Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Sasa wewe mkamba mkikuyu mbona unakaa hivyo? Ama ni kabegi na maembe yenye unakula Kwa wingi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]atleast umejisema,so please acha kuongea vitu hujui about kenya,tafadhali,respect bro
Ushaanza kutuambukiza kikenya, yaani nikisoma bango lako nalisoma kikenya kenya ndo nakupata...aku nakuelenya enye nasemakusema kweli TZ wanajua kiswahili poa sana kutushinda hio ni fact hapo hakuna debate hata a dumb person can see that,but haimanishi ako si tuko chini then nyi juu,lugha azifananangi and am happy coz sheng kila pande ya kenya hata mombasa wanaelewa so sijui whats your prob and nikija huko kwenu ntaakikisha nimewaambukiza kiswahili ya kenya hahah[emoji1]
Huwezi ukakula maana wewe ni mtu wa waru na dengu pweza huliwa na watu wapwani.Any kenyan here???nani hukula this kinda food,acha kunipima bro,peleke utanzania huko
Sizani kama kuna Mtz kutoka moyoni anaweza kumwona mkenya yuko chini kwa kua hajui Kiswahili! ila anaeweza mtania tu. Wa Tz kitu ambacho nicha kushangaza tunaweza chekana kwa kutojua kizungu ila siyo Kiswahili. Mabalozi kutoka karibu nchi zote siku hizi wana jifunza Kiswahili au wanakuja tayari wanakijua. Kwenye functions huwa wana toa hotuba kwa kusoma Kiswahili, wanakosea sana ila watu huwa hawa wezi cheka. Mimi sijawahi ona mtu akichekwa kisa hajui Kiswahili hiyo siyo desturi ya wa Tz, uliza wakenya wenzako walio wahi kuja Tz. Ila nachojua mimi Wakenya wa pwani wana wacheka wakenya wa Bara wakiongea Kiswahili ambacho hakijanyooka. Mademu wa pwani ya Kenya kama hujui Kiswahili vizuri unakua umejishushia marks hili nina ushahidi nalo.kusema kweli TZ wanajua kiswahili poa sana kutushinda hio ni fact hapo hakuna debate hata a dumb person can see that,but haimanishi ako si tuko chini then nyi juu,lugha azifananangi and am happy coz sheng kila pande ya kenya hata mombasa wanaelewa so sijui whats your prob and nikija huko kwenu ntaakikisha nimewaambukiza kiswahili ya kenya hahah[emoji1]
Acha kunipa kicheko dogo, African cuisine ipo tu wide na watu wanabuni mapishi kila siku,labda wewe umezoea muthokoi sasa utajuaje vyakula vingine?.Hahaha enyewe ww ni mtanzania tu,wapi watu hukula sambusa ya maharagwe!sijui mayai enyewe hizo ni za wapi?coz iys definitely not kenyan dish
There is nothing like jakadala .... you are just a tribal hatemonger!!! Watu wanaongea kuhusu chapo wewe unaleta your tribal rhetoric!!!Call a spade a spade, go right now to migori jakadala is killing people, saying that is a hate speech?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeisaidia Kenya Kwa mambo mengi tu ambayo hutaweza kuyafanya katika maisha yako yote.peleka utanzanj huko,i hate when pple here act kenyan and its clear to see they not,,,,ww umetoka sijui arusha hivi,and kunashida kuzaliwa time ya kenyatta?juu ww ulizaliwa time ya jomo kenyatta umesaidia nini kenya?
Issue sio kiswanglish ila ni viunganishi kwenye sentensi...enye, iko...nk ndo utamu wa lafudhi ya wakenya. I like itNi mchanganyiko wa kiingereza na kiswahili . Tatizo najua wewe hukifahamu kiingereza kwa hivyo unaninginia tu hewani.
Not exactly English and Swahili.Ni mchanganyiko wa kiingereza na kiswahili . Tatizo najua wewe hukifahamu kiingereza kwa hivyo unaninginia tu hewani.
Just Google jakadala you will see what is happening in migori,,it's no joke my friend and am not a tribal hatemonger I speak my mind.There is nothing like jakadala .... you are just a tribal hatemonger!!! Watu wanaongea kuhusu chapo wewe unaleta your tribal rhetoric!!!
Whatever floats your boat!!! I have written you off as a tribalist.Just Google jakadala you will see what is happening in migori,,it's no joke my friend and am not a tribal hatemonger I speak my mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
haha yeah wesy ya huyu mjamaa sijui ni gani hio juu ata iyo west pokot bado chapo dondo labda west yake ni ya jua.That is octopus,ama pweza we kama huli wapo wanaokula ,we sijui unatoka west pokoti ama turkana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akuna jakadala na wewe...plus I come from Nyanza migori county kwa border ya kenya na tz so kiswahili tunaitambua vizuri tunaeza ongea both dialects ya kenya na ya TZ.I prefer kenyan one, jakadala was a hoaxJust Google jakadala you will see what is happening in migori,,it's no joke my friend and am not a tribal hatemonger I speak my mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa anazingua aise.haha yeah wesy ya huyu mjamaa sijui ni gani hio juu ata iyo west pokot bado chapo dondo labda west yake ni ya jua.
Whatever your judgement,I'm who I'm ,and one thing you should keep in mind am not a tribalist.Whatever floats your boat!!! I have written you off as a tribalist.
Kule Kwa migodi iliisha? Unajua wewe upo upande wa sirare,jaribu kule Kwa akina junet. Bado ipo ,watu hawali bata kama ilivyo desturi ya watu wa migori. Wakuria kule kwenu kupo Sawa.Akuna jakadala na wewe...plus I come from Nyanza migori county kwa border ya kenya na tz so kiswahili tunaitambua vizuri tunaeza ongea both dialects ya kenya na ya TZ.I prefer kenyan one, jakadala was a hoax
Hawa jamaa wanachanganya mpaka unahisi kutapika watakupa wali wameeka dagaa , maharage na njegere pia eti ule.Mapishi hutofautiana,ata mapishi ya mkeo ma mama yako yana tofauti kubwa.Sisi Kenya maungo si lazima yawe kama TZ. Nimewai Kufika Musoma nikapata watu huko wanakula Wali kwa Dagaa nilishangaa maana kwetu Kuria Kenya sijaona mambo kama hayo niliagiza mimi nipewe Ugali maanake mimi mambo ya wali kwa dagaa hapana.
Tembo ya Tz pia sio mbaya mimi hupenda balimi afu cha kushangaza wanawake huko kunywa pombe si ishu hata vijijini.