Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Mkuu unaona ulivyo kihio/kilazer? mimi nimesema natathimini theory ya Darwin, wewe unadai kwamba nimesema nina thaminini theory ya Darwin.Hivi ni kweli kwamba hujui tofauti kati ya kuthamini na kutathimini? kwahiyo najadili na kakilazer?....Kutokukubali special creation theory amanishi kwamba namuunga Darwing mkono.Mimi ni Free thinker, si fungamani wala kuwa na unazi na upande wowote kati ya Darwinism au Special creation...ninafungamana na upande wenye maelezo na evidences za kutosha.Kwa hiyo kutokuamini kwangu kwenye Special creation haimanishi kuwa mimi ni Darwinist.Theories zote zinafaa kuletwa mezani zikiwa na maelezo na shahidi za kutosha ili tuzifanyie tathimini kuona nani yupo sawa na nani yupo kimakosa....ila nyie tayari mshazifunga akili zenu kwa kuamini kuwa Special creation ni sawa kwa 100%.....Kwa hiyo ieleweke kwamba ninatafuta shahidi na maelezo juu ya theory zote na siyo kufungamana wala kuiponda theory flani....itakayo appeal kwangu ndiyo nitakayoiamini......@MSEZA MKULU
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Wewe ni wapili sasa kujitoa Darwinism rasmi mwenzako msome posts za juu [emoji115] [emoji115] nae kajitoa Darwinism leoleo.

Jana ulikua unaitetea kwa nguvu zote umepigwa nondo za maana ukajaribu kuzitetea sasa zimekushinda unasema hauiamini Darwinism (naitathmini) theory ya 1800s mpaka leo inatathminiwa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Katika thread ambazo niliamini kuwa kuna watu ni wabishi lakini hawapendi kujifunza bali wanataka ubishi ni hii mada. Nakumbuka nilichangia mwanzoni sana lakini niliona hakuna anayependa tujifunze bali ni ubishi.

Anyway, kwa kutoa mchango na mawazo yangu, Charles Darwin sio muanzilishi wa concept ya Evolution. Mwanzoni hii idea ya evolution ilikwepo kwenye baadhi ya Imani kama vile Buddhism na Induism. Buddha alisema ulimwengu unachange, viumbe vinachange nothing stay the same as it is, everything change from one form to another. Pia kwa upande wa wanafalsafa idea hii ilitolewa mawazo na Lucretius mwanafalsafa wa kigiri aliyeamini ulimwengu, viumbe na ufahamu umeanzia kutoka simple to complex. Miaka 600 kabla ya Darwin uarabuni alikwepo mtafiti na explorer aitwaye Nasir al-Din Tusi ambaye naye alizungumzia evolution ya viumbe kwa kina na hakukosea ila tu hakuwa na tafiti. Wapo watafiti kabla ya Darwin kama vile Russel Walace, Thomas Malthus, Erasmus Darwin aliyekuwa mlezi na babu wa Darwing ndiye aliyemfundisha Darwin kuhusiana na evolution kwa kusafiri na, kuchunguza nyani wa Africa na waka watu wa kwanza kuamini kuwa Nyani, masokwe na binadamu wametoka katika aina moja ya kumbe kilichoishi zamani sana ambacho kutokana na mageuzi kwa muda mrefu wa miaka na miaka zikatoka species mbalimbali wakaziita primates. Hivyo evolution sio idea ya Darwin tu, kuna imani za kale ziliiamini, kuna wanafalsafa wa kale walisema hivyo hivyo ila contribution ya Darwin ni alipoifanya iwe kisayansi kwa kutafuta ushahidi wa Mabaki ya mifupa ya kale, kuangalia sifa za viumbe na classification.

Evolution haizungumzii mwanadamu tu, ni kila kiumbe dunia. Kupitia evolution farasi, punda na pundamilia waligunduliwa hapo kale walikuwa trait moja na species moja.

Evolution inajibu kuhusiana na kwanini simba, paka, chui, puma wanafanana.

Evolution inajibu kwanini nyangumi ana mapafu, ni mnyama na ana nywele badala ya magamba, kwanini nyangumi ananyonyesha na kuzaa. Ni kwasababu aliwahi kuwa mnyama wa nchi kavu aliyetemea kuwinda vyakula vya kwenye bahari na hatimaye maisha yake yakazoea na sasa anaishi majini, pia sawa kwa kasa, na Sea Lion.

Evolution inajibu jinsi Penguin waliwahi kuwa ndege

Evolution inajibu jinsi viumbe vilipoacha kutaga na kuanza kuzaa

Evolution inajibu kwanini kuna mchina, mwafrika, mzungu na wote wanatofautiana. Mwafrika hawezi kuzaa na mwafrika wakapata mchina hata siku moja, then kama bila evolution tutasema wachina na races zilitoka wapi?

