Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani za kidini ni shambulio la akiliKabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.
Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..
Worldcoin ni nini?
Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga kumpa kila mtu duniani njia rahisi ya kuthibitisha kuwa yeye ni binadamu halisi na si roboti au algoriti ya AI.
Kitambulisho cha Dunia
World ID, ambayo kampuni inadai itawawezesha watumiaji "kuthibitisha ubinadamu wao" mtandaoni huku wakidumisha faragha yao. Kinachojulikana kama "uthibitisho wa utu" huundwa na kifaa cha skanning ya iris(Jicho) kinachoitwa Orb.
Kama vile alama za vidole, muundo wa iris wa kila mtu ni tofauti. Orb huchanganua iris ya mtumiaji na kutumia muundo wake kuunda msimbo wa kipekee wa utambulisho unaoitwa IrisCode. Nambari ya kuthibitisha haihusiani na maelezo ya kibinafsi ya mtumiaji - inapatikana tu ili kuzuia watu kupata zaidi ya Kitambulisho kimoja cha Dunia.
Lengo la Worldcoin ni nini?
Kukabiri ulimwengu wa mtandaoni mnamo 2023. Tovuti nyingi zinahitaji kuingia na nenosiri. Walaghai wana kila aina ya mikakati ya kukufanya ubofye viungo na kuwatumia pesa.
Na kutokana na kuongezeka kwa AI robot, uwezo wetu wa pamoja wa kutambua nani ni binadamu mtandaoni na nani sio unakaribia kuwa mbaya zaidi. Mapema mwaka huu, GPT-4 ya OpenAl iliweza hata kumshawishi mwanadamu kutatua CAPTCHA- teknolojia iliyoundwa kutofautisha wanadamu kutoka kwa roboti kwa niaba yake.
Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa AI robot, Sam Altman anawajibika kwa matatizo kama haya. Worldcoin, basi, hutumika kama suluhisho lake kama njia ya kutofautisha kwa hakika kati ya wanadamu na AI. Iwapo wanadamu wote mtandaoni wangeweza kuthibitisha kwamba kwa hakika wao ni wanadamu, basi ulaghai na walaghai wangepungua sana.
Kwa nini watu wanajiandikisha?
Worldcoin ilizinduliwa rasmi mwezi Julai, na mradi unaanza ziara ya kusajili miji mingi. Altman alichapisha video ya mistari mirefu nje ya vituo vya Orb, na akasema kuwa mradi huo ulikuwa unachanganua mtumiaji mpya kila sekunde nane.
Baadhi ya watu wamejiandikisha kwa ajili ya udadisi au ushirika wa teknolojia. Lakini wengi zaidi, inaonekana, walijiandikisha kwa sababu rahisi ni kupata pesa ambazo ni bonus kwa mtu yeyote ambaye alichanganua macho yake kwenye orb.
Kipengele cha cryptocurrency cha Worldcoin kinatumika kama mbinu ya uuzaji, miundombinu ya kifedha ya kimataifa.
Kwanini Worldcoin inakabiliwa na ukosoaji?
Wakosoaji wengi wameita biashara ya Worldcoin ya kukagua mboni kwa kubadilishana na Crypto Currency. na wengine wameilinganisha na hongo. Watu wengi wanasitasita kwa kueleweka kusalimisha data zao za kibayometriki kwa kampuni ya kibinafsi ya kuanzisha faida kwa malengo yasiyo na uhakika.
Hadi hapo itakua rahisi kila mtu kuelewa nini kinaendelea.
Worldcoin ni Digital Identity
Crypto currency ni Digital currency - fedha ya kidigitali
Jambo hili ni Lazima litafanikiwa.
Kwasababu njia rahisi ya biashara duniani ni lazima utumie fedha ya kidigitali. Kwa kasi kubwa sasa duniani katika nchi zilizoendelea watu hawapokei tena fedha mkono.
Pia Credit card za benki zimezidi kuwa na usalama mdogo sana wa kulinda fedha za wateja wake, camera za kisasa zimekua na uwezo mkubwa wa kuiba namba siri ambazo zinapatikana katika card ya benk ya mteja na kuweza kufanya wizi wa fedha. Hata uwe kwenye gari na lipo kwenye mwendo wa kasi bado camera zinaweza kunasa taarifa zako za kibenk katika card.
Sasa watu wanaanza kuamia katika fedha za kidijitali ambazo utaweza kutumia popote nchini kwa usalama zaidi.
Ukiwa china leo hii na Card yako ya CRDB basi utateseka sana.😂😂
Mpinga kristo.
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Sasa ufunuo huu umetimia katika maisha ya binadamu na umeanza kufanya kazi.
