Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Pumba crap mashudu at it's reality

Yaani wewe ni taahira na kiroboto nyani kima tumbili chawa minyoo samaki konokono na nzi wa chooni kwa mujibu wa evolutionary.

Pole sana a modern tumbili.
 
If God plus all what you call Heavenly things are known by faith, how were they injected into the physical world?
Can you prove the existence of those Heavenly things?
Inahitaji akili ya maiti kuamini kama binadamu alitokana na nyani.
 
Yaani wewe ni taahira na kiroboto nyani kima tumbili chawa minyoo samaki konokono na nzi wa chooni kwa mujibu wa evolutionary.

Pole sana a modern tumbili.
Reply yako hainishangazi maana Mungu aliumba ubongo wako kwa matope.
 
Siwezi kukulaumu maana evolution unayojua ni ile ya History form one, Evolution of Man......Probably I can bet.
Naelewa evolution inside and out na wapo watu na elimu zao professors Dr's Engineers Scientists wameikuta na upotoshaji na uongo chungu mzima sio wewe tabularasa ambae hata hujafanya research ya idadi ya wadogo zako.
 
Naelewa evolution inside and out na wapo watu na elimu zao professors Dr's Engineers Scientists wameikuta na upotoshaji na uongo chungu mzima sio wewe tabularasa ambae hata hujafanya research ya idadi ya wadogo zako.
Kwahiyo hiyo creationism mmeifanyia research kujua kwamba ni kweli?
 
Jamani mi nimekaa Ngorongoro mbona hata nyani mmoja hajaonyesha dalili za kubadilika? Hapa wazungu walipotoka. Hakunaga kitu hiyo aisee.
 
If God plus all what you call Heavenly things are known by faith, how were they injected into the physical world?
Can you prove the existence of those Heavenly things?
Till you meditate the word of God,
 
Unafahamu tatizo la antibiotic resistance? Unafahamu kwa nini dawa za antibiotics nyingi za zamani hazifanyi kazi?
"MKUU KIRANGA NAOMBA UNIELEZEE KUHUSU SEROLOGY IN DETAILS
NAFIKIRI TATIZO LA ANTIBIOTIC RESISTANCE TULIHUSIANISHE NA SPECIATION NA SIO EVOLUTIN KWA SANA BALI VIPO IN SAME STATE BUT DIFFERENT EXPLANATIONS"
 
mkuu charmilton sikatai kuwa na ww ni mfia theory za ajabu kama hizi ila ningependa unielezee in details kuhusu serology
 
mkuu charmilton sikatai kuwa na ww ni mfia theory za ajabu kama hizi ila ningependa unielezee in details kuhusu serology
Mimi siyo mfia theory kama unavyodai, mimi ninajifunza nikiwa na mawazo huru.


Kabla ya kuelezea Serology[ambayo ipo wazi hata kwa jina tu] unaweza kuniambia inahusiana vipi na kinachojadiliwa?....au ni mbinu ya kutoa treni kwenye reli?
 
Question religion(and other theories) question it all,questions exist until them questions are solved.
 
Hilo swali ili mwalimu wa history alijibu inatakiwa awe deep pia kwenye biology(science) kitu ambacho ni ngumu, na tatizo ni kurelay ktk source moja tu. Elimu yetu tunasoma na kukariri ili kujibia mitihani tu, sio kutafakari.
Umeongea vyema atoto, hii elimu ya kukariri ambayo haitoi nafasi ya mtu kufikirisha ubongo zaidi badala yake inalazimisha utembelee kwenye kanuni zile zile na ukienda tofauti umekosea haja kama ulikuwa kwenye mtiririko wa kuleta jibu sahihi, hii ni hatari sana.
Ndiyo maana kuna kanuni nyingine zimepingwa na kuonekana ni za kufikirika.
 
Mimi siyo mfia theory kama unavyodai, mimi ninajifunza nikiwa na mawazo huru.


Kabla ya kuelezea Serology[ambayo ipo wazi hata kwa jina tu] unaweza kuniambia inahusiana vipi na kinachojadiliwa?....au ni mbinu ya kutoa treni kwenye reli?
HAPO NDIPO NILIPOJUA KWAMBA UNADANDIA TRENI KWA MBELE YAANI KAMA UNGESOMA MADA VIZURI UNGEELEWA SWALI NILILOKUULIZA NI KWAMBA WENYE MAWAZO HURU KAMA NINYI MNAAAMINI KUHUSIANA NA EVOLUTION SAWA SIKATAI ILA NI KWA SABABU GANI GENETICAL MAKE UP PROTEIN YA SAMAKI HAIFANANI NA YA BINADAMU AU NYANI UKIZINGATIA KWAMBA MAWAZO YAKO HURU YANATUELEZEA KWAMBA SAMAKI ALI EVOLVE HADI KUWA MTU .FEEDBACK NASUBURI FEEDBACK
 
Wewe unataka kujua kuhusu Serology au Genome?.....au hujui tofauti kati ya hivyo vitu viwili?

Unajua ni kwa asilimia ngapi DNA za watu zinafanana na za Samaki au Nyani?

Genetical make up protein ndo kitu gani?

Halafu uandishi wako ni changamoto, huzingatii umuhimu wa matumizi ya herufi kubwa.
 
Kwa hy unatakaa kuniambia kutokan na tabia za nchii kubadilikaa badilikaa ulitokaa kirobotoo mpk nyanii mwishowe binadamu kbs.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…