Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Niliwahi kumuuliza mwalimu wa history inakuaje tena manyani hayageuki na kuwa binadamu alishindwa kujibu wote tukaangua kicheko.

Ajabu upuuzi huu bado unafundishwa tuu.
Mkuu Darwinism ni nadharia kama zilivyo nadharia zingine kama nadharia za kusema kiswahili ni krieoli au pijini, au kiswahili ni kibantu au ni kiarabu. Sioni tatizo ikiwa na mapungufu.

Tatizo walimu wakifundisha wanafundisha theory kama principle that's why bright leaners wanapofanya upembuzi wanayaona makosa. Wakati makosa hayo yalitakiwa yasemwe kama mapungufu tu.
 
Evolution haisemi hivyo mkuu..Nyani hakubadilika na kuwa binadamu ila binadamu unae mwona leo ndiye alifanyika evolution.
Na kwa hili hadi leo linathibitika binadamu wa zamani chukulia tu babu zetu kuna tofauti na sisi japo ni mere kuiona
Theory gani hiyo ya Darwinism inasema hivyo?
1473568147484.jpg


Hapo kwenye picture kilicho undergone evolution change ni kipi from the first place?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu Redeemer ulikua sawa inabidi nijeuke lecturer sasa siona muona tena huyu[emoji115] [emoji115]
 
Niliwahi kumuuliza mwalimu wa history inakuaje tena manyani hayageuki na kuwa binadamu alishindwa kujibu wote tukaangua kicheko.

Ajabu upuuzi huu bado unafundishwa tuu.
Mkuu Darwinism ni nadharia kama zilivyo nadharia zingine kama nadharia za kusema kiswahili ni krieoli au pijini, au kiswahili ni kibantu au ni kiarabu. Sioni tatizo ikiwa na mapungufu.

Tatizo walimu wakifundisha wanafundisha theory kama principle that's why bright leaners wanapofanya upembuzi wanayaona makosa. Wakati makosa hayo yalitakiwa yasemwe kama mapungufu tu.
 
Theory gani hiyo ya Darwinism inasema hivyo? View attachment 397418

Hapo kwenye picture kilicho undergone evolution change ni kipi from the first place?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu Redeemer ulikua sawa inabidi nijeuke lecturer sasa siona muona tena huyu[emoji115] [emoji115]
Zaidi ya yote nimeshindwa kuelewa lengo ni nini la kuileta hii theory tuijadili. Maana kama ni mapungufu nadharia karibia zote duniani zina mapungufu kama ilivyo hii ya Darwin.
Philosophical theories zina weakness
Psychological thoeries zina weaknesses ..
Language's theories zina weaknesses.

Sioni tatizo hiyo nayo ikiwa na mapungufu mkuu
 
Zaidi ya yote nimeshindwa kuelewa lengo ni nini la kuileta hii theory tuijadili. Maana kama ni mapungufu nadharia karibia zote duniani zina mapungufu kama ilivyo hii ya Darwin.
Philosophical theories zina weakness
Psychological thoeries zina weaknesses ..
Language's theories zina weaknesses.

Sioni tatizo hiyo nayo ikiwa na mapungufu mkuu
Umeulizwa swali. Jibu swali acha kuingi vichakani nenda moja kwa moja kwenye jibu.
 
Zaidi ya yote nimeshindwa kuelewa lengo ni nini la kuileta hii theory tuijadili. Maana kama ni mapungufu nadharia karibia zote duniani zina mapungufu kama ilivyo hii ya Darwin.
Philosophical theories zina weakness
Psychological thoeries zina weaknesses ..
Language's theories zina weaknesses.

Sioni tatizo hiyo nayo ikiwa na mapungufu mkuu
Thanks now you are coming to my 10 billion dollar questions.

7. Why is an unproven theory used as fact?
 
Jibu ni kwamba ni mapungufu.
Eeh lengo la jibu langu kwenu ni lipi
Asante kwa kukiri kwamba Darwinism ni delusional na irrelevant theory.

Welcome back.
 
Hivi hujui kuwa kila kitu kinabadilika kulingana na mazingira?....hao unaowaulizia unadhani ni kitu gani kingewazuia kukamilisha evolutions na kubakia hivyo?....pili hiyo hatua ya mwishi, ni kweli kuwa binadamu wote ni wazungu kama picha inavyoonesha?
 