Video zipo nyingi YouTube.
Chip ndogo kama punje ya mchele inawekwa katika mkono
View attachment 2719170
Chip hiyo itabeba...
i. ID yako ambayo utaipata kwa kutuma au kutizamwa muonekano wa mboni la jicho lako (Iris)
ii. Funguo au Get pass
iii. Wallet.
Hutahitaji kutembea na Card ya benk wala Simu, ukiwa uchi tu unakimbia na utajiri wako 😂😂
Maswali ya kujiuliza..
Je chip hiyo itakuwa na uwezo gani wa siri katika mwili wa binadamu ?
AI robot ambao wanakuja kurahisisha maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa ni Computer yenye sura na muonekano wa binadamu.
Na sasa Neurolink za Artificial intelligence zimeweza kupandikizwa kwa binadamu na binadamu kuwa na uwezo wa muingiliano mkubwa na AI robot.
AI robot ataweza kumjua au kuingiliana zaidi na binadamu, ataongoza hisia na maamuzi ya binadamu kwa binadamu kuwekewa chip.
Inasemekana chip hiyo itamsaidi binadamu kuondokana na msongo wa mawazo kabisa na kutokujitambua.
Fikra za binadamu zitaweza kuongozwa na AI (your will, Action and Emotion ambazo hutoka nafsini mwa mtu)
Ufunuo wa Yohana 14:9-11
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.
Tena watakupenda na kukupa cheo Kanisani, sadaka za dollar?!Mbona kwenye Dollar ya Marekani kuna eye of Providence ambayo mnasema ni Masonic symbol?
View attachment 2719176
Uliwahi kuona kuna Pastor au Sheikh anapinga matumizi ya hiyo hela?
Sasa jaribisha kuwapelekea sadaka yako kwa mfumo wa dollar
Ila hiyo Dollar isiwe na hicho kijicho pamoja na piramidi afu wakikuuliza imekuaje waambie hiyo yako ndio halali kwasababu haina mambo ya kishetani.
Wasabato mmeanza mambo yenu.Kabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.
Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..
Worldcoin ni nini?
Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga kumpa kila mtu duniani njia rahisi ya kuthibitisha kuwa yeye ni binadamu halisi na si roboti au algoriti ya AI.
Kitambulisho cha Dunia
World ID, ambayo kampuni inadai itawawezesha watumiaji "kuthibitisha ubinadamu wao" mtandaoni huku wakidumisha faragha yao. Kinachojulikana kama "uthibitisho wa utu" huundwa na kifaa cha skanning ya iris(Jicho) kinachoitwa Orb.
Kama vile alama za vidole, muundo wa iris wa kila mtu ni tofauti. Orb huchanganua iris ya mtumiaji na kutumia muundo wake kuunda msimbo wa kipekee wa utambulisho unaoitwa IrisCode. Nambari ya kuthibitisha haihusiani na maelezo ya kibinafsi ya mtumiaji - inapatikana tu ili kuzuia watu kupata zaidi ya Kitambulisho kimoja cha Dunia.
Lengo la Worldcoin ni nini?
Kukabiri ulimwengu wa mtandaoni mnamo 2023. Tovuti nyingi zinahitaji kuingia na nenosiri. Walaghai wana kila aina ya mikakati ya kukufanya ubofye viungo na kuwatumia pesa.
Na kutokana na kuongezeka kwa AI robot, uwezo wetu wa pamoja wa kutambua nani ni binadamu mtandaoni na nani sio unakaribia kuwa mbaya zaidi. Mapema mwaka huu, GPT-4 ya OpenAl iliweza hata kumshawishi mwanadamu kutatua CAPTCHA- teknolojia iliyoundwa kutofautisha wanadamu kutoka kwa roboti kwa niaba yake.
Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa AI robot, Sam Altman anawajibika kwa matatizo kama haya. Worldcoin, basi, hutumika kama suluhisho lake kama njia ya kutofautisha kwa hakika kati ya wanadamu na AI. Iwapo wanadamu wote mtandaoni wangeweza kuthibitisha kwamba kwa hakika wao ni wanadamu, basi ulaghai na walaghai wangepungua sana.
Kwa nini watu wanajiandikisha?
Worldcoin ilizinduliwa rasmi mwezi Julai, na mradi unaanza ziara ya kusajili miji mingi. Altman alichapisha video ya mistari mirefu nje ya vituo vya Orb, na akasema kuwa mradi huo ulikuwa unachanganua mtumiaji mpya kila sekunde nane.
