Chanzo cha wanawake kuifanya miili yao kama biashara ni nini?

Hapa wa kuhurumiwa ni kijana anayeenda kujitambulisha ukweni, akatajiwa 5m mahari, mdada anataka gauni la uturuki, sherehe ya 30+m nk, huyu ndio wa kuhurumiwa na hawa ndio wake zetu, awe kapigwa mara moja moja au kila siku, ila wengihii ni idadi ya kawaida.

...mtoto yuko chuo anazichezea, akiwa mtaani miaka kumi kabla hajaolewa...anazichezea, wanaume mateso!
 
Sina hakika kama makahaba suala la kufurahia tendo wanalo! They're after money.
wako after money lakini ukimpa ipasavyo anafurahia vizuri tu,wengi wanunuzi hawajali kumridhisha muuzaji wao wanaangalia wao tu.

ila kuna wanunuzi huhakikisha mteja nae ana enjoy,na makahaba hao hao hupenda sana kupata mteja wa hivyo ni vile tu wako kazini otherwise wangekua wanasema live Make sure unanikojolesha.
 
1. Kukosa maadili
2. Tamaa ya kutafuta wepesi wa maisha.
3. Mafunzo mabaya ya jamii kumwambia mwanamke anatakiwa kupewa tu matokeo yake wanataka kupewa hata wasivyostahiki.
4. Wanaume wasio na vigezo wanaotegemea pesa kuvutia wanawake ndio wanawashawishi kuamini wao ni wa kupewa pesa bila sababu yoyote.

5. Ushawishi wa wazazi kuwaambia mabinti zao kutafuta wanaume wenye hela.
6. Utegemezi uliopitiliza kwa kuegemea wanaume kwa kila kitu bila wao kuwajibika kwa lolote lile.
 
Hao wadada wanaojiuza kukidhi mahitaji yao ya ngono😋 Unique Flower Mzee wa kupambania
 
Wewe acha kuleta story za mwaka 47 hapa. Tunaishi na nyinyi huku mtaani usitupe takwimu za watu kumi kuelezea mwenendo wa watu laki moja.

The common trend ya sasa ni mabinti mnaendekeza maisha ya tamaa na ukahaba.

Wanaume wanajitahidi sana kupambania mahusiano ila ninyi mnapambania tamaa zenu. Wewe nikuulize tu hapo binafsi upo katika ndoa?

Je unajua majukumu ya ndoa ya mwanamke wa kisasa?

Sio unaingia kwenye ndoa kazi yako kukaa tu kusoma mahitaji na kulalamika mwanaume hafanyi moja mbili tatu.


Wewe kama kuna maisha unayatazamia kuishi kwann usishiriki kuyatafuta na huyo mwanaume?

Wengi wenu ni mnatamaa tu ndio changamoto inayofanya wanaume wawakwepe hakuna mwanaume anaacha mwanamke timamu ambaye wanasapotiana kwenye kujenga maisha. Of course wapo wanaume vilaza ila sio wengi kama namna ninyi mnavyogeneralize kuwa wanaume kwa wingi wanawazingua wanawake.
 
Njaa
 
Inasikitisha sana yaani kikweli waoaji miaka hii wanao wanawake used sana

Kama ni mtumba grade E

Acha wajifariji na msemo hainaga makombo
 
Ukiona demu anatibu UTI haiponi then usihangaike kujiuliza shida ni nini.
... kwa watoto wadogo wasiojua kujisafisha vizuri UTI kwao inaeleweka. Ila kwa mabinti wakubwa hususan mabaa medi and similar groups kutamka unaugua UTI inatakiwa kuwa aibu.

Vijidudu vya UTI makazi yake ni njia ya haja kubwa na vikiwa huko havina madhara yoyote. Tatizo ni vikitoka huko kuingia njia ya haja ndogo ndipo huzaa UTI. Sasa vinatokaje nyuma kwenda mbele ndio jibu la point yako highlighted above!
 
😂😂😂😂SoMo juu ya SoMo makini chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…