyingi vinasimulia kuhusu mazingatio yanayotokana na matendo ya waliotangulia kama darsa kwa waliopo.

Kwa maana hiyo haijalishi hao waliotajwa waliishi kwa kutumia nyenzo zipi.

Mimi imani yangu inanielekeza kwenye Kurani. Na inaeleza kuwa dunia ipo katika umbile la duara. Na duara hiyo ni kama yai la mbuni kwa mtazamo wa mbali. Hayo yaliongewa 1400 years ago. Hii imethibitishwa kuwa kweli.

Hakuna anayejua Adamu na Hawa walikuwa na sura zipi. Ila neno Adam maana yake ni "nyekundu" kwa kiebrania. hapa inaelekea Adam alikuwa na features za aina hiyo. yaani rangi yake juu kidogo ya tunachoita "maji ya kunde".

Lakini ile theory ya Darwin kuwa huenda tulikuwa Gorrilas au Chimpazees, then tuka-evolve na kuwa binadamu wa leo inapingwa na scientists wengi wa siku zetu hizi

Disputing Darwin

binafsi sikubaliani na wazo kuwa Adam na Hawa walikuwa Chimpanzees, pia scientifically usichanganye viwili.

Kama sasa unaenda kwenye dini (maana ndiko kumetajwa Adam na Hawa tuuuu) basi Chimpanzees huwa hawafanyi TOBA kama Adamu na Hawa walivyojitahidi kufanya kwa Mola wao baada ya Makosa yao
 
Last edited by a moderator:
Kama ni hivyo mbona haviendelei kutokea viumbe vingine? Miaka na miaka kumekuwepo na viumbe vilevile labda vichache vimedisapear lakini hamna vipya why?

Una uhakika na ukisemacho??,unafuatilia utafiti??,ama unasoma magazeti ya shigongo tu??,unajua nn kinaendelea duniani??,unadhani kiumbe kipya kitakufuata kwako kuja kujionesha??,
Je unajua umri wa dunia??,unajua mabadiliko yalichukua mda gani kuwa hivi??
 
Umri wa dunia hata sayansi haiwezi kujibu.... kuna maswali mengine hata sayansi haina majibu,, na hiyo ni proof kwamba kuna nguvu (unayoiita nishati) ambayo haiwezi kuelezeka ambayo imefanya kuwepo kwa vitu vyote including dunia,, how? when? no body knows only God (nguvu/nishati/neno/Kristo) hana mwanzo wala mwisho, hana sura, yuko mahali popote, na anaishi ndani yetu,,, ni ngumu kuelewa hay mambo ndo maan dini ina rahisisha ' amini tu'

Unahakika na ulichoandika,majibu yapo wazi mbona.Ngoja nikufahamishe,dunia inakadiriwa kuwa na umri wa miaka 4.5 billions.na uhai katika dunia unakadiriwa kuanza kutokea miaka 3.5,billions.,na uhai haukuanza mara moja kwamba tuna kiumbe hiki na kile,.taratibu uhai ukaanza majini kisha ardhini.sasa we nambie kutokana na Biblia dunia ina umri Gani na lini mungu kaumba??
 
Mkuu Free ideas,

Awali ya yote mimi ni mwislamu, na wala imani yangu haina tatizo na scientific outlook unayoizungumzia. Tukizungumzia concept ya evolution ya natural systems sipati tatizo kwa vile katika imani yangu kuna concept ya Mola Mlezi. Ikimaanisha all evolutionary stages ambazo system objects (created objects) zitahitahitaji kwa ajili ya kupambana na mazingira yao zitapata kutokona na design iliyowaumba.

Hapa nitafafanua. Marekani kuna Bison. Kwa Wao ni kama buffalo. Ukimwangalia ni kama Nyumbu wa hapa ila wa kule ana manyoya mengi sana mwili mzima. Hapa utaona kuwa Bison ana manyoya kwa ajili ya kumhifadhi na baridi ya kule. Lakini huwezi kusema eti Bison walikaa wakasema sasa tutaota manyoya zaidi mwilini mwetu. Tuliopo huku Afrika hatukuitisha kikao na kuamua sasa tutaongeza melanin katika ngozi zetu.