Evolution inajibu kwanini ukikunja kiganja chako mishipa ya mkono unautumia sana inayounganisha muscles na movement ya vidole inatofautiana katika mkono ulioutumia zaidi.

Evolution inajibu kwanini watoto wako hawawezi kufanana na wewe completely, na jinsi genes zinavyofanya shuffling na mutation.

Evolution inajibu mutation inavyofanya kazi

Evolution inaelezea kwanini Olduvai na sehemu nyingi kuna mabaki ya Homins wana sifa za nyani katika muonekano lakini walikuwa watembea miguu miwili na wamekutwa mifupa yako kwenye mabaki ya mawe na mifupa. Mifupa ina alama za meno na mawe katika kufunjwa na mawe yanaonekana yamechongwa kwa nia na madhumuni ya matumizi.

Evolution inajibu jinsi mwanadamu alivyosambaa kutoka afrika kuenea mpaka mabara mengine

Evolution inajibu kwanini huwezi kupata mabaki ya kale ya mwanadamu yanayozidi miaka milion 1.5 nje ya Africa.

Evolution inajibu mabaki ya viumbe wa kale ambao hawapo leo mfano farasi mwenye kwato tatu mifupa yake ipo olduvai, twiga wa shingo fupi, vifaru wafupi, tembo mammoths, dinasours waliokuwa wanapaa.

So why shouldn't I believe in Evolution? It make sense to me.

NB: Mimi ni archaeologist ninachukua masters ya Pili (Masters in Archaeology) University of Dar es Salaam. Katika fields zangu nimechimba sana, nimechunguza mifupa sana for 5 years now na siwezi kupinga. Kuna concepts kwenye evolution unaziona kabisa kwenye remains za kale.

Kama huamini evolution its okay, kama unaona ni illuminati ni mawazo na fikra zako. Sio lazima kila mtu awe na mtazamo huo. Sio kila mtu ni mkristu au muislam. Wengine imani zetu zinaunga mkono evolution na hatuwezi kusema ni uongo au ni ushetani as some perceive kutokana na imani zao.
Acha kujifanya wewe pekee ndio umesoma Darwinism original Darwin theories zilikua hazina wala hazijajibu karibi 90% ya unayodai yalijibiwa ingependeza ukaandika neo Darwinism though mambo ya genetics yanatoa majibu yote wala haitajiki Darwin.

Nafikiri itajibu hata haya hapa.

Jibu haya maswali kila moja nipe naelezo yanayojitosheleza.

1. Which came first? Time, Space, Matter or energy?

2.Where did the necessary materials to create the universe come from and

where did they exist if there was no space?

3. Where did life originally come from if it can not appear spontaneously?

4. Which came first? Male or Female?

5. Why do we find petrified trees standing up through supposedly “millions” of years worth of geological layers?

6. What were the first elements to be formed?

7. When and how did the stars come to be?

8. When did the laws of nature(i.e. Gravity) first come into effect?

9. Why is an unproven theory used as fact?

10. How did the universe start(please provide specified details)?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Wewe ni wapili sasa kujitoa Darwinism rasmi mwenzako msome posts za juu [emoji115] [emoji115] nae kajitoa Darwinism leoleo.

Jana ulikua unaitetea kwa nguvu zote umepigwa nondo za maana ukajaribu kuzitetea sasa zimekushinda unasema hauiamini Darwinism (naitathmini) theory ya 1800s mpaka leo inatathminiwa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ndio maana nikasema wewe ni kakilazer kwa maana hata kitu kikiwa uchi huelewi.....Unafikiri hizo dini za wageni zinajibu kila kitu.....sikulaumu sana kwani uwezo wako wa kufikiri upo chini na pengine hapo ndio mwisho wake.
 
Katika thread ambazo niliamini kuwa kuna watu ni wabishi lakini hawapendi kujifunza bali wanataka ubishi ni hii mada. Nakumbuka nilichangia mwanzoni sana lakini niliona hakuna anayependa tujifunze bali ni ubishi.

