Chapati ni chakula cha anasa kenya?

Wakenya wanakula chapati kwa kijiko au umma baada kuikata vipande vipande. Ulaji Chapati kwa kuchovya mwisho mwambao wa pwani.
 
Shukran jiran
 
Nyumbani kwetu chapooo tunakula kama snack tukingoja Ugali iive!!!!
 
Kitambo hicho nshagonga chapati za maana na Mchuzi wa Jodari ndani ya Mombasa,Labda anga za uko Nai lakini pande za Msa vitu wanajuwa kuvitoa.
 
Chapati ie very cheap here, 10ksh chapati moja. But watu wanapenda chapati sana
 
Nimeshuhudia kwenye maharusi mengi ya Kenya,chapati ni sehemu ya chakula chao cha anasa sana wakati tz chapati zinauzwa kila kona kwa bei chee tu.

Hii ikoje wakenya???
Haha ni mentality kwa harusi kazima chapo ikue,pilau ,mokimo etc hapo siongei,lakini pia huku chapo ziko kila mahali na ni cheap tu ukiwa na 10 au 20 bob unapata
 
Chapati yao ngumu kama gazeti haina ladha japo kuna wengine wanapika vizur...but ni chakula chip kushinda vyote
haha sijui hio ni ya wapi but si huwa hatupiki chapati ngumu si hupika soft na yenye nyama ,lakini ka ni za kuuzwa wao hupika konda konda but huwa cheap
 
Uongo chapo zetu ni soft,kwanza za kina Amina hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…