Chapa ya Mpinga Kristo nyuma ya Worldcoin na Crypto currency, AI robot

Chapa ya Mpinga Kristo nyuma ya Worldcoin na Crypto currency, AI robot

Kabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.

Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..

Worldcoin ni nini?

Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga kumpa kila mtu duniani njia rahisi ya kuthibitisha kuwa yeye ni binadamu halisi na si roboti au algoriti ya AI.

Kitambulisho cha Dunia

World ID, ambayo kampuni inadai itawawezesha watumiaji "kuthibitisha ubinadamu wao" mtandaoni huku wakidumisha faragha yao. Kinachojulikana kama "uthibitisho wa utu" huundwa na kifaa cha skanning ya iris(Jicho) kinachoitwa Orb.

Kama vile alama za vidole, muundo wa iris wa kila mtu ni tofauti. Orb huchanganua iris ya mtumiaji na kutumia muundo wake kuunda msimbo wa kipekee wa utambulisho unaoitwa IrisCode. Nambari ya kuthibitisha haihusiani na maelezo ya kibinafsi ya mtumiaji - inapatikana tu ili kuzuia watu kupata zaidi ya Kitambulisho kimoja cha Dunia.

Lengo la Worldcoin ni nini?

Kukabiri ulimwengu wa mtandaoni mnamo 2023. Tovuti nyingi zinahitaji kuingia na nenosiri. Walaghai wana kila aina ya mikakati ya kukufanya ubofye viungo na kuwatumia pesa.

Na kutokana na kuongezeka kwa AI robot, uwezo wetu wa pamoja wa kutambua nani ni binadamu mtandaoni na nani sio unakaribia kuwa mbaya zaidi. Mapema mwaka huu, GPT-4 ya OpenAl iliweza hata kumshawishi mwanadamu kutatua CAPTCHA- teknolojia iliyoundwa kutofautisha wanadamu kutoka kwa roboti kwa niaba yake.

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa AI robot, Sam Altman anawajibika kwa matatizo kama haya. Worldcoin, basi, hutumika kama suluhisho lake kama njia ya kutofautisha kwa hakika kati ya wanadamu na AI. Iwapo wanadamu wote mtandaoni wangeweza kuthibitisha kwamba kwa hakika wao ni wanadamu, basi ulaghai na walaghai wangepungua sana.

Kwa nini watu wanajiandikisha?

Worldcoin ilizinduliwa rasmi mwezi Julai, na mradi unaanza ziara ya kusajili miji mingi. Altman alichapisha video ya mistari mirefu nje ya vituo vya Orb, na akasema kuwa mradi huo ulikuwa unachanganua mtumiaji mpya kila sekunde nane.

Baadhi ya watu wamejiandikisha kwa ajili ya udadisi au ushirika wa teknolojia. Lakini wengi zaidi, inaonekana, walijiandikisha kwa sababu rahisi ni kupata pesa ambazo ni bonus kwa mtu yeyote ambaye alichanganua macho yake kwenye orb.

Kipengele cha cryptocurrency cha Worldcoin kinatumika kama mbinu ya uuzaji, miundombinu ya kifedha ya kimataifa.

Kwanini Worldcoin inakabiliwa na ukosoaji?

Wakosoaji wengi wameita biashara ya Worldcoin ya kukagua mboni kwa kubadilishana na Crypto Currency. na wengine wameilinganisha na hongo. Watu wengi wanasitasita kwa kueleweka kusalimisha data zao za kibayometriki kwa kampuni ya kibinafsi ya kuanzisha faida kwa malengo yasiyo na uhakika.

Hadi hapo itakua rahisi kila mtu kuelewa nini kinaendelea.

Worldcoin ni Digital Identity
Crypto currency ni Digital currency - fedha ya kidigitali

Jambo hili ni Lazima litafanikiwa.
Kwasababu njia rahisi ya biashara duniani ni lazima utumie fedha ya kidigitali. Kwa kasi kubwa sasa duniani katika nchi zilizoendelea watu hawapokei tena fedha mkono.
Pia Credit card za benki zimezidi kuwa na usalama mdogo sana wa kulinda fedha za wateja wake, camera za kisasa zimekua na uwezo mkubwa wa kuiba namba siri ambazo zinapatikana katika card ya benk ya mteja na kuweza kufanya wizi wa fedha. Hata uwe kwenye gari na lipo kwenye mwendo wa kasi bado camera zinaweza kunasa taarifa zako za kibenk katika card.

Sasa watu wanaanza kuamia katika fedha za kidijitali ambazo utaweza kutumia popote nchini kwa usalama zaidi.
Ukiwa china leo hii na Card yako ya CRDB basi utateseka sana.😂😂

Mpinga kristo.
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.