Anyway, kwa kutoa mchango na mawazo yangu, Charles Darwin sio muanzilishi wa concept ya Evolution. Mwanzoni hii idea ya evolution ilikwepo kwenye baadhi ya Imani kama vile Buddhism na Induism. Buddha alisema ulimwengu unachange, viumbe vinachange nothing stay the same as it is, everything change from one form to another. Pia kwa upande wa wanafalsafa idea hii ilitolewa mawazo na Lucretius mwanafalsafa wa kigiri aliyeamini ulimwengu, viumbe na ufahamu umeanzia kutoka simple to complex. Miaka 600 kabla ya Darwin uarabuni alikwepo mtafiti na explorer aitwaye Nasir al-Din Tusi ambaye naye alizungumzia evolution ya viumbe kwa kina na hakukosea ila tu hakuwa na tafiti. Wapo watafiti kabla ya Darwin kama vile Russel Walace, Thomas Malthus, Erasmus Darwin aliyekuwa mlezi na babu wa Darwing ndiye aliyemfundisha Darwin kuhusiana na evolution kwa kusafiri na, kuchunguza nyani wa Africa na waka watu wa kwanza kuamini kuwa Nyani, masokwe na binadamu wametoka katika aina moja ya kumbe kilichoishi zamani sana ambacho kutokana na mageuzi kwa muda mrefu wa miaka na miaka zikatoka species mbalimbali wakaziita primates. Hivyo evolution sio idea ya Darwin tu, kuna imani za kale ziliiamini, kuna wanafalsafa wa kale walisema hivyo hivyo ila contribution ya Darwin ni alipoifanya iwe kisayansi kwa kutafuta ushahidi wa Mabaki ya mifupa ya kale, kuangalia sifa za viumbe na classification.

Evolution haizungumzii mwanadamu tu, ni kila kiumbe dunia. Kupitia evolution farasi, punda na pundamilia waligunduliwa hapo kale walikuwa trait moja na species moja.

Evolution inajibu kuhusiana na kwanini simba, paka, chui, puma wanafanana.

Evolution inajibu kwanini nyangumi ana mapafu, ni mnyama na ana nywele badala ya magamba, kwanini nyangumi ananyonyesha na kuzaa. Ni kwasababu aliwahi kuwa mnyama wa nchi kavu aliyetemea kuwinda vyakula vya kwenye bahari na hatimaye maisha yake yakazoea na sasa anaishi majini, pia sawa kwa kasa, na Sea Lion.

Evolution inajibu jinsi Penguin waliwahi kuwa ndege

Evolution inajibu jinsi viumbe vilipoacha kutaga na kuanza kuzaa

Evolution inajibu kwanini kuna mchina, mwafrika, mzungu na wote wanatofautiana. Mwafrika hawezi kuzaa na mwafrika wakapata mchina hata siku moja, then kama bila evolution tutasema wachina na races zilitoka wapi?

Evolution inajibu kwanini ukikunja kiganja chako mishipa ya mkono unautumia sana inayounganisha muscles na movement ya vidole inatofautiana katika mkono ulioutumia zaidi.

Evolution inajibu kwanini watoto wako hawawezi kufanana na wewe completely, na jinsi genes zinavyofanya shuffling na mutation.

Evolution inajibu mutation inavyofanya kazi

Evolution inaelezea kwanini Olduvai na sehemu nyingi kuna mabaki ya Homins wana sifa za nyani katika muonekano lakini walikuwa watembea miguu miwili na wamekutwa mifupa yako kwenye mabaki ya mawe na mifupa. Mifupa ina alama za meno na mawe katika kufunjwa na mawe yanaonekana yamechongwa kwa nia na madhumuni ya matumizi.

Evolution inajibu jinsi mwanadamu alivyosambaa kutoka afrika kuenea mpaka mabara mengine

Evolution inajibu kwanini huwezi kupata mabaki ya kale ya mwanadamu yanayozidi miaka milion 1.5 nje ya Africa.

Evolution inajibu mabaki ya viumbe wa kale ambao hawapo leo mfano farasi mwenye kwato tatu mifupa yake ipo olduvai, twiga wa shingo fupi, vifaru wafupi, tembo mammoths, dinasours waliokuwa wanapaa.

So why shouldn't I believe in Evolution? It make sense to me.

NB: Mimi ni archaeologist ninachukua masters ya Pili (Masters in Archaeology) University of Dar es Salaam. Katika fields zangu nimechimba sana, nimechunguza mifupa sana for 5 years now na siwezi kupinga. Kuna concepts kwenye evolution unaziona kabisa kwenye remains za kale.

Kama huamini evolution its okay, kama unaona ni illuminati ni mawazo na fikra zako. Sio lazima kila mtu awe na mtazamo huo. Sio kila mtu ni mkristu au muislam. Wengine imani zetu zinaunga mkono evolution na hatuwezi kusema ni uongo au ni ushetani as some perceive kutokana na imani zao.
Sijawahi kusoma hii kitu lakini kwa sababu ya kutaka kujua. Nimethibitishiwa na ex-evolutionists,Scientists, na Modern evolutionsists kuwa haya unayosema yote yamekwsha kuwa proven wrong. Tunamsema Darwin baadae anakuwa linked na karl marx, Renin, etc kwa sababu huu ulikuwa ni mpango wa kuilisha dunia nzima hasa ya wasomi uongo. Hao waarabu na Mabudha tunawajua maana concept hizi zilianza zaidi ya miaka 100BC.