Baadhi ya watu wamejiandikisha kwa ajili ya udadisi au ushirika wa teknolojia. Lakini wengi zaidi, inaonekana, walijiandikisha kwa sababu rahisi ni kupata pesa ambazo ni bonus kwa mtu yeyote ambaye alichanganua macho yake kwenye orb.
Kipengele cha cryptocurrency cha Worldcoin kinatumika kama mbinu ya uuzaji, miundombinu ya kifedha ya kimataifa.
Kwanini Worldcoin inakabiliwa na ukosoaji?
Wakosoaji wengi wameita biashara ya Worldcoin ya kukagua mboni kwa kubadilishana na Crypto Currency. na wengine wameilinganisha na hongo. Watu wengi wanasitasita kwa kueleweka kusalimisha data zao za kibayometriki kwa kampuni ya kibinafsi ya kuanzisha faida kwa malengo yasiyo na uhakika.
Hadi hapo itakua rahisi kila mtu kuelewa nini kinaendelea.
Worldcoin ni Digital Identity
Crypto currency ni Digital currency - fedha ya kidigitali
Jambo hili ni Lazima litafanikiwa.
Kwasababu njia rahisi ya biashara duniani ni lazima utumie fedha ya kidigitali. Kwa kasi kubwa sasa duniani katika nchi zilizoendelea watu hawapokei tena fedha mkono.
Pia Credit card za benki zimezidi kuwa na usalama mdogo sana wa kulinda fedha za wateja wake, camera za kisasa zimekua na uwezo mkubwa wa kuiba namba siri ambazo zinapatikana katika card ya benk ya mteja na kuweza kufanya wizi wa fedha. Hata uwe kwenye gari na lipo kwenye mwendo wa kasi bado camera zinaweza kunasa taarifa zako za kibenk katika card.
Sasa watu wanaanza kuamia katika fedha za kidijitali ambazo utaweza kutumia popote nchini kwa usalama zaidi.
Ukiwa china leo hii na Card yako ya CRDB basi utateseka sana.[emoji23][emoji23]
Mpinga kristo.
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Sasa ufunuo huu umetimia katika maisha ya binadamu na umeanza kufanya kazi.
Video zipo nyingi YouTube.
Chip ndogo kama punje ya mchele inawekwa katika mkono
View attachment 2719170
Chip hiyo itabeba...
i. ID yako ambayo utaipata kwa kutuma au kutizamwa muonekano wa mboni la jicho lako (Iris)
ii. Funguo au Get pass
iii. Wallet.
Hutahitaji kutembea na Card ya benk wala Simu, ukiwa uchi tu unakimbia na utajiri wako [emoji23][emoji23]
Maswali ya kujiuliza..
Je chip hiyo itakuwa na uwezo gani wa siri katika mwili wa binadamu ?
AI robot ambao wanakuja kurahisisha maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa ni Computer yenye sura na muonekano wa binadamu.
Na sasa Neurolink za Artificial intelligence zimeweza kupandikizwa kwa binadamu na binadamu kuwa na uwezo wa muingiliano mkubwa na AI robot.
AI robot ataweza kumjua au kuingiliana zaidi na binadamu, ataongoza hisia na maamuzi ya binadamu kwa binadamu kuwekewa chip.
Inasemekana chip hiyo itamsaidi binadamu kuondokana na msongo wa mawazo kabisa na kutokujitambua.
Fikra za binadamu zitaweza kuongozwa na AI (your will, Action and Emotion ambazo hutoka nafsini mwa mtu)
Ufunuo wa Yohana 14:9-11
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.
Kenya kuna ambushi imetokea watu wakikua wanakesha siku tatu kusajiliwa kitambulisho cha dunia wapata bonus ya Crypto currency za bure.Hizi ishu ndo sasa zinakuwa fast tracked na kina Webb wa World Economic Forum (WEF) kwenye ile wanayoita agenda 2030 kwamba hutamiliki chochote na utakuwa na furaha na pia tutakula wadudu.Mpinga kristo.
Kwenye agenda zao naona wanatilia mkazo sana hiyo wanayoita 4th revolution ambayo itaendeshwa sana na matumizi ya kimtandao, mambo kama hayo ya digital ID, carbon footprint na pia wanajenga hoja zao kwenye majanga ya dunia kama covid, climate change na kuna janga la kimtandao ambalo wametabiri litatokea hivi karibuni (global cyber-event) ambapo mitandao duniani itashambuliwa na kupelekea janga kubwa sana la kijamii maana kwa sasa huduma mbalimbali mfano za kibenki, kiutumishi zinaendeshwa kupitia mifumo ya kimtandao.
