Chanzo halisi cha binadamu (Origins of mankind)

Chanzo halisi cha binadamu (Origins of mankind)

Alipo anzia mjusi chui simba na wanyama wengne ndipo apo binadamu alipo anzia
 
Walikuwa na Visual cortex kubwa, hii inamaanisha sehemu kubwa ya ubongo wao ilideal na kucontrol vision na kuucontrol ule mwili mkubwa, na siyo kufikiria(higher functions)...kwahyo walikuwa na cerebrum ndogo compared to sapiens
We jamaa umeresonate na kipindi fulani katika kutazama tazama TED talks nilishuhudia kitu kimoja: Wakati nachaguachagua nisikilize ipi youtube niache ipi ilikuwa kila nikichagua ambayo speaker wake ni kembamba fulani nakuta kana wazo/concept fulani interesting sana mada fikirishi kichizi!! zile wanaita paradigm shifting type of sh*t.

Nikawa nachagua talks zao za wale mabongebonge nnaziruka zinakuwa na mada za kawaida. Je kuna data zozote za kusapoti hili katika watu wanaoishi sasa hivi. Kwamba mwili mkubwa unapunguza fikra hasa zile ideal. Bila kuathiri zile practical mfano kuwinda wanyama wakali kwa utaratibu unaofahamika wa mapambano maana nguvu zipo? Mwenye mwili mdogo atalazimishwa kufikiri zaidi vile mnyama anaenenda halafu kumtengenezea mazingira/mtego wa kumkamata maana akienda kichwakichwa, ataliwa kichwa!!

Nasisitiza hapa kwamba nawaaminia sana mabonge katika vitu practical, mfano uchumi wa kampuni [ Ndo maana mameneja wengi ni mabonge 😂😂] wapo practical sana hawa jamaa. All in all tunategemeana; Maana yule practical ni practical most of time ni wa kawaida na ana akili njema. Ila yule ideal ana nafasi mbili 1. Kuwa jiniazi 2. Kuwa idiot. Sasa wakishirikiana ideal na practical watabalansiana, upumbafu watatupa kule na vya akili watavitumia vinakuwa new improved practical wote wanafaidi maisha.

Tena hali ya kidunia inaonekana kama kuanza kufavour watu wa practical zaidi labda ndio maana mabonge wanaongezeka. Lakini isije kuwa na nahofia ndivyo inavyokuwa kwamba mazingira yanatengenezwa ili kupata wafuasi na watumwaji weeeeeeeeengi badala ya viongozi na watu huru kifikra? Maybe it is for better who knows..
 
We jamaa umeresonate na kipindi fulani katika kutazama tazama TED talks nilishuhudia kitu kimoja: Wakati nachaguachagua nisikilize ipi youtube niache ipi ilikuwa kila nikichagua ambayo speaker wake ni kembamba fulani nakuta kana wazo/concept fulani interesting sana mada fikirishi kichizi!! zile wanaita paradigm shifting type of sh*t.

Nikawa nachagua talks zao za wale mabongebonge nnaziruka zinakuwa na mada za kawaida. Je kuna data zozote za kusapoti hili katika watu wanaoishi sasa hivi. Kwamba mwili mkubwa unapunguza fikra hasa zile ideal. Bila kuathiri zile practical mfano kuwinda wanyama wakali kwa utaratibu unaofahamika wa mapambano maana nguvu zipo? Mwenye mwili mdogo atalazimishwa kufikiri zaidi vile mnyama anaenenda halafu kumtengenezea mazingira/mtego wa kumkamata maana akienda kichwakichwa, ataliwa kichwa!!

Nasisitiza hapa kwamba nawaaminia sana mabonge katika vitu practical, mfano uchumi wa kampuni [ Ndo maana mameneja wengi ni mabonge 😂😂] wapo practical sana hawa jamaa. All in all tunategemeana; Maana yule practical ni practical most of time ni wa kawaida na ana akili njema. Ila yule ideal ana nafasi mbili 1. Kuwa jiniazi 2. Kuwa idiot. Sasa wakishirikiana ideal na practical watabalansiana, upumbafu watatupa kule na vya akili watavitumia vinakuwa new improved practical wote wanafaidi maisha.

Tena hali ya kidunia inaonekana kama kuanza kufavour watu wa practical zaidi labda ndio maana mabonge wanaongezeka. Lakini isije kuwa na nahofia ndivyo inavyokuwa kwamba mazingira yanatengenezwa ili kupata wafuasi na watumwaji weeeeeeeeengi badala ya viongozi na watu huru kifikra? Maybe it is for better who knows..
Hahah fanyia research hilo kwa humans upublish hiyo paper mkuu unaweza ukapata pHd.

ila hizi size comparisons na nini huwa zinafanywa kwa members wa species tofauti.
 
