Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

Chanzo UHURU USIO NA MIPAKA, sheria za serikali hazitekelezwi kudhibiti ukahaba prostitution wkt sheria za zinaeleza wazi hilo ni kosa la jinai, za dini(torati na Quran) zimezuiwa na za kimila ndiyo kabisaa, sawa na kutokamata wauzaji. Walimaji na watumiaji bange lazma uvutaji bange ushamiri.
 
Biashara pendwa kwasababu;-
(1) huna haja ya kuwa na mtaji
(2) huna haja ya kuwa frem Cha msingi uwe good location
(3)unauza huku unafaidi utamu means mnagawana utam na mteja🤣
Mengne utaongeza mwenyew
Sina hakika kama makahaba suala la kufurahia tendo wanalo! They're after money.
 
Wadada wa watu wa JF hawanashida na Vigwagulo vyao, ukimpa ya Luku anakukatia mauno kama feniii, japo utatoka na kisamaki uvukize udi week, usiingie nae geto ni wezi, anaweza aondoke hata na upawa.
NB : Ni wote.

Mwanaume unayehonga Ili kulinda Penzi HUNA AKILI..
Mwanaume unayehonga Ili kula mzigo, Sikulaumu Sana wewe umegawana akili na nyege.
 
Hivi karibuni kumekua na Lindi la wanawake katika maeneo mabalimbali mpk katka mitandao hii ya kijamii kufanya MIILI YAO kama BIASHARA ikifika kipindi hiki nakumbuka tangu mwenyezi Mungu alivyo umba ulimwengu nakumfanya Hawa kama msaidizi tangu alivyoingia katika kishawishi kudanganywa na nyoka kuhusu kuliwa kwa tunda la Katikati ndipo mmbo yalipo badilika mpk tunaishi kwa masimango duniani hili jambo likamkuta Samsoni kwa Delila aseee mpk Leo ndoa zinaishi kwa uongo tu swali je kama DELILA tu alidanganywe akutane na SAMSON kwenye penzi akiwa pesa zake kafungasha ilimradi tu aingie kwenye penzi zito kwa Samsoni na smson kaleweshwa na penzi unadhani sisi ni akina nani tutapona katika janga hili iliupate uterezi ktka Mbususu na nini alianzisha hili wazo angali Mungu alitoa vyote tuvitumie bure lkn wao kugeuza biashara mimi sio msomi wa bibilia lakini kwa uelewa wangu mdogo wenye mawazo mapana kupata Mpenzi asie na tamaa hii itakua ngumu kidogo isipokua kishaanza kujichokea ndio afanye maamzi mwenyew🌹😋😋maoni yako ni nini na kama wadada naomba mlidadavue hili jambo nini chanzo hasa
Bila hivyo watapata wapi hela za kununua maziwa ya kuogea ili kulinda ngozi zao ?
 
Back
Top Bottom