Jensen salamone
JF-Expert Member
- Sep 28, 2019
- 320
- 641
Umenibania uhondo bibieSiwezi aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenibania uhondo bibieSiwezi aisee
Kuna uzi wa jamaa uninaanza na cardi afanya nn sijui utafute utaona video libao kawekaUmenibania uhondo bibie
Ok basi sawa mkuuKuna uzi wa jamaa umeandikwa cardi achafua hali ya hewa kama sijakosea kaweka video kalikali zote nmshindwa kuushare humu cuz natumia app ya simu
Card ndio mnyama gani?Club gani
Nimesearch huo uzi sijaona. Umepostiwa jukwaa gani?Kuna uzi wa jamaa uninaanza na cardi afanya nn sijui utafute utaona video libao kaweka
Sio kwa ajili yangu wewe. Umegundua hilo kwamba vitu vikitupiwa hapa ni kwa ajili yangu?[emoji23][emoji23][emoji23] unataka watu wale ban kwajili yako hakuna mjinga atakaye fanya kwajili yako.
Nimesearch huo uzi sijaona. Umepostiwa jukwaa gani?
Hakuna uzi mwingine tofauti na huu, now come back to the point unanisaidiaje kupata hicho kideokabla sijaanzisha huu uzi nilisearch kwanza kama tayari kuna hizi habari nikaona hakuna ndio nilaanzisha Hata mimi nashangaa kusikia upo uzi mwingine
Hakuna starns
Entertainment kapost jukwaa hiloNimesearch huo uzi sijaona. Umepostiwa jukwaa gani?
Siipendi hii nyimbo dah
Ndio kweli hakuna labda lile cassino la Las Vegas ya muhimbili.Hakuna starns
CAsino hapa zote ni kamari tuNdio kweli hakuna labda lile cassino la Las Vegas ya muhimbili.
kamari yangu ni bettting tu hz nyingine ni wizi tuCAsino hapa zote ni kamari tu
sio muhimu
Ahahahahakamari yangu ni bettting tu hz nyingine ni wizi tu
Kama hapa nishakula zangu zauso nimetulia tu nasubiria kesho itakuwaje napo 😂Ahahahaha