Masters of Archeology has nothing to do with this discussion unless You give us scientific Facts based on geneology and physiology, Convice based on fact how mutation support evolution. Mutation has nothing to do With evolution(mutation process it self is agaist the theory), Darwin, hao waarabu na pro darwin wote wamekuwa proven wrong with current scientifc facts. sijui unapata wapi ujasiri wa kuandika haya mambo bila facts.
 
Ndio maana nikasema wewe ni kakilazer kwa maana hata kitu kikiwa uchi huelewi.....Unafikiri hizo dini za wageni zinajibu kila kitu.....sikulaumu sana kwani uwezo wako wa kufikiri upo chini na pengine hapo ndio mwisho wake.
Umesikia Darwinism nayo ni dini umeshtuka sana ukabadili mawazo hapohapo haya nenda kajitathmini huwenda Freemason Darwin akakuvutia na utapeli wake kwa mara ya pili.
 
Katika thread ambazo niliamini kuwa kuna watu ni wabishi lakini hawapendi kujifunza bali wanataka ubishi ni hii mada. Nakumbuka nilichangia mwanzoni sana lakini niliona hakuna anayependa tujifunze bali ni ubishi.

Anyway, kwa kutoa mchango na mawazo yangu, Charles Darwin sio muanzilishi wa concept ya Evolution. Mwanzoni hii idea ya evolution ilikwepo kwenye baadhi ya Imani kama vile Buddhism na Induism. Buddha alisema ulimwengu unachange, viumbe vinachange nothing stay the same as it is, everything change from one form to another. Pia kwa upande wa wanafalsafa idea hii ilitolewa mawazo na Lucretius mwanafalsafa wa kigiri aliyeamini ulimwengu, viumbe na ufahamu umeanzia kutoka simple to complex. Miaka 600 kabla ya Darwin uarabuni alikwepo mtafiti na explorer aitwaye Nasir al-Din Tusi ambaye naye alizungumzia evolution ya viumbe kwa kina na hakukosea ila tu hakuwa na tafiti. Wapo watafiti kabla ya Darwin kama vile Russel Walace, Thomas Malthus, Erasmus Darwin aliyekuwa mlezi na babu wa Darwing ndiye aliyemfundisha Darwin kuhusiana na evolution kwa kusafiri na, kuchunguza nyani wa Africa na waka watu wa kwanza kuamini kuwa Nyani, masokwe na binadamu wametoka katika aina moja ya kumbe kilichoishi zamani sana ambacho kutokana na mageuzi kwa muda mrefu wa miaka na miaka zikatoka species mbalimbali wakaziita primates. Hivyo evolution sio idea ya Darwin tu, kuna imani za kale ziliiamini, kuna wanafalsafa wa kale walisema hivyo hivyo ila contribution ya Darwin ni alipoifanya iwe kisayansi kwa kutafuta ushahidi wa Mabaki ya mifupa ya kale, kuangalia sifa za viumbe na classification.

Evolution haizungumzii mwanadamu tu, ni kila kiumbe dunia. Kupitia evolution farasi, punda na pundamilia waligunduliwa hapo kale walikuwa trait moja na species moja.

Evolution inajibu kuhusiana na kwanini simba, paka, chui, puma wanafanana.

Evolution inajibu kwanini nyangumi ana mapafu, ni mnyama na ana nywele badala ya magamba, kwanini nyangumi ananyonyesha na kuzaa. Ni kwasababu aliwahi kuwa mnyama wa nchi kavu aliyetemea kuwinda vyakula vya kwenye bahari na hatimaye maisha yake yakazoea na sasa anaishi majini, pia sawa kwa kasa, na Sea Lion.

Evolution inajibu jinsi Penguin waliwahi kuwa ndege

Evolution inajibu jinsi viumbe vilipoacha kutaga na kuanza kuzaa

Evolution inajibu kwanini kuna mchina, mwafrika, mzungu na wote wanatofautiana. Mwafrika hawezi kuzaa na mwafrika wakapata mchina hata siku moja, then kama bila evolution tutasema wachina na races zilitoka wapi?

Evolution inajibu kwanini ukikunja kiganja chako mishipa ya mkono unautumia sana inayounganisha muscles na movement ya vidole inatofautiana katika mkono ulioutumia zaidi.

Evolution inajibu kwanini watoto wako hawawezi kufanana na wewe completely, na jinsi genes zinavyofanya shuffling na mutation.

Evolution inajibu mutation inavyofanya kazi

Evolution inaelezea kwanini Olduvai na sehemu nyingi kuna mabaki ya Homins wana sifa za nyani katika muonekano lakini walikuwa watembea miguu miwili na wamekutwa mifupa yako kwenye mabaki ya mawe na mifupa. Mifupa ina alama za meno na mawe katika kufunjwa na mawe yanaonekana yamechongwa kwa nia na madhumuni ya matumizi.