Sasa ufunuo huu umetimia katika maisha ya binadamu na umeanza kufanya kazi.

Video zipo nyingi YouTube.
Chip ndogo kama punje ya mchele inawekwa katika mkono
View attachment 2719170
Chip hiyo itabeba...
i. ID yako ambayo utaipata kwa kutuma au kutizamwa muonekano wa mboni la jicho lako (Iris)
ii. Funguo au Get pass
iii. Wallet.

Hutahitaji kutembea na Card ya benk wala Simu, ukiwa uchi tu unakimbia na utajiri wako 😂😂

Maswali ya kujiuliza..
Je chip hiyo itakuwa na uwezo gani wa siri katika mwili wa binadamu ?

AI robot ambao wanakuja kurahisisha maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa ni Computer yenye sura na muonekano wa binadamu.
Na sasa Neurolink za Artificial intelligence zimeweza kupandikizwa kwa binadamu na binadamu kuwa na uwezo wa muingiliano mkubwa na AI robot.

AI robot ataweza kumjua au kuingiliana zaidi na binadamu, ataongoza hisia na maamuzi ya binadamu kwa binadamu kuwekewa chip.
Inasemekana chip hiyo itamsaidi binadamu kuondokana na msongo wa mawazo kabisa na kutokujitambua.
Fikra za binadamu zitaweza kuongozwa na AI (your will, Action and Emotion ambazo hutoka nafsini mwa mtu)

Ufunuo wa Yohana 14:9-11
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.
kama mnakubali kuwekewa vijiti kwajili ya kufunga uzazi sembuse hizo chip? zitakuja na watu watazitumia bila shaka ila sio kizazi hiki.... watoto wetu na wajukuu wetu ndio wako hatarini mana katoto hakajaanza hata shule ya msingi kanaijua smartphone hatar
 
Wakenya kibao juzi kati wamepiga cyptos za kutosha baada ya kukubali kufanyiwa scanning za mboni zao,hata hapa tz nadhani washapita na wadau kadhaa,maana wakulungwa wamemwagwa Africa kama njugu,na wanachofanya inafanana na pyramid scheme,mtu akikubali anapewa Hela ya crypto then unaambiwa ulete na wenzio Hela iongezeke.This shit is real
 
Wakenya kibao juzi kati wamepiga cyptos za kutosha baada ya kukubali kufanyiwa scanning za mboni zao,hata hapa tz nadhani washapita na wadau kadhaa,maana wakulungwa wamemwagwa Africa kama njugu,na wanachofanya inafanana na pyramid scheme,mtu akikubali anapewa Hela ya crypto then unaambiwa ulete na wenzio Hela iongezeke.This shit is real
mtu bila kujiuliza hizo hela za bure zinatoka wapi, wanakuja kuponda ety hizi ni sela za walokole...
Kenya baadae walisitisha ila inasemekana wataendelea na scanning
 
mtu bila kujiuliza hizo hela za bure zinatoka wapi, wanakuja kuponda ety hizi ni sela za walokole...
Kenya baadae walisitisha ila inasemekana wataendelea na scanning
Wazew wa hersey
 
Wakenya kibao juzi kati wamepiga cyptos za kutosha baada ya kukubali kufanyiwa scanning za mboni zao,hata hapa tz nadhani washapita na wadau kadhaa,maana wakulungwa wamemwagwa Africa kama njugu,na wanachofanya inafanana na pyramid scheme,mtu akikubali anapewa Hela ya crypto then unaambiwa ulete na wenzio Hela iongezeke.This shit is real
Kwani hapo wakifanyiwa scannning hyo nini kinatokea mkuu.

Yani ni nini purpose ya hiyo project
 
Kwani hapo wakifanyiwa scannning hyo nini kinatokea mkuu.

Yani ni nini purpose ya hiyo project
Hili swali lako limejibiwa tayari katika uzi huu kwani hujaelewa ?
Jaribu kuuliza maswali ambayo majibu yake yamejifucha.
 
Mbona kwenye Dollar ya Marekani kuna eye of Providence ambayo mnasema ni Masonic symbol?

View attachment 2719176

Uliwahi kuona kuna Pastor au Sheikh anapinga matumizi ya hiyo hela?

