Chapati ni chakula cha anasa kenya?

Nimeshuhudia kwenye maharusi mengi ya Kenya,chapati ni sehemu ya chakula chao cha anasa sana wakati tz chapati zinauzwa kila kona kwa bei chee tu.

Hii ikoje wakenya???
Mimi nadhani nii utamaduni tu!
 
Ata westy kuna chapo dondo, kuna ubaya wa kula chapo dondo? food is choice, thats why others eat catepillars as a delicacy,snakes.Kam nikuzungushe westy places mob unaeza wai chapo dondo.
sitabishana ma wewe westy ni place moja,lakini ukisema westlands ni kubwa,lakini westy hakuwa mkahawa my friend,acha kutupima hapa,ndo maana nimesema maybe westlands coz kikuyu pia iko westlands na many other places,but huku si usema westland kumean westy
 
buda its either you stupid ama you acting,no kenyan knows swahili we mix english na swah,mayne coast atleast ndo wako sawa kiswahili na pia swahili yao si ya ujinga ka yenu ,and am not from nyanza buda am from Nai,kenya ni kubwa kwani unajua nyanza tu,fucking tanzanian acting like unajua kenya,na unaonanga kwa tv,kuna watu kenya hawajui kiswahili,juu kuna shule huku hazifunzi kiswahili,nigga this is kenya ,mbna tujue kiswahili?kitu muhimu ni bora tu communicate
 
Ilitakiwa iwe hivi Chapati kwa Kenya ndicho chakula pendwa

Yes wenzetu wanapenda Chapoo na Chipsi na Ketchup wa wale wadada , then kuna kitu kinaitwa sima na sukuma
true but we call it ugali na sukuma haha its famous dish kwanza western parts of kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…