Thanks now you are coming to my 10 billion dollar questions.

7. Why is an unproven theory used as fact?
Swali lako linamajibu mengi saana.

Theory is a body of framework or accepted assumptions attempted to provide plausible and rational blah blah......lengo ni kudraw conclusion

Used as fact where? In schools au na wapinga biblia katika kuelezea original ya binadamu?

Swali halipo specific tho.

Kama ni katika shule ina haki ya kutumika maana katika ku draw conclusion lazima tuwe na body of frame works(theories) na tunachagua moja iliyo na ahuweni kuzidi zingine maana theory zote zinamapungufu.

Pia inatumika kama foundation for further scientific researchs kwa wanafunzi.

Kuhusu wanaoitumia kupinga biblia labda wameona ndiyo yenye ahuweni ukilinganisha na nadharia zilizopo kwenye biblia.
 
darwin_punkrock-300x168.jpg

Born Charles Robert Darwin
12 February 1809
The Mount, Shrewsbury, Shropshire, England
Died 19 April 1882 (aged 73)
Down House, Kent, England

"Fikiria kwa uangalifu juu ya nadharia hizi zilizopangwa kama Darwinism, Marxism, Nietzsche-ism. Na wote hawa ni wayahudi kwa kiwango chochote haikutokea kwa bahati wayahudi wakawa ndio wenye nguvu na ushawishi duniani kwenye kila nyanja kuanzia Imani mpaka uchumi wa dunia

(ikumbukwe families kubwa mbili duniani za Rothschild na Rockefeller and their fellow Jewish puppets and stooges ndio wanamiliki karibia 75% ya uchumi wa dunia na America kwa ujumla), ni lazima kuwa wazi kwamba hizi theories ni maagizo ya
(Protocols of the Elders of Zion 2-3. "Us Jews" refers to Cabalist i.e. Illuminati Jews)

Darwinism, the theory of the "natural selection and survival of the fittest", ni moja kati ya nguzo muhimu katika Illuminati. Tunajua hii ni kwasababu ya Richard Milton anaielezea katika article yake, "Darwinism - The Forbidden Subject", public debate of Darwinism is forbidden.

"Most educated, rational people will find it almost impossible to believe that the debate of Darwinism through mainstream news papers and the principal TV channels is forbidden. I still find it hard to believe myself," Milton writes.

Wakati hakuna mahali Darwin alisema kwamba Darwin alikuwa Mason lakini ukweli ni kwamba alikua 3ed degree master Mason, wanaume katika familia yake walikuwa Freemasons, na hivyo walikuwa wenzake wa karibu na marafiki.

Wachambuzi wa mambo wanasema Before coming to Derby in 1788, Dr. Erasmus Darwin (1731-1802), physician and biologist, grandfather of Charles, became a Mason in the Lodge of Cannongate Kilwinning, No. 2, of Scotland.

Sir Francis Darwin, (1786-1859), physician and traveler, brother of Charles Darwin's father, alikuwa a Mason in Tyrian Lodge, No. 253, at Derby,

in 1807. The name of Charles Darwin halikuonekana on the rolls of the Lodge but it is very possible that he also was a Mason.

Charles Darwin alikua anasifika kwa kuoa ndugu kwa ndugu au ugenics and bloodline breeding. The Darwins na Wedgwoods walioana wenyewe kwa wenyewe kwa vizazi kadhaa yaani ni kama familia mbili ndugu waoane wenyewe kwa wenyewe na huu ni utamaduni wa hali ya juu wa Freemasonry.

(the Rothschilds huu ni mfano mzuri zababu hawa wanawao hata dada zao). Hivyo, Charles Darwin aliamua kumuoa cousin wake, Emma Wedgwood.


THE NEXT MILLION YEARS

Kitabu cha, "The Next Million Years" alichokiandika mjukuu wa Darwin, Charles Galton Darwin (1887-1962) is supposed to be a NWO blueprint. Unaweza ukaki download hapa (link denied)

Hiki kitabu kinaelezea namna New World Order inavyotekelezwa na key player ni Charles Darwin kwenye kipengele cha brainwashing people about evolutionism.