Evolution inajibu jinsi mwanadamu alivyosambaa kutoka afrika kuenea mpaka mabara mengine

Evolution inajibu kwanini huwezi kupata mabaki ya kale ya mwanadamu yanayozidi miaka milion 1.5 nje ya Africa.

Evolution inajibu mabaki ya viumbe wa kale ambao hawapo leo mfano farasi mwenye kwato tatu mifupa yake ipo olduvai, twiga wa shingo fupi, vifaru wafupi, tembo mammoths, dinasours waliokuwa wanapaa.

So why shouldn't I believe in Evolution? It make sense to me.

NB: Mimi ni archaeologist ninachukua masters ya Pili (Masters in Archaeology) University of Dar es Salaam. Katika fields zangu nimechimba sana, nimechunguza mifupa sana for 5 years now na siwezi kupinga. Kuna concepts kwenye evolution unaziona kabisa kwenye remains za kale.

Kama huamini evolution its okay, kama unaona ni illuminati ni mawazo na fikra zako. Sio lazima kila mtu awe na mtazamo huo. Sio kila mtu ni mkristu au muislam. Wengine imani zetu zinaunga mkono evolution na hatuwezi kusema ni uongo au ni ushetani as some perceive kutokana na imani zao.
Mkuu umeleta maelezo mazuri sana, hawa watu wanaamini kwamba evolution ilianzishwa na Darwin baada ya kuhongwa na Masonic clubs ili kuchalenje dini.Hawataki kuamini kwamba evolution ilishaanza kujadiliwa kabla ya Darwin.Yaani wao ni stubborn balaa, mtu akiwapinga ama kuwahoji wanadhani katumwa na Shetani kuwaharibia mambo yao.....kila theory ijadiliwe, itakayojitosheleza mtu aamue kuiamni....Kila la kheri Mkuu.
 
Ndio maana nikasema wewe ni kakilazer kwa maana hata kitu kikiwa uchi huelewi.....Unafikiri hizo dini za wageni zinajibu kila kitu.....sikulaumu sana kwani uwezo wako wa kufikiri upo chini na pengine hapo ndio mwisho wake.
Anashangaaa theory ya 1800's kutathiminiwa wakati biblia ina mamia na mamia ya miaka na bado inatathiminiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesikia Darwinism nayo ni dini umeshtuka sana ukabadili mawazo hapohapo haya nenda kajitathmini huwenda Freemason Darwin akakuvutia na utapeli wake kwa mara ya pili.
Darwin ni dini? hahahaaa kwa mara ya tatu, wewe ni kakilazer....mimi sina unazi na dini yoyote endeleeni kukatetea hako msichokijua wala kukiona.
 
Anashangaaa theory ya 1800's kutathiminiwa wakati biblia ina mamia na mamia ya miaka na bado inatathimini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Darwinism ina miaka 200s, bibilia ina miaka zaidi ya 4000 sasa huyu tayari nimeshamuita kakilazer sina haja ya kujadili naye jambo.Eti Darwinism ni dini? hahahahaaa...lol! maajabu makubwa ya wanadamu yapo Africa aisee.
 
Darwinism ina miaka 200s, bibilia ina miaka zaidi ya 4000 sasa huyu tayari nimeshamuita kakilazer sina haja ya kujadili naye jambo.Eti Darwinism ni dini? hahahahaaa...lol! maajabu makubwa ya wanadamu yapo Africa aisee.
Wewe unafikiri dini inahitaji mambo mengi sana yaani kwamba unaimanini Darwinism that's religion.

1. Beliefs and believers - Beliefs are the key tenets, doctrines, or values,believers (Darwinism and darwinists)

2. Sacred texts and writings - The most important beliefs of a religion are contained in its sacred texts. (survival of the fittest & natural selection)

3. Ethics - Ethics is the reasoning behind moral decision making. (there is no God no creationism)

4. Rituals and ceremonies - Rituals and ceremonies are practical expressions of aspects of a religion. (ceremony of the birthday of Charles Darwin and Darwinism)

Dini inahitaji mambo manne tu nayo mnayo yote [emoji115] [emoji115] [emoji115]

1473584817026.jpg
Christmas ya Darwinists [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu umeleta maelezo mazuri sana, hawa watu wanaamini kwamba evolution ilianzishwa na Darwin baada ya kuhongwa na Masonic clubs ili kuchalenje dini.Hawataki kuamini kwamba evolution ilishaanza kujadiliwa kabla ya Darwin.Yaani wao ni stubborn balaa, mtu akiwapinga ama kuwahoji wanadhani katumwa na Shetani kuwaharibia mambo yao.....kila theory ijadiliwe, itakayojitosheleza mtu aamue kuiamni....Kila la kheri Mkuu.
Hakuna anayeamini evolution ilianzishwa naDarwin. Darwin aliinstitute theories alizozirithi kwa baba yake kupitia babu Yake Erasmus. Hao wengine hawakuwa universal ni imani na mila potofu tu kama zilivyo zingine kama Tohara kwa wanawake . Tatizo huyujamaa wameziingiza hadi kwenye mitaala na ni grobal theory, na amejipatia wafuasi dunia nzima. Tena akaiassociate theory na science. Hapa ndio tunapata ground ya kumchambua na wafuasi wake wote na kupata ujasiri kuchungulia multidimensions za huyu na babu yake alikuwa ni nani na aliamini nini.
 