Sasa jaribisha kuwapelekea sadaka yako kwa mfumo wa dollar

Ila hiyo Dollar isiwe na hicho kijicho pamoja na piramidi afu wakikuuliza imekuaje waambie hiyo yako ndio halali kwasababu haina mambo ya kishetani.
Tofautisha kutumia fedha yenye alama za kishetani na kupandikizwa alama za kishetani kwenye mwili wako ni mambo mawili Tofauti
 
Kadri siku zinavyoenda nazidi kuona mpinga wakristo ni mzuri na anakuja kuisaidia Dunia kwakiwango kikubwa sana
 
Kadri siku zinavyoenda nazidi kuona mpinga wakristo ni mzuri na anakuja kuisaidia Dunia kwakiwango kikubwa sana
ni kweli, ili kristo arudi ni lazima kwanza maisha yawe kawaida, watu watakua wakila na kunywa na kuowana na kuzaa.

Lakini chunga usije ukapoteza Nafsi na Roho yako.
 
Kabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.

Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..

Worldcoin ni nini?

Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga kumpa kila mtu duniani njia rahisi ya kuthibitisha kuwa yeye ni binadamu halisi na si roboti au algoriti ya AI.

Kitambulisho cha Dunia

World ID, ambayo kampuni inadai itawawezesha watumiaji "kuthibitisha ubinadamu wao" mtandaoni huku wakidumisha faragha yao. Kinachojulikana kama "uthibitisho wa utu" huundwa na kifaa cha skanning ya iris(Jicho) kinachoitwa Orb.

Kama vile alama za vidole, muundo wa iris wa kila mtu ni tofauti. Orb huchanganua iris ya mtumiaji na kutumia muundo wake kuunda msimbo wa kipekee wa utambulisho unaoitwa IrisCode. Nambari ya kuthibitisha haihusiani na maelezo ya kibinafsi ya mtumiaji - inapatikana tu ili kuzuia watu kupata zaidi ya Kitambulisho kimoja cha Dunia.

Lengo la Worldcoin ni nini?

Kukabiri ulimwengu wa mtandaoni mnamo 2023. Tovuti nyingi zinahitaji kuingia na nenosiri. Walaghai wana kila aina ya mikakati ya kukufanya ubofye viungo na kuwatumia pesa.

Na kutokana na kuongezeka kwa AI robot, uwezo wetu wa pamoja wa kutambua nani ni binadamu mtandaoni na nani sio unakaribia kuwa mbaya zaidi. Mapema mwaka huu, GPT-4 ya OpenAl iliweza hata kumshawishi mwanadamu kutatua CAPTCHA- teknolojia iliyoundwa kutofautisha wanadamu kutoka kwa roboti kwa niaba yake.

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa AI robot, Sam Altman anawajibika kwa matatizo kama haya. Worldcoin, basi, hutumika kama suluhisho lake kama njia ya kutofautisha kwa hakika kati ya wanadamu na AI. Iwapo wanadamu wote mtandaoni wangeweza kuthibitisha kwamba kwa hakika wao ni wanadamu, basi ulaghai na walaghai wangepungua sana.

Kwa nini watu wanajiandikisha?

Worldcoin ilizinduliwa rasmi mwezi Julai, na mradi unaanza ziara ya kusajili miji mingi. Altman alichapisha video ya mistari mirefu nje ya vituo vya Orb, na akasema kuwa mradi huo ulikuwa unachanganua mtumiaji mpya kila sekunde nane.

Baadhi ya watu wamejiandikisha kwa ajili ya udadisi au ushirika wa teknolojia. Lakini wengi zaidi, inaonekana, walijiandikisha kwa sababu rahisi ni kupata pesa ambazo ni bonus kwa mtu yeyote ambaye alichanganua macho yake kwenye orb.

Kipengele cha cryptocurrency cha Worldcoin kinatumika kama mbinu ya uuzaji, miundombinu ya kifedha ya kimataifa.

Kwanini Worldcoin inakabiliwa na ukosoaji?

Wakosoaji wengi wameita biashara ya Worldcoin ya kukagua mboni kwa kubadilishana na Crypto Currency. na wengine wameilinganisha na hongo. Watu wengi wanasitasita kwa kueleweka kusalimisha data zao za kibayometriki kwa kampuni ya kibinafsi ya kuanzisha faida kwa malengo yasiyo na uhakika.

Hadi hapo itakua rahisi kila mtu kuelewa nini kinaendelea.

Worldcoin ni Digital Identity
Crypto currency ni Digital currency - fedha ya kidigitali

Jambo hili ni Lazima litafanikiwa.
Kwasababu njia rahisi ya biashara duniani ni lazima utumie fedha ya kidigitali. Kwa kasi kubwa sasa duniani katika nchi zilizoendelea watu hawapokei tena fedha mkono.
Pia Credit card za benki zimezidi kuwa na usalama mdogo sana wa kulinda fedha za wateja wake, camera za kisasa zimekua na uwezo mkubwa wa kuiba namba siri ambazo zinapatikana katika card ya benk ya mteja na kuweza kufanya wizi wa fedha. Hata uwe kwenye gari na lipo kwenye mwendo wa kasi bado camera zinaweza kunasa taarifa zako za kibenk katika card.