Charles Galton Darwin anasema "every civilization has really been a form of slavery for the people."

"Kila ustaarabu umekuwa aina ya utumwa wa watu." civilisation ni huu ulimbukeni unaosema mwanadamu ametokana na nyani.

Katika maoni yake anaaema, hii ni "utaratibu wa kawaida", na bila shaka "viongozi" wanapewa mafunzo katika mbinu ya kuwatia utumwani watu tangu kuzaliwa kwao.

Kaa ukijua kwamba masomo wanafunzi wanayosoma darasani yanayowaambia kwamba wametokana na nyani ni swala la wizara imekubaliana na agenda ya kuwapumbaza wananchi wake kwa kuwadundisha fictional theories
science-evolve-evolving-evolution-animals-monkeys-hsc4629_low.jpg

ni ukweli usiopingika kwamba theories za Darwin kama survival of the fittest na natural selection zimekutwa na mapungufu chungu mzima na wanasayansi wengine na kuleta proof mbalimbali tena katika vyuo vikubwa ulimwenguni lakini bado inaendelea kupotosha wanadamu na inafundishwa mashuleni na vyuoni.

Unajua ni kwanini? Sababu hiyo ni blueprint NWO na imewatafuna mamilion ya dollars kuitengeneza so who cares? Sio kwamba walikua hawajui wanachofanya ni uongo na ulaghai wa kutupa bali ni lazima waondoe creationism hawataki kusikia mambo ya uumbaji wa Mungu that's the book of Darwin's Grandson.

They're brought up listening to a different version of reality than the rest of the population. They're told that in the realities of life, the predators should be at the top of the "natural order". They're predators, of course, because they're such hypocrites, liars, deceivers, and unscrupulous cheats.

As good predators, hawawezi kuwaambia watu ukweli wa kile wanachowalisha zaidi ya kuwamanipulate and keep them in the dark."
"Kwa sababu wale walio na IQs ya chini, ndio wanazombwa na kushindiliwa chini ya rundo na kuwekwa katika giza."

Katika familia ya Charles Darwin wanayo motto - "Cave et aude" (Beware and Dare).

Kwa sababu Marx amesalia kama Obscure katika maisha yake mwenyewe, na itikadi yake haikuwa na mashiko sana na haikuenea, kulipaswa lazima kitu kifanyike kufanya watu wawe more receptive... and this something was Darwinism.

Darwin's theory eliminated God and presented life as a struggle for survival of the fittest. It was the necessary ingredient for the acceptance of a slave state, and of a cycle of crime, violence, destruction, anarchy, revolutions and wars.

As the NWO mission.
Nzuri mkuu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Swali lako linamajibu mengi saana.

Theory is a body of framework or accepted assumptions attempted to provide plausible and rational blah blah......lengo ni kudraw conclusion

Used as fact where? In schools au na wapinga biblia katika kuelezea original ya binadamu?

Swali halipo specific tho.

Kama ni katika shule ina haki ya kutumika maana katika ku draw conclusion lazima tuwe na body of frame works(theories) na tunachagua moja iliyo na ahuweni kuzidi zingine maana theory zote zinamapungufu.

Pia inatumika kama foundation for further scientific researchs kwa wanafunzi.

Kuhusu wanaoitumia kupinga biblia labda wameona ndiyo yenye ahuweni ukilinganisha na nadharia zilizopo kwenye biblia.
Naendelea kushuhudua production ya pumba tu kuanzia reply ya kwanza.

Umesema:

" Jibu ni kwamba ni mapungufu.
Eeh lengo la jibu langu kwenu ni lipi"

Unajua nini maana ya factual theory??

Theory inayotumika as a prominent doctrine kama the cradle of mankind it is 100% proved and satisfied real without doubt then inatumika kwenye education institutions.

Simple question mwalimu wako alivyokuuliza the last transitioning man was homo habilis ulimjibu YES au NO?
 
Asante kwa kukiri kwamba Darwinism ni delusional na irrelevant theory.

Welcome back.
Not delusional or irrelevant. If it's delusional we wouldn't have this foundation bro. By then, will you criticize what? Nothing?