Katika thread ambazo niliamini kuwa kuna watu ni wabishi lakini hawapendi kujifunza bali wanataka ubishi ni hii mada. Nakumbuka nilichangia mwanzoni sana lakini niliona hakuna anayependa tujifunze bali ni ubishi.

Anyway, kwa kutoa mchango na mawazo yangu, Charles Darwin sio muanzilishi wa concept ya Evolution. Mwanzoni hii idea ya evolution ilikwepo kwenye baadhi ya Imani kama vile Buddhism na Induism. Buddha alisema ulimwengu unachange, viumbe vinachange nothing stay the same as it is, everything change from one form to another. Pia kwa upande wa wanafalsafa idea hii ilitolewa mawazo na Lucretius mwanafalsafa wa kigiri aliyeamini ulimwengu, viumbe na ufahamu umeanzia kutoka simple to complex. Miaka 600 kabla ya Darwin uarabuni alikwepo mtafiti na explorer aitwaye Nasir al-Din Tusi ambaye naye alizungumzia evolution ya viumbe kwa kina na hakukosea ila tu hakuwa na tafiti. Wapo watafiti kabla ya Darwin kama vile Russel Walace, Thomas Malthus, Erasmus Darwin aliyekuwa mlezi na babu wa Darwing ndiye aliyemfundisha Darwin kuhusiana na evolution kwa kusafiri na, kuchunguza nyani wa Africa na waka watu wa kwanza kuamini kuwa Nyani, masokwe na binadamu wametoka katika aina moja ya kumbe kilichoishi zamani sana ambacho kutokana na mageuzi kwa muda mrefu wa miaka na miaka zikatoka species mbalimbali wakaziita primates. Hivyo evolution sio idea ya Darwin tu, kuna imani za kale ziliiamini, kuna wanafalsafa wa kale walisema hivyo hivyo ila contribution ya Darwin ni alipoifanya iwe kisayansi kwa kutafuta ushahidi wa Mabaki ya mifupa ya kale, kuangalia sifa za viumbe na classification.

Evolution haizungumzii mwanadamu tu, ni kila kiumbe dunia. Kupitia evolution farasi, punda na pundamilia waligunduliwa hapo kale walikuwa trait moja na species moja.

Evolution inajibu kuhusiana na kwanini simba, paka, chui, puma wanafanana.

Evolution inajibu kwanini nyangumi ana mapafu, ni mnyama na ana nywele badala ya magamba, kwanini nyangumi ananyonyesha na kuzaa. Ni kwasababu aliwahi kuwa mnyama wa nchi kavu aliyetemea kuwinda vyakula vya kwenye bahari na hatimaye maisha yake yakazoea na sasa anaishi majini, pia sawa kwa kasa, na Sea Lion.

Evolution inajibu jinsi Penguin waliwahi kuwa ndege

Evolution inajibu jinsi viumbe vilipoacha kutaga na kuanza kuzaa

Evolution inajibu kwanini kuna mchina, mwafrika, mzungu na wote wanatofautiana. Mwafrika hawezi kuzaa na mwafrika wakapata mchina hata siku moja, then kama bila evolution tutasema wachina na races zilitoka wapi?

Evolution inajibu kwanini ukikunja kiganja chako mishipa ya mkono unautumia sana inayounganisha muscles na movement ya vidole inatofautiana katika mkono ulioutumia zaidi.

Evolution inajibu kwanini watoto wako hawawezi kufanana na wewe completely, na jinsi genes zinavyofanya shuffling na mutation.

Evolution inajibu mutation inavyofanya kazi

Evolution inaelezea kwanini Olduvai na sehemu nyingi kuna mabaki ya Homins wana sifa za nyani katika muonekano lakini walikuwa watembea miguu miwili na wamekutwa mifupa yako kwenye mabaki ya mawe na mifupa. Mifupa ina alama za meno na mawe katika kufunjwa na mawe yanaonekana yamechongwa kwa nia na madhumuni ya matumizi.

Evolution inajibu jinsi mwanadamu alivyosambaa kutoka afrika kuenea mpaka mabara mengine

Evolution inajibu kwanini huwezi kupata mabaki ya kale ya mwanadamu yanayozidi miaka milion 1.5 nje ya Africa.