Kuhusu kuihusianisha hiyo digital ID na alama ya mnyama iliyotabiriwa kwenye maandiko nakubaliana na wewe.
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.AI robot ataweza kumjua au kuingiliana zaidi na binadamu, ataongoza hisia na maamuzi ya binadamu kwa binadamu kuwekewa chip.
Maana yake ni kwamba digital ID itawaondoa wasiokuwa nayo kwenye mfumo wa kiuchumi na kijamii (economical and social sanctions).....unakuwa huna tofauti na marehemu. Huwezi kupata huduma benki au kulipwa malipo yoyote au kufanya manunuzi yoyote maana hivyo vyote vitafanyika kupitia digital ID. Tulizoea kwamba nchi ndo inawekewa vikwazo, sasa hapa mtu binafsi ndo atawekewa vikwazo (individual sanctions) au kwamba kukataa kuwa na hiyo chip ni kujiondolea mwenyewe uhai (suicide).
Kwa hiyo kutiwa chapa kwenye mkono wa kuume ni kukubalina na masharti, ambayo kimsingi yana mlengo wa kumwabudu ibilisi, ili yakuwezeshe wewe kupata huduma za kiuchumi na kijamii kwa ajili ya kukuwezesha kuishi.
Na kutiwa chapa kwenye paji la uso ni swala la kubadilishwa fikra, badala ya kuwa na fikra za kumwabudu au kufanya matendo yanayoendana na kumwabudu au kumtumikia Mungu Mwenyezi utafanya kinyume chake ambazo ni fikra za kumwabudu na kumtumikia ibilisi.
Haya uliyosema hapa chini ni katika jitihada za kuweza kumwekea binadamu chapa kwenye paji la uso, yaani kumbadilisha fikra ziwe za kumwabudu na kumtukuza ibilisi.
Inasemekana chip hiyo itamsaidi binadamu kuondokana na msongo wa mawazo kabisa na kutokujitambua.
Fikra za binadamu zitaweza kuongozwa na AI (your will, Action and Emotion ambazo hutoka nafsini mwa mtu).
Kongole sana kwa kuja na bandiko kama hili tunapoelekea kwenye zama za kujidhihirisha kwa mpinga Kristo na ujio wa alama ya mnyama na mateso ya dhiki kuu.
Watu wanalilia chapa, hatari sana..Kenya kuna ambushi imetokea watu wakikua wanakesha siku tatu kusajiliwa kitambulisho cha dunia wapata bonus ya Crypto currency za bure.
Kipinchi huru hii mkuu, baki na unachokiamini.
Unaogopa Chapa? Vipi kuhusu maneno, matendo na lufestyle ya Mpinga Kristo?Kabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.
Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..
Worldcoin ni nini?
Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga kumpa kila mtu duniani njia rahisi ya kuthibitisha kuwa yeye ni binadamu halisi na si roboti au algoriti ya AI.
Kitambulisho cha Dunia
World ID, ambayo kampuni inadai itawawezesha watumiaji "kuthibitisha ubinadamu wao" mtandaoni huku wakidumisha faragha yao. Kinachojulikana kama "uthibitisho wa utu" huundwa na kifaa cha skanning ya iris(Jicho) kinachoitwa Orb.
Kama vile alama za vidole, muundo wa iris wa kila mtu ni tofauti. Orb huchanganua iris ya mtumiaji na kutumia muundo wake kuunda msimbo wa kipekee wa utambulisho unaoitwa IrisCode. Nambari ya kuthibitisha haihusiani na maelezo ya kibinafsi ya mtumiaji - inapatikana tu ili kuzuia watu kupata zaidi ya Kitambulisho kimoja cha Dunia.
Lengo la Worldcoin ni nini?
Kukabiri ulimwengu wa mtandaoni mnamo 2023. Tovuti nyingi zinahitaji kuingia na nenosiri. Walaghai wana kila aina ya mikakati ya kukufanya ubofye viungo na kuwatumia pesa.
Na kutokana na kuongezeka kwa AI robot, uwezo wetu wa pamoja wa kutambua nani ni binadamu mtandaoni na nani sio unakaribia kuwa mbaya zaidi. Mapema mwaka huu, GPT-4 ya OpenAl iliweza hata kumshawishi mwanadamu kutatua CAPTCHA- teknolojia iliyoundwa kutofautisha wanadamu kutoka kwa roboti kwa niaba yake.
Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa AI robot, Sam Altman anawajibika kwa matatizo kama haya. Worldcoin, basi, hutumika kama suluhisho lake kama njia ya kutofautisha kwa hakika kati ya wanadamu na AI. Iwapo wanadamu wote mtandaoni wangeweza kuthibitisha kwamba kwa hakika wao ni wanadamu, basi ulaghai na walaghai wangepungua sana.