Ama kuhusu ICE age, Iron age, Stone age hizo ni zama ambazo tunafundishwa kuwa kila jamii ilikuwa na zama zake. Wapo walioishi mapangoni nk. Lakini vitabu vyote vya dini huwa mara nyingi vinasimulia kuhusu mazingatio yanayotokana na matendo ya waliotangulia kama darsa kwa waliopo.

Kwa maana hiyo haijalishi hao waliotajwa waliishi kwa kutumia nyenzo zipi.

Mimi imani yangu inanielekeza kwenye Kurani. Na inaeleza kuwa dunia ipo katika umbile la duara. Na duara hiyo ni kama yai la mbuni kwa mtazamo wa mbali. Hayo yaliongewa 1400 years ago. Hii imethibitishwa kuwa kweli.

Hakuna anayejua Adamu na Hawa walikuwa na sura zipi. Ila neno Adam maana yake ni "nyekundu" kwa kiebrania. hapa inaelekea Adam alikuwa na features za aina hiyo. yaani rangi yake juu kidogo ya tunachoita "maji ya kunde".

Lakini ile theory ya Darwin kuwa huenda tulikuwa Gorrilas au Chimpazees, then tuka-evolve na kuwa binadamu wa leo inapingwa na scientists wengi wa siku zetu hizi

Disputing Darwin

binafsi sikubaliani na wazo kuwa Adam na Hawa walikuwa Chimpanzees, pia scientifically usichanganye viwili.

Kama sasa unaenda kwenye dini (maana ndiko kumetajwa Adam na Hawa tuuuu) basi Chimpanzees huwa hawafanyi TOBA kama Adamu na Hawa walivyojitahidi kufanya kwa Mola wao baada ya Makosa yao

Hongera kwa kujitahid kueleza. Maelezo ya dini huwa yanakosa uhalisia linapokuja swala la kuthibitisha uwepo wa MUNGU!.,dini haiwez kabisa kueleza chanzo cha mungu,zaidi ya kuwaaminisha watu kwamba yupo .
 
Last edited by a moderator:
Vitu kuandaliwa plani kabla ya kutengenezwa haimaanishi kuna kuna MUNGU !!,wala haimaanishi hapo mwanzo kuna mtu ama kitu kilifanya plani ya kuumba.

Kufanya plani ni mojawapo ya njia za watu kuyakabili mazingira.Mtu hufikiri kila kikicha nini cha kufanya ili kuyakabili mazingira.

Nikuulize maswali,japo sijajua we dini gani.lakini sio hoja nailiza tu,Dini ama imani yako inazungumziaje Historia,mfano inasema nini kuhusu ICE AGE,STONE AGE,IRON AGE??,ama kidini havikuwepo??,je unakibaliana na mabadiliko ya kigeogradia yaliyotokea katika uso wa dunia mpaka kufika hapa ??,
Je mungu aliumba dunia ikiwa na sura gani?? Je Adam na hawa walikiwa na mwonekano upi??asante


Mkuu Free ideas,

ninachojitahidi kusema hapa ni kuwa PLAN huwa INALITANGULIA jambo. Ramani huwa inaitangulia nyumba kabla ujenzi haujaanza. Kwa maana nyingine njia ya planets zote kwenye solar system LAZIMA ipo planned ndiyo maana hatugongani na Jupiter au kesho tukakuta Mars ipo barazani kwetu. Sasa nachosema ni kuwa hii order sio haphazard lazima ina mwenyewe. Angalia misimu ya kilimo globally. Inajulikana kwa nyakati hadi tarehe za kuanza. Order ipo kila sehemu Mkuu. Yasituhangaishe majina ya KACHORA NANI lakini hii nyumba (Ulimwengu) tunayokaa lazima ina ramani.