Kaongelea masuala ya time and evolution. Still ni kitu kinachooneka mpaka now.
 
The problem of African people is that, the always start from nowhere. The white people brought the religions and Africans accepted it wholesale at the expense of the mother religions. Be it the white comes with lie or truth, an African will carry it wholesale. Just see for example, when the white came with the stories in the bible, you unquestionably accepted everything and you left yours. You even dare to wear their hairs.
Reasonable Africans know that there is truth in both bible and theory of evolution. Don't you remember that Galileo was excommunicated due to saying the truth that the earth revolves around the sun?
 
Not delusional or irrelevant. If it's delusional we wouldn't have this foundation bro. By then, will you criticize what? Nothing?

Kaongelea masuala ya time and evolution. Still ni kitu kinachooneka mpaka now.
Dah no delusion hivi unajua maana ya hilo neno delusion?
Mapungufu uliyokiri yalitokea wapi?

Nini kinafanya kitu che mapungufu ambayo asante umekiri mwenyewe kidiwe delusional?

Ukiwa unaendelea kunitafutia majibu hayo naomba unipe maelezo haya mkuu chongchung aliyoyaleta.

1. Which came first? Time, Space,Matter or energy?



2.Where did the necessary materials to create the universe come from and

where did they exist if there was no space?



3. Where did life originally come from if it can not appear spontaneously?



4. Which came first? Male or Female?



5. Why do we find petrified trees standing up through supposedly “millions” of years worth of geological layers?



6. What were the first elements to be formed?



7. When and how did the stars come to be?



8. When did the laws of nature(i.e. Gravity) first come into effect?



9. Why is an unproven theory used as fact?



10. How did the universe start(please provide specified details)?
 
Naendelea kushuhudua production ya pumba tu kuanzia reply ya kwanza.

Umesema:

" Jibu ni kwamba ni mapungufu.
Eeh lengo la jibu langu kwenu ni lipi"

Unajua nini maana ya factual theory??

Theory inayotumika as a prominent doctrine kama the cradle of mankind it is 100% proved and satisfied real without doubt then inatumika kwenye education institutions.

Simple question mwalimu wako alivyokuuliza the last transitioning man was homo habilis ulimjibu YES au NO?


Mkuu shida ni kwamba wewe unataka tu erase hii theory kwenye kueleza chimbuko la binadamu. Hiki ni kitu ambacho ni kigumu saana. nilisema hii theory kutumika katika education institutions kama mwanzo wa kuelezea na kudadisi chimbuko la binadamu na sio hitimisho la kumwelezea binadamu.

Hata institution ulizosema zimeipinga hii theory japo hujaweka data still wataitumia kama foundation . (Mapungufu ya nadharia ndiyo mwanzo na mwendelezo wa chunguzi mbalimbali ili kuvumbua vitu vipya )

Nilikuuliza who use it hukunijibu?

Haya swali lako. Simple question mwalimu wako alivyokuuliza the last transitioning man was homo habilis ulimjibu YES au NO?

Hahaha. Yes kwa mujibu wa theory.

By that answer who to blame? Darwin? Au theory yake? Curriculum developer na mwalimu wa nchi husika ndiyo wa kulaumu kwa kutokufanya updates. Na huenda wamefanya na hiyo theory ikakubalika kuwa ndiyo framework ya kuelezea chimbuko la binadamu.
 
Kitendo cha yeye kufa kinathibitisha uongo wake,sasa kwanini mwili wake haukufanya evolution awe kiumbe mwingine ili aendelee kuishi.WANASAYANSI MAANDAZI WANASHIDA SANA
 
The problem of African people is that, the always start from nowhere. The white people brought the religions and Africans accepted it wholesale at the expense of the mother religions. Be it the white comes with lie or truth, an African will carry it wholesale. Just see for example, when the white came with the stories in the bible, you unquestionably accepted everything and you left yours. You even dare to wear their hairs.
Reasonable Africans know that there is truth in both bible and theory of evolution. Don't you remember that Galileo was excommunicated due to saying the truth that the earth revolves around the sun?
Sasa mbona hata haujielewi mwenyewe?

