kwa-muda JF-Expert Member Joined Sep 5, 2018 Posts 2,097 Reaction score 5,348 Sep 22, 2024 #21 Fabian Vitus said: Mmmmh mbn kazi ipo hapa tutatoboa kwerππππ¦ Click to expand... Ni uongo bot wenyewe wamesema ni uzushi
Fabian Vitus said: Mmmmh mbn kazi ipo hapa tutatoboa kwerππππ¦ Click to expand... Ni uongo bot wenyewe wamesema ni uzushi
Fabian Vitus JF-Expert Member Joined Jul 18, 2022 Posts 5,828 Reaction score 7,532 Sep 22, 2024 #22 Wacha Tusubiri nini kitafuata
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 24,514 Reaction score 65,521 Sep 22, 2024 #23 Machawa bhana kama vile wote ni wahaya yani eti mwanamke wa kwanza fyoko fyoko, sifa zitawaua panya nyie
Machawa bhana kama vile wote ni wahaya yani eti mwanamke wa kwanza fyoko fyoko, sifa zitawaua panya nyie
KJ07 JF-Expert Member Joined Dec 17, 2021 Posts 2,370 Reaction score 5,381 Sep 22, 2024 #24 Hata ingekuwa kweli tungefanya nini sisi panya mbele ya paka hawa. Solution ni moja. Mungu teketeza taifa hili lote. Wote tukose Full stop
Hata ingekuwa kweli tungefanya nini sisi panya mbele ya paka hawa. Solution ni moja. Mungu teketeza taifa hili lote. Wote tukose Full stop
pmwasyoke JF-Expert Member Joined May 27, 2010 Posts 4,760 Reaction score 3,324 Sep 22, 2024 #25 Hata hivi kwa thamani ya fedha zetu Ilivyoshuka miaka ya hivi karibuni BOT wangeanzisha noti za Tsh 20,000 na 100,000
Hata hivi kwa thamani ya fedha zetu Ilivyoshuka miaka ya hivi karibuni BOT wangeanzisha noti za Tsh 20,000 na 100,000
Palmoni JF-Expert Member Joined Jun 13, 2024 Posts 1,968 Reaction score 3,760 Sep 22, 2024 #26 kwa-muda said: Acheni uongo BOT wamesema ni uzushiView attachment 3103394 Click to expand... Yanaanza hivi Sijui feki kumbe wanacheki upepo,,Wanyonge watatamka lipi?zitapigwa Kelele weeeh,,Wanatujua wazee wa bendera fuata upepo,,wazee wa trendini,,Inatafutwa sababu na inakuwa hivyo.
kwa-muda said: Acheni uongo BOT wamesema ni uzushiView attachment 3103394 Click to expand... Yanaanza hivi Sijui feki kumbe wanacheki upepo,,Wanyonge watatamka lipi?zitapigwa Kelele weeeh,,Wanatujua wazee wa bendera fuata upepo,,wazee wa trendini,,Inatafutwa sababu na inakuwa hivyo.
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Sep 22, 2024 #27 Mbona naona kama habari zimeshakanushwa