Evolution inajibu mabaki ya viumbe wa kale ambao hawapo leo mfano farasi mwenye kwato tatu mifupa yake ipo olduvai, twiga wa shingo fupi, vifaru wafupi, tembo mammoths, dinasours waliokuwa wanapaa.

So why shouldn't I believe in Evolution? It make sense to me.

NB: Mimi ni archaeologist ninachukua masters ya Pili (Masters in Archaeology) University of Dar es Salaam. Katika fields zangu nimechimba sana, nimechunguza mifupa sana for 5 years now na siwezi kupinga. Kuna concepts kwenye evolution unaziona kabisa kwenye remains za kale.

Kama huamini evolution its okay, kama unaona ni illuminati ni mawazo na fikra zako. Sio lazima kila mtu awe na mtazamo huo. Sio kila mtu ni mkristu au muislam. Wengine imani zetu zinaunga mkono evolution na hatuwezi kusema ni uongo au ni ushetani as some perceive kutokana na imani zao.
Tunafanya hivi ili raia wawe na multiple option.
Duniani kote raia wanapewa taarifa za upande mmoja based on evolution theories.
Kwenye Media, SHULE, Magazeti,University systems, libraries, movies, tamthilia, some political systems. Hii sio fair maarifa yote lazima yawe available ili watu wachague nini bora.
 
Mkuu umeleta maelezo mazuri sana, hawa watu wanaamini kwamba evolution ilianzishwa na Darwin baada ya kuhongwa na Masonic clubs ili kuchalenje dini.Hawataki kuamini kwamba evolution ilishaanza kujadiliwa kabla ya Darwin.Yaani wao ni stubborn balaa, mtu akiwapinga ama kuwahoji wanadhani katumwa na Shetani kuwaharibia mambo yao.....kila theory ijadiliwe, itakayojitosheleza mtu aamue kuiamni....Kila la kheri Mkuu.
Threader amemuelezea vizuri tu huyo aliyeanzisha hiyo chai.

Before coming to Derby in 1788, Dr. Erasmus Darwin (1731-1802), physician and biologist, grandfather of Charles, became a Mason in the Lodge of Cannongate Kilwinning, No. 2, of Scotland.

Full massnondo!! [emoji123] [emoji123] [emoji123]

evolution of man Freemasonry cheap crap.
Proved [emoji817] [emoji818]
 
Tunafanya hivi ili raia wawe na multiple option.
Duniani kote raia wanapewa taarifa za upande mmoja based on evolution theories.
Kwenye Media, SHULE, Magazeti,University systems, libraries, movies, tamthilia, some political systems. Hii sio fair maarifa yote lazima yawe available ili watu wachague nini bora.
Ina maana wataka kusema raia hawana option ya kuchagua pindi zijapo theories za chanzo cha uhai? Kwani special creation theory haifundishi kwenye jamii?...Evolution ni famous kwa sababu inachunguzika/able to be tested tofauti na hiyo ya Mungu iliyoshushwa from nowhere.Kuwepo kwa wafuasi wengi na makosa/changamoto nyingi kwenye Evolution ni kwa sababu watu wanaweza kuijifunza na kuichambua tofauti na hiyo ya Mungu iliyokuja na vitisho ili kuforce watu waikubali.
 
Unafahamu tatizo la antibiotic resistance? Unafahamu kwa nini dawa za antibiotics nyingi za zamani hazifanyi kazi?
😡😡😡😡😡😡😡😡😡

ni kwasababu tunaelekea kuwa SUNGURA PORI badala ya kuwa NYANI NGABU
 
Mkuu umeleta maelezo mazuri sana, hawa watu wanaamini kwamba evolution ilianzishwa na Darwin baada ya kuhongwa na Masonic clubs ili kuchalenje dini.Hawataki kuamini kwamba evolution ilishaanza kujadiliwa kabla ya Darwin.Yaani wao ni stubborn balaa, mtu akiwapinga ama kuwahoji wanadhani katumwa na Shetani kuwaharibia mambo yao.....kila theory ijadiliwe, itakayojitosheleza mtu aamue kuiamni....Kila la kheri Mkuu.

Ndugu, nashukuru sana kwa kuwa free-minded. Kila la kheri katika kujifunza mengi [emoji120]
 
Ina maana wataka kusema raia hawana option ya kuchagua pindi zijapo theories za chanzo cha uhai? Kwani special creation theory haifundishi kwenye jamii?...Evolution ni famous kwa sababu inachunguzika/able to be tested tofauti na hiyo ya Mungu iliyoshushwa from nowhere.Kuwepo kwa wafuasi wengi na makosa/changamoto nyingi kwenye Evolution ni kwa sababu watu wanaweza kuijifunza na kuichambua tofauti na hiyo ya Mungu iliyokuja na vitisho ili kuforce watu waikubali.
Unazidi kujionesha ulivyomtupu kichwani huo utafiti uliokuonyesha samaki akiwa dinosaur uliufanya wapi na matokeo yalikuaje?

