Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ruttashobolwa mdogo wako kaja tena
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka 2013 pale nchini Uganda, Proscovia Oromait aliweka rekodi ya kuwa The Youngest MP in the World baada ya kuchaguliwa akiwa na miaka 19 tu.
Sasa basi huu ni wakati muafaka wa vijana wetu macelebrity, nazungumzia washkaji zake Le Mutuz yaani Young dee, Young Killer Msodoki, Dogo Aslay na LULU kugombania Ubunge. They are energetic na watasaidia sana kutetea vijana, najua wengine mtakuja na blah blah za elimu lakini msisahau sifa ya Mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu.
Vijana ni taifa la leo sio kesho, tuwasapoti maceleb wetu.
Mwaka 2013 pale nchini Uganda, Proscovia Oromait aliweka rekodi ya kuwa The Youngest MP in the World baada ya kuchaguliwa akiwa na miaka 19 tu.
Sasa basi huu ni wakati muafaka wa vijana wetu macelebrity, nazungumzia washkaji zake Le Mutuz yaani Young dee, Young Killer Msodoki, Dogo Aslay na LULU kugombania Ubunge. They are energetic na watasaidia sana kutetea vijana, najua wengine mtakuja na blah blah za elimu lakini msisahau sifa ya Mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu.
Vijana ni taifa la leo sio kesho, tuwasapoti maceleb wetu.
lengo lake ilikuwa lemutuz,kamwingiza lemutuz kwenye vijana wanaobalehe.Lemutuz anabalehe uzeeni.Le Mutuz ameingiaje hapo?
Peleka matope yako arabuni huko wakayatifue !!pumbavu
Sheria za kuwa mbunge kweli zimelegalega sana yaani kujua kusoma na kuandika tu!!!