Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

Chanzo UHURU USIO NA MIPAKA, sheria za serikali hazitekelezwi kudhibiti ukahaba prostitution wkt sheria za zinaeleza wazi hilo ni kosa la jinai, za dini(torati na Quran) zimezuiwa na za kimila ndiyo kabisaa, sawa na kutokamata wauzaji. Walimaji na watumiaji bange lazma uvutaji bange ushamiri.
 
Biashara pendwa kwasababu;-
(1) huna haja ya kuwa na mtaji
(2) huna haja ya kuwa frem Cha msingi uwe good location
(3)unauza huku unafaidi utamu means mnagawana utam na mteja🤣
Mengne utaongeza mwenyew
Sina hakika kama makahaba suala la kufurahia tendo wanalo! They're after money.
 
Wadada wa watu wa JF hawanashida na Vigwagulo vyao, ukimpa ya Luku anakukatia mauno kama feniii, japo utatoka na kisamaki uvukize udi week, usiingie nae geto ni wezi, anaweza aondoke hata na upawa.
NB : Ni wote.

Mwanaume unayehonga Ili kulinda Penzi HUNA AKILI..
Mwanaume unayehonga Ili kula mzigo, Sikulaumu Sana wewe umegawana akili na nyege.
 
Bila hivyo watapata wapi hela za kununua maziwa ya kuogea ili kulinda ngozi zao ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…