Walitembea tu mkuu. Halafu utambue sio kwamba tunaposema walisafiri hatumaanishi ilikuwa safari ya siku moja au kizazi kimoja. Inaweza kuchukua miaka hata maelfu. Yani wewe na familia mnaenda kuishi kenya, Watoto wanenda kuishi somalia, wajukuu wanasogea mpaka Ethiopia, vitukuu wanafika egypt na kadhalika na kadhalika.

Kumbuka hali ya hewa ya kipindi hiko sio kama ya leo.
Sahara hapo zamani ilikuwa rainforest hakukuwa na jangwa ilikuwa ni mapori tu, hivyo walisafiri bila shida. Afrika, ulaya mpaka Asia zimeungana (kumbuka hata hii suez canal ilijengwa recently tu) Kwahyo walivuka mpaka ulaya na Asia bila shida ya kuvuka maji.
Labda swali ni Australia walifikaje?
Ukumbuke kuna kipindi ilikuwa Ice age ambapo baridi lilikuwa kali sana mpaka maeneo ya bahari yaliganda, na maji yalishuka sana level (sealevel ilikuwa chini sana) almost mita 400 chini ya hii ya leo, kwahyo kuna visiwa kama Philipines, indonesia havikuwa visiwa bali ilikuwa nchi kavu tu imeungana (hakukuwa na maji) yani ilikuwa land imeungana mpaka huko Australia.View attachment 2417450
Kwahyo mkuu homo wa zamani walivuka tu bila shida.
Lakini recently around 50,000 years ago, homo sapiens (binadamu) walivuka mpaka Australia kwa kutumia mitumbwi maana Homo sapiens ni mnyama mwenye akili na inaaminika walivuka kwa mitumbwi.

Hata sasa joto la dunia linaongezeka kwasababu ya global warming na kussbabisha barafu ya antarctic kuyeyuka na usawa wa bahari unazidi kuongezeka...Usije kushangaa baada ya miaka 30000 ijayo Australia isiwepo, ikawa imefunikwa na bahari na hata Hapa Africa baadhi ya nchi zilizo karibu na bahari zikapungua ukubwa. Unakuta bahari imefika dodoma.
Uwezo wako wa history na geography ni mkubwa sana Mkuu
 
Hizi hadithi za mwanzo wa binadamu zipo nyiiingi kiasi kwamba naamini baba na mama ndio waumbaji wangu kwa mifano hai kua na mimi kuna nilio wa umba! Inshort wale ndio Mungu wa pili hapa duniani na mimi ni Mungu wa pili kwa nilio waumba Bhasi.![emoji1782]

Hayo maswala ya nyani sijui ngedere watajuana nayo wenyewe! Nimemaliza
Nakazia
 
Aah wewe sio mfuatiliaji. Kwa hilo swali ulilouliza tu inaonesha sio mfuatiliaji.

Chukulia huu mfano.
Baba azae watoto wawili wenye sifa tofauti, mmoja mkubwa wa kiume ana mandevu mwingine mtoto mdogo wa kike hajavunja hata ungo.
Sasa assume wewe ni nzi wa kwanza wa kipekee umepewa akili ya utambuzi wa kibinadamu (lifespan ya nzi ni siku 10).
Halafu uambiwe kuwa huyo mtoto mkubwa mwenye ndevu na huyo mdogo wake wa kike asiye nazo, pamoja na tofauti zao zote, wote wametoka kwa baba mmoja.
Halafu uambiwe pia kuwa hata huyo mkubwa mwenye ndevu alikuwaga mdogo pia zamani huko na hakuwa na ndevu.

Sasa wewe uanze kuwaangalia kwa hizo siku 10 za maisha yako kama huyo mtoto atabadilika na kuwa mkubwa mwenye ndevu kwa hizo siku.
Halafu baada ya kuona hizo siku zote hujaona mabadiliko yeyote kwa hao watoto, uhitimishe kuwa hawa ndivyo walivyo hawajatoka kwa baba mmoja na pia hawawezi kubadilika. Maana hujaona hata nywele moja inaota.

Swali lako la kwanini Nyani hawageuki kuwa watu, ni sawa na kuuliza kwanini yule mtoto mdogo hageuki kuwa mkubwa. Halimake sense.

Sisi hatujatokana na nyani..ila sisi na nyani tumetokana na baba mmoja ambae hiko kiumbe kilishapotea.
Wewe unaishi around miaka 60,Elimu na historia yote unayoijua haizidi miaka 6000 tu iliyopita. lakini evolution kutoka ndugu wetu wa karibu nyani (chimpanzee,) imechukua miaka zaidi ya millioni 7 iliyopita.

Kwahyo usitegemee hawa nyani kuwa watu, watabadilika kuwa kiumbe kingine kisichojulikana na sisi binadamu tunabadilika kuwa viumbe wengine haijulikani.... ila tunabadilika kwa kasi ndogo sana huwezi kuiona wewe. Kama jinsi nzi hawezi kuona binadamu wanavyokua.