Hahahahahaha......... Haya bwana lete mada. am all ears. I love this debate.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Free ideas,

ninachojitahidi kusema hapa ni kuwa PLAN huwa INALITANGULIA jambo. Ramani huwa inaitangulia nyumba kabla ujenzi haujaanza. Kwa maana nyingine njia ya planets zote kwenye solar system LAZIMA ipo planned ndiyo maana hatugongani na Jupiter au kesho tukakuta Mars ipo barazani kwetu. Sasa nachosema ni kuwa hii order sio haphazard lazima ina mwenyewe. Angalia misimu ya kilimo globally. Inajulikana kwa nyakati hadi tarehe za kuanza. Order ipo kila sehemu Mkuu. Yasituhangaishe majina ya KACHORA NANI lakini hii nyumba (Ulimwengu) tunayokaa lazima ina ramani.

Hahahahahaha......... Haya bwana lete mada. am all ears. I love this debate.

Hahaha ucjali mkuu,dunia ama Ulimwengu kuwa na Ramani kama ulivosema sio jambo la ajabu.Ninachomaanisha hapa ni kutokea kwa Huo Ulimwengu ama Dunia Hiyo.Unachotakiwa kujua mkuu ni kwamba hat sasa Dunia ama ulimwengu bado uko katika process.Hii ni Hatua tu katika Hatua ambazo Dunia imepita tangu ITOKEE NA KUTOKEA KWAKE HAKUHUSIANI NA NGUVU WALA NENO LATU AMA KITU CHOCHOTE
 
Last edited by a moderator:
Dunia imepita tangu ITOKEE NA KUTOKEA KWAKE HAKUHUSIANI NA NGUVU WALA NENO LATU AMA KITU CHOCHOTE

Please elezea CHANZO dunia ILIKOTOKEA!!!! Ila usitumie Big Bang (maana hii ni nguvu na pia ni KITU)
 
Please elezea CHANZO dunia ILIKOTOKEA!!!! Ila usitumie Big Bang (maana hii ni nguvu na pia ni KITU)

Nguvu ninayomaanisha hapa ni hiyo muisemayo kwamba ikasema kiwepo jiki na kikawa.Kitu ambacho hadi sasa hakina Uthibitisho zaidi ya Kuamini
 
MTAZAMO WANGU Kutokana na tafiti ndogo nilizo ninadhani mwanzo kabisa kabla ya kuwepo chochote kulikuwa hakuna kitu yaani utupu.

Katika huu utupu kulikuwa na Nguvu au nishati isiyo umbwa ya NISHATI YA BARIDI na umeme na nyinginezo

Kwa hiyo hizi nishati zisizo umbwasiku hadi siku zilikuwa katika hali ya mabadiliko jambo liliko sababisha kuongeza ku umbika kwa nishati au vitu vingine vinavyo umbika vyenyewe kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinaumbika AUTOMATIC.

.Na hisi kabisa mwanzo kabisa kulikuwa na utupu katika huo utupu kulikuwa na nishati mbalimbali zilizo kuwepo. Muunganiko wa hizo nishati ulisababisha utokeaji wa viumbe mbalimbali
Mimi mwanzoni kabisa ya ulimwengu kulikuwa kuna utupu. Baada ya utupu kukaa kwa muda mrefu vitu vyenyewe vikaanza kuumbika automatic.

Nani kakwambia UTUPU sio Kitu?

Can you prove to me that "UTUPU SIO KITU?
 
Hapo ndo unazidi kuchanganya mambo,NISHATI NA MUNGU WAPI NA WAPI?.Nikuulize,Dunia ina umri gani/?

Nishati kivipi haiwezi kuhusishwa na Mungu?

Dunia ina umri ambao hata wana Sayansi hawafahamu,
 
mmesahau kuwa hizo nishati mnazozisema......ndio uwepo wa Mungu aloumba kila kilichomo.sayansi iliumbwa na yeye pia.
 
mmesahau kuwa hizo nishati mnazozisema......ndio huyu Mungu aloumba kila kilichomo.sayansi iliumbwa na yeye pia.

Mungu yupi,muelezee hapa,aliumba lini??,na alikuwa wapi wakati anaumba na chanzo chake yeye ni nn??,(usinambie mambo ya hakuanza na hana mwisho).
 
Back
Top Bottom