Kwa nini watu wanajiandikisha?
Worldcoin ilizinduliwa rasmi mwezi Julai, na mradi unaanza ziara ya kusajili miji mingi. Altman alichapisha video ya mistari mirefu nje ya vituo vya Orb, na akasema kuwa mradi huo ulikuwa unachanganua mtumiaji mpya kila sekunde nane.
Baadhi ya watu wamejiandikisha kwa ajili ya udadisi au ushirika wa teknolojia. Lakini wengi zaidi, inaonekana, walijiandikisha kwa sababu rahisi ni kupata pesa ambazo ni bonus kwa mtu yeyote ambaye alichanganua macho yake kwenye orb.
Kipengele cha cryptocurrency cha Worldcoin kinatumika kama mbinu ya uuzaji, miundombinu ya kifedha ya kimataifa.
Kwanini Worldcoin inakabiliwa na ukosoaji?
Wakosoaji wengi wameita biashara ya Worldcoin ya kukagua mboni kwa kubadilishana na Crypto Currency. na wengine wameilinganisha na hongo. Watu wengi wanasitasita kwa kueleweka kusalimisha data zao za kibayometriki kwa kampuni ya kibinafsi ya kuanzisha faida kwa malengo yasiyo na uhakika.
Hadi hapo itakua rahisi kila mtu kuelewa nini kinaendelea.
Worldcoin ni Digital Identity
Crypto currency ni Digital currency - fedha ya kidigitali
Jambo hili ni Lazima litafanikiwa.
Kwasababu njia rahisi ya biashara duniani ni lazima utumie fedha ya kidigitali. Kwa kasi kubwa sasa duniani katika nchi zilizoendelea watu hawapokei tena fedha mkono.
Pia Credit card za benki zimezidi kuwa na usalama mdogo sana wa kulinda fedha za wateja wake, camera za kisasa zimekua na uwezo mkubwa wa kuiba namba siri ambazo zinapatikana katika card ya benk ya mteja na kuweza kufanya wizi wa fedha. Hata uwe kwenye gari na lipo kwenye mwendo wa kasi bado camera zinaweza kunasa taarifa zako za kibenk katika card.
Sasa watu wanaanza kuamia katika fedha za kidijitali ambazo utaweza kutumia popote nchini kwa usalama zaidi.
Ukiwa china leo hii na Card yako ya CRDB basi utateseka sana.😂😂
Mpinga kristo.
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Sasa ufunuo huu umetimia katika maisha ya binadamu na umeanza kufanya kazi.
Video zipo nyingi YouTube.
Chip ndogo kama punje ya mchele inawekwa katika mkono
View attachment 2719170
Chip hiyo itabeba...
i. ID yako ambayo utaipata kwa kutuma au kutizamwa muonekano wa mboni la jicho lako (Iris)
ii. Funguo au Get pass
iii. Wallet.
Hutahitaji kutembea na Card ya benk wala Simu, ukiwa uchi tu unakimbia na utajiri wako 😂😂
Maswali ya kujiuliza..
Je chip hiyo itakuwa na uwezo gani wa siri katika mwili wa binadamu ?
AI robot ambao wanakuja kurahisisha maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa ni Computer yenye sura na muonekano wa binadamu.
Na sasa Neurolink za Artificial intelligence zimeweza kupandikizwa kwa binadamu na binadamu kuwa na uwezo wa muingiliano mkubwa na AI robot.
AI robot ataweza kumjua au kuingiliana zaidi na binadamu, ataongoza hisia na maamuzi ya binadamu kwa binadamu kuwekewa chip.
Inasemekana chip hiyo itamsaidi binadamu kuondokana na msongo wa mawazo kabisa na kutokujitambua.
Fikra za binadamu zitaweza kuongozwa na AI (your will, Action and Emotion ambazo hutoka nafsini mwa mtu)
Ufunuo wa Yohana 14:9-11
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.
Sasa nani ametaka kukujua hapa? Si umej8tambulisha mwenyewe kupitia maandishi yako ya kipuuzi? Kama hautaki watu wakujue ungeficha upumbavu wako.acha kunidhani na hunijui.
mambo gani ya hovyo hayo ?Sasa nani ametaka kukujua hapa? Si umej8tambulisha mwenyewe kupitia maandishi yako ya kipuuzi? Kama hautaki watu wakujue ungeficha upumbavu wako.
Mnakumbatia Matendo ya hovyo halafu mpo busy kuhubiri habari za Chapa, Mnachapwa nini...ebwoo!