Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚Kama ulikuepo request Zina tuhangaisha kutokana na nyege
 
Auntie kama mchawi vile [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ulijuaje na group nishaunda Mwezi wa 12 harusi
Shangazi anajuaaa ,🀠🀠🀠🀠🀠!
So tunavaa vijora shangazi mtu nisimamie hili niandae oda kwa mama la mama Lamomy au kuna sare nyingine spesheli???😁
 
Maisha ni hatua maisha ni safari pesa isinunue utu wetu tujikubali na kuridhika na shida/ hali zetu!

Mwanamke ukiendekeza pesa lazima utatumika sana na kuwa mtumwa!
Chanzo ni njaa na umasikini

Nilifanya mahojiano na dada mmoja anakiuza Bei rahisi aliniambia changamoto ni hio njaa na umasikini wengi wanalisha familia zao kwa kuuza miili yao nyumbani watu wale watu wapishane chooni ingawa wapo wale wabinafsi wanafanya kutaka maisha mazuri tu ingawa wengi wao mwisho wao unakua mbaya

Nkishtuka sana binti ninaemfahamu kumkuta na yeye kapost tiktok anachezesha matako eti anatafuta wateja wa kwenda kulala nao
 
Shangazi anajuaaa ,[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!
So tunavaa vijora shangazi mtu nidinamie hili niandae oda kwa mama la mama Lamomy au sare nyingine spesheli???[emoji16]


Auntie ww mchawi sana umetisha sana
Harusi ipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
View attachment 2763180
Auntie ww mchawi sana umetisha sana
Harusi ipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee Mie sio mchawiiii nina maonooo afu huwa sisahau kirahisi🀠🀠 😁😁😁

Naona hadi mwamba anakushangaa hapo kwamba hadi Kijana mpenda mishangazi asie siriaz anawowaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜! Hongera sana usinisahau kadii lazima nihudhuriee hio harusi nitakuja na Mjomba wako!!

Sitanii!
 

Auntie kadi umepata aiseeeee usiwaze mambo ni moto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usikose kwenye harusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…