Hata saivi ukiangalia binadamu wa miaka ya zamani na sasa tumeshabadilika kidogo. Sikuizi hata rangi tu kwa hapa Tz. mabinti weupe ni wengi kuliko zamani. Mabadiliko yapo ila yanatokea slowly sana huwezi kuyaona kwa lifespan yako ya miaka 60.
Ukifa ukafufuka baada ya miaka 10, 000 utashangaa kukuta watu hapa Tz ukakataa hawa sio watanzania.
Duu...umefafanua baraka tele kwako.
 
Concept nzuri sana hii na naifahamu vizuri tu!

- chukulia kiumbe hai kina kufa na kinaanza kuoza, baada ya siku kadhaa vinatokea vimelea kwa yule kiumbe mfu alieanza kua mzogo, na wanatokea aina nyingi za vimelea, japo vingine vinakua vingi kuliko jamii nyingine ya vimelea, na kuna ambao huwezi kuviona kirahisi, na kuna ambavyo usiweze kuviona kwa macho yako, sasa hapa nikikuambia kua sisi na viumbe hai wengine ni matokeo ya process inayo fanana na mfano huo utakubali au utakataa!!? Haya mambo ni magumu kidogo. Kuna ambao wakikuelezea kuhusu alliens kumuumba binadamu out of hao ngedere na masokwe nao wana factors ambazo wewe hunasuki humo. [emoji89] Na hua zina make sense kuliko hizi concept zingine
Mkuu kwa hiyo Dini (miaka 6000 iliyopita ni imaginary ?)
 
Aah wewe sio mfuatiliaji. Kwa hilo swali ulilouliza tu inaonesha sio mfuatiliaji.

Chukulia huu mfano.
Baba azae watoto wawili wenye sifa tofauti, mmoja mkubwa wa kiume ana mandevu mwingine mtoto mdogo wa kike hajavunja hata ungo.
Sasa assume wewe ni nzi wa kwanza wa kipekee umepewa akili ya utambuzi wa kibinadamu (lifespan ya nzi ni siku 10).
Halafu uambiwe kuwa huyo mtoto mkubwa mwenye ndevu na huyo mdogo wake wa kike asiye nazo, pamoja na tofauti zao zote, wote wametoka kwa baba mmoja.
Halafu uambiwe pia kuwa hata huyo mkubwa mwenye ndevu alikuwaga mdogo pia zamani huko na hakuwa na ndevu.

Sasa wewe uanze kuwaangalia kwa hizo siku 10 za maisha yako kama huyo mtoto atabadilika na kuwa mkubwa mwenye ndevu kwa hizo siku.
Halafu baada ya kuona hizo siku zote hujaona mabadiliko yeyote kwa hao watoto, uhitimishe kuwa hawa ndivyo walivyo hawajatoka kwa baba mmoja na pia hawawezi kubadilika. Maana hujaona hata nywele moja inaota.

Swali lako la kwanini Nyani hawageuki kuwa watu, ni sawa na kuuliza kwanini yule mtoto mdogo hageuki kuwa mkubwa. Halimake sense.

Sisi hatujatokana na nyani..ila sisi na nyani tumetokana na baba mmoja ambae hiko kiumbe kilishapotea.
Wewe unaishi around miaka 60,Elimu na historia yote unayoijua haizidi miaka 6000 tu iliyopita. lakini evolution kutoka ndugu wetu wa karibu nyani (chimpanzee,) imechukua miaka zaidi ya millioni 7 iliyopita.

Kwahyo usitegemee hawa nyani kuwa watu, watabadilika kuwa kiumbe kingine kisichojulikana na sisi binadamu tunabadilika kuwa viumbe wengine haijulikani.... ila tunabadilika kwa kasi ndogo sana huwezi kuiona wewe. Kama jinsi nzi hawezi kuona binadamu wanavyokua.

Hata saivi ukiangalia binadamu wa miaka ya zamani na sasa tumeshabadilika kidogo. Sikuizi hata rangi tu kwa hapa Tz. mabinti weupe ni wengi kuliko zamani. Mabadiliko yapo ila yanatokea slowly sana huwezi kuyaona kwa lifespan yako ya miaka 60.
Ukifa ukafufuka baada ya miaka 10, 000 utashangaa kukuta watu hapa Tz ukakataa hawa sio watanzania.
dah jamaa yangu umedadavua vizuri mno dah akili nyingi
 
Mkuu kwa hiyo Dini (miaka 6000 iliyopita ni imaginary ?)
Dini ni nini mkuu! Hivi vitu ni man made kwa kusudi la kutujengea ustaarabu flani, utu na kujielewa, otherwise hakuna maana yoyote iwepo ama isiwepo, kwa maana hiyo, kwa miaka hiyo unaosema wewe sidhani kama kulikua na ustaarabu au kama walikua wanajielewa
 
Back
Top Bottom