Alafu umeshasema hii theory hauijui (hujaitathmini) unawezaje kuijibia maswali na kuitetea dini yako ambayo bado haujaitathmini?

Pia umesema wakristo tudanganywa na wazungu lakini wewe naona povu linakutoka haswa kumtetea tapeli wako Darwin au ameshabadili uraia?
[emoji23] [emoji23] [emoji97] [emoji23]
 
Uko vizuri, Walipaswa kujua hata Darwin wakati yuko kwenye meli alikuwa anasoma kitabu cha geology kabla ya kufika kile kisiwa cha archipelago. Story za kwenye kile kitabu zilimuinfluence kutunga hizo baseless theories. Ushauri wa wafuasi wa huyu mzushi wajue Updates sciences especially science of genetics zimemuoutdate Barwin na wafuasi wake.


Mfano Mdogo tu;
Natural selection Theory haijibu Hicho kitu kilitoka wapi. Theory inacompare vitu viwili ambavyo vipo tayari. Mfano kipepeo mweupe na brown kwenye mti wa brown. Wanaeleza eti DNa Molecules na Genes zilitokea By chance.

Swali Dogo tu;
DNA ni vinasaba vinavyobeba taarifa zote za kiumbe kuanzia jinsi alivyo yaani kila kitu. Gene moja inamamillion ya taarifa kuhusu wewe. Probability ya Kulilipua GOGO upate KITI tena chenye mpangilio wenye kuelewana, Ni Zero. Huu mfano unaua theory nyingine Ovyo kabisa inaitwa BING BANG Theory

Tujitahidi kumwambia na Prof Ndalichetu haya mambo ya ujinga eti binadamu katoka kwenye kundi la mafisi hapana kwa kweli, rekebisheni vitabu vya history nyie mnaojifanya watungaji wa vitabu, hivi kweli prof na midevu yako unaweza kuamini haya madudu??
 
Ndugu, nashukuru sana kwa kuwa free-minded. Kila la kheri katika kujifunza mengi [emoji120]
usimpotoshe mwenzako, kama kuna cha kujifunza hapa ndio mahali yake. leo hapa tunajadilli k kadika dimension of what you belief. Theories zote zikifeli tuangalie plan B kama inalipa. Sasa mmepewa uwanja wa kuextract all of your academic knowledges naona kama mnakimbiakimbia. This is your arena. Shusha nondo kama zipo tuzichallenge
 
Sijawahi kusoma hii kitu lakini kwa sababu ya kutaka kujua. Nimethibitishiwa na ex-evolutionists,Scientists, na Modern evolutionsists kuwa haya unayosema yote yamekwsha kuwa proven wrong. Tunamsema Darwin baadae anakuwa linked na karl marx, Renin, etc kwa sababu huu ulikuwa ni mpango wa kuilisha dunia nzima hasa ya wasomi uongo. Hao waarabu na Mabudha tunawajua maana concept hizi zilianza zaidi ya miaka 100BC.

Masters of Archeology has nothing to do with this discussion unless You give us scientific Facts based on geneology and physiology, Convice based on fact how mutation support evolution. Mutation has nothing to do With evolution(mutation process it self is agaist the theory), Darwin, hao waarabu na pro darwin wote wamekuwa proven wrong with current scientifc facts. sijui unapata wapi ujasiri wa kuandika haya mambo bila facts.

Unaposema Archaeology haihusiani na evolution na Darwin una hakika ndugu? Unaposema Mutation inapishana na evolution una uhakika?

Pia sijaongea au kuchangia kuonyesha kwamba ninajua sana nimesema background yangu kujua kwamba ambaye atakuwa na hekima ataniuliza swali ambalo linaendana na concept za Darwin au evolution kwa ujumla na tukaeleweshana.

Nilipochangia ninachangia kwa sababu ninasoma hizi concepts mpaka leo hii. Ni concepts ambazo zina umuhimu kwangu na katika kazi zangu.

Mifupa ya kale ninafanya nayo utafiti mpaka leo hii. Ninachimba maeneo mengi kwa uchimbaji wa kitaalam na vipimo kufukua mifupa ya kale. Ninaona kwa macho yangu. Sizungumzii kwa ubishi au kwa kufanya fulani aonekane muongo. Naamini wapo wanaopenda kujifunza na sipendi wapotoke. Kama wakipotoka mimi nitakuwa sijatoa ushuhuda wangu kuangaza watu.

[emoji120]
 
Back
Top Bottom