Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

Inasikitisha sana yaani kikweli waoaji miaka hii wanao wanawake used sana

Kama ni mtumba grade E

Acha wajifariji na msemo hainaga makombo
Kwaiyo mimi soon ntakua mchumba wa mtu mtumba used sana uchi unakua na ukubwa kama kitako cha bakuli kwer hii Dunia isimame mimi nishuke tu ikirudi inipitie😂
 
Wewe acha kuleta story za mwaka 47 hapa. Tunaishi na nyinyi huku mtaani usitupe takwimu za watu kumi kuelezea mwenendo wa watu laki moja.

The common trend ya sasa ni mabinti mnaendekeza maisha ya tamaa na ukahaba.

Wanaume wanajitahidi sana kupambania mahusiano ila ninyi mnapambania tamaa zenu. Wewe nikuulize tu hapo binafsi upo katika ndoa?

Je unajua majukumu ya ndoa ya mwanamke wa kisasa?

Sio unaingia kwenye ndoa kazi yako kukaa tu kusoma mahitaji na kulalamika mwanaume hafanyi moja mbili tatu.


Wewe kama kuna maisha unayatazamia kuishi kwann usishiriki kuyatafuta na huyo mwanaume?

Wengi wenu ni mnatamaa tu ndio changamoto inayofanya wanaume wawakwepe hakuna mwanaume anaacha mwanamke timamu ambaye wanasapotiana kwenye kujenga maisha. Of course wapo wanaume vilaza ila sio wengi kama namna ninyi mnavyogeneralize kuwa wanaume kwa wingi wanawazingua wanawake.
Hiii imeenda chief nadhani watalizamia kwa mapana zaidi
 
Kwaiyo mimi soon ntakua mchumba wa mtu mtumba used sana uchi unakua na ukubwa kama kitako cha bakuli kwer hii Dunia isimame mimi nishuke tu ikirudi inipitie😂
Ndo hivyo mkuu yaani miaka hii ukioa ni skrepa tu unaoa imekongoroka, mashavu mmwagiko shimo kwelikweli
20230919_065848.jpg
 
Back
Top Bottom