Sasa watu wanaanza kuamia katika fedha za kidijitali ambazo utaweza kutumia popote nchini kwa usalama zaidi.
Ukiwa china leo hii na Card yako ya CRDB basi utateseka sana.😂😂

Mpinga kristo.
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.

Sasa ufunuo huu umetimia katika maisha ya binadamu na umeanza kufanya kazi.

Video zipo nyingi YouTube.
Chip ndogo kama punje ya mchele inawekwa katika mkono
View attachment 2719170
Chip hiyo itabeba...
i. ID yako ambayo utaipata kwa kutuma au kutizamwa muonekano wa mboni la jicho lako (Iris)
ii. Funguo au Get pass
iii. Wallet.

Hutahitaji kutembea na Card ya benk wala Simu, ukiwa uchi tu unakimbia na utajiri wako 😂😂

Maswali ya kujiuliza..
Je chip hiyo itakuwa na uwezo gani wa siri katika mwili wa binadamu ?

AI robot ambao wanakuja kurahisisha maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa ni Computer yenye sura na muonekano wa binadamu.
Na sasa Neurolink za Artificial intelligence zimeweza kupandikizwa kwa binadamu na binadamu kuwa na uwezo wa muingiliano mkubwa na AI robot.

AI robot ataweza kumjua au kuingiliana zaidi na binadamu, ataongoza hisia na maamuzi ya binadamu kwa binadamu kuwekewa chip.
Inasemekana chip hiyo itamsaidi binadamu kuondokana na msongo wa mawazo kabisa na kutokujitambua.
Fikra za binadamu zitaweza kuongozwa na AI (your will, Action and Emotion ambazo hutoka nafsini mwa mtu)

Ufunuo wa Yohana 14:9-11
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.
Mkuu unajua una relate vitu ambavyo haviendani. Kwanza nataka nikueleze kwamba hayo uliyo copy na kuyapaste hapa mimi ndiye nimeyetafsiri kutoka kiingereza kuja kiswahili kwa ajili ya tovuti yao.
Halafu jambo la pili worldcoin haiwezi kuwa mpinga kristo kwa sababu kwanza marekani haijakubali kufanya kazi kwake ndiyo maana iko nchi za america ya kusini na asia huko na kenya ilikuwa imeanza kusajili watu ila ikasitishwa kwa sababu ya hofu za usalama wa taarifa.
World ID, lilikuwa wazo zuri na lengo lilikuwa mtu aweze kuverify taarifa bila kujulikana ni nani baada ya kufanya usajili wake. Worldcoin hawakutaka mtu mmoja awe na ueezo wa kufoji vitu labda akamiliki akau ti zaidi ya moja kwasababu kwa world id huwezi kujisajili mara mbili.
Lakini hili limefail nchi nyingi haziko radhi wananchi wake wascan mboni zao za macho so, ingekuwa kweli ni mpinga kristo basi nchi kubwa kubwa kama Marekani na Uingereza wangesupport hiki kitu.
Kwa jinsi mambo yalivyo The Foundation naona kwa hiki kitu haitofanikiwa.
 
Mkuu unajua una relate vitu ambavyo haviendani. Kwanza nataka nikueleze kwamba hayo uliyo copy na kuyapaste hapa mimi ndiye nimeyetafsiri kutoka kiingereza kuja kiswahili kwa ajili ya tovuti yao.
Halafu jambo la pili worldcoin haiwezi kuwa mpinga kristo kwa sababu kwanza marekani haijakubali kufanya kazi kwake ndiyo maana iko nchi za america ya kusini na asia huko na kenya ilikuwa imeanza kusajili watu ila ikasitishwa kwa sababu ya hofu za usalama wa taarifa.
World ID, lilikuwa wazo zuri na lengo lilikuwa mtu aweze kuverify taarifa bila kujulikana ni nani baada ya kufanya usajili wake. Worldcoin hawakutaka mtu mmoja awe na ueezo wa kufoji vitu labda akamiliki akau ti zaidi ya moja kwasababu kwa world id huwezi kujisajili mara mbili.
Lakini hili limefail nchi nyingi haziko radhi wananchi wake wascan mboni zao za macho so, ingekuwa kweli ni mpinga kristo basi nchi kubwa kubwa kama Marekani na Uingereza wangesupport hiki kitu.
Kwa jinsi mambo yalivyo The Foundation naona kwa hiki kitu haitofanikiwa.
Pesa moja dunia nzima haito fanikiwa ?
Kuuza na kununua
 
Back
Top Bottom