Be it the white comes with lie or truth, an African will carry it wholesale. Just see for example, when the white came with the stories in the bible, you unquestionably accepted everything and you left yours
Wewe ni mzungu?

Reasonable Africans know that there is truth in both bible and theory of evolution.
Duh! Yani umewacrash waafrika kwa kuamini Bible yet hapa unawaita tena reasonable kwa kuiamini Bible????

I won't quote you anymore.
 
Dah no delusion hivi unajua maana ya hilo neno delusion?
Mapungufu uliyokiri yalitokea wapi?

Nini kinafanya kitu che mapungufu ambayo asante umekiri mwenyewe kidiwe delusional?

Ukiwa unaendelea kunitafutia majibu hayo naomba unipe maelezo haya mkuu chongchung aliyoyaleta.

1. Which came first? Time, Space,Matter or energy?



2.Where did the necessary materials to create the universe come from and

where did they exist if there was no space?



3. Where did life originally come from if it can not appear spontaneously?



4. Which came first? Male or Female?



5. Why do we find petrified trees standing up through supposedly “millions” of years worth of geological layers?



6. What were the first elements to be formed?



7. When and how did the stars come to be?



8. When did the laws of nature(i.e. Gravity) first come into effect?



9. Why is an unproven theory used as fact?



10. How did the universe start(please provide specified details)?
Delusion ni udanganyifu mkuu.

Nitawaunga mkono na mwenzako kama mtaniambia theory isitumike kama conclusion ya chimbuko la binadamu kwasababu theory fulani inajitosheleza kuizidi. Hasa katika education institutions.

Vinginevyo mchana mwema. Naenda MMU
 
Mkuu shida ni kwamba wewe unataka tu erase hii theory kwenye kueleza chimbuko la binadamu. Hiki ni kitu ambacho ni kigumu saana. nilisema hii theory kutumika katika education institutions kama mwanzo wa kuelezea na kudadisi chimbuko la binadamu na sio hitimisho la kumwelezea binadamu.

Hata institution ulizosema zimeipinga hii theory japo hujaweka data still wataitumia kama foundation . (Mapungufu ya nadharia ndiyo mwanzo na mwendelezo wa chunguzi mbalimbali ili kuvumbua vitu vipya )

Nilikuuliza who use it hukunijibu?

Haya swali lako. Simple question mwalimu wako alivyokuuliza the last transitioning man was homo habilis ulimjibu YES au NO?

Hahaha. Yes kwa mujibu wa theory.

By that answer who to blame? Darwin? Au theory yake? Curriculum developer na mwalimu wa nchi husika ndiyo wa kulaumu kwa kutokufanya updates. Na huenda wamefanya na hiyo theory ikakubalika kuwa ndiyo framework ya kuelezea chimbuko la binadamu.
Unajaribu kujitutumua kuongelea mambo yaliyokuzidi hata upeo wako yaani ni kwa hii pumba unayoiandika unaonekana na standard seven graduate lakini unaongelea vitu vizito ambavyo vinakuaibisha.

Ulishawahi kufanya dissertation yoyote kwenye maisha yako ya kielimu hapa duniani?

Hii theory hujui kama ilifata procedures zote za research formation zikawa acknowledged na chuo cha Christ's College UK kwamba ni accurate without letting a single doubt.

Unasema hatuwezi kuiacha wangapi? Unao uhakika kiasi gani kwamba hakuna wenye akili timamu walioundoa huu upuuzi kwenye enrolments za institutions zao huko first world?

Siongelei Africa sababu sisi hatuna chochote katika educational firms zetu zaidi ya somo la kiswahili yote mengine ni western curriculum.

Unasema hii theory haijakamilika kutayarishwa kwa mujibu wa maelezo yako niambie ipo kipengele no ngapi katika hizi procedures na kama imefuate procedures zote za dissertation iweje iwe na mapungufu?

Dissertation Procedures


1. Choose a problem

2. Review the literature

3. Evaluate the literature

4. State the research question or hypothesis

5. Select the research approach

6. Determine how the variables are going to be measured

7. Select a sample

8. Select a data collection method

9. Collect and code the data

10. Analyze and interpret the data

11. Write the report

12. Disseminate the report
 
Back
Top Bottom