Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Mkuu huo utabaki Peke yako wenzako walishatoka siku nyingi.
Msome huyu Evolutionary Biologist WILLIAM FIX anazika Rasmi huu uchafu baada ya kugundua Idea ya HOMOLOGY, Yaani ukiwachunguza wanyama wengi Wana skeleton zinazoendana na Pentadactyl Limbs (mifupa mitano inayoendana kama vile mikono) inaonyesha Viumbe vyote asili yao ni moja inavofanana. Na huu ndio mzizi wa evolutionist. lakini anasema kama Hizi structure zilikuwa transmitted na same Gene Couples, Zilizobadilikabadilika kwa njia ya Mutation Enviromental selection kidogo ingeleta SENCE, badala yake HICHO KITU HAKIPO.
Na hivyo Basi Imekuja kuwa concluded kuwa HOMOLOGOUS features zimwekuwa produced by different gene complexities ambapo imeprove kuwa hata viumbe vyote havikuanza kwa cell moja au common origin.
Kwenye huu mjadala ikumbukwe kwamba tunajadili THEORIES na siyo PRINCIPLES....Hivyo sii jambo la ajabu kwa theory kuungwa mkono au kukosolewa.Tatizo ni pale ambapo mtu anatumia hisia zake kuforce theory kuwa principle.Theory ni kitu kipo wazi/open kwajili ya mjadala wa ndio au hapana kutokana na kuwa na mambo yanayo onekana kama mapungufu ama ukamilifu.Vile vile ieleweke kwamba mapungufu ya theory flani haifanyi theory pinzani kuwa sahihi,...ndio maana Theory ya special creation ikija mezani utasikia mapungufu yake yakipewa majina na kama fumbo la imani au njia za Mungu hazichunguziki....Mimi nimekuuliza swali, je inawezekana kwa species mpya ikatokana na species za zamani? jibu ndiyo au hapana.
 
Kubadilika kutokana na mazingira Hakujustfy Uchwara wa EVOLUTION.
Bali kunaonyesha kuwa Design ya viumbe high ilikuwa ya ubora wa hali ya juu. Kiasi kwamba Genes zinainformation zinazoweza kumsaidia kiumbe(PHENOTYPE) kuadapt mazingira tofauti. Mfano kuna wanyama ambao kwa UCHWARA wa evolutuion na adaptability tunaambiwa walikuwa adapted kula Nyama lakini baada ya Kupelekwa kwenye mahali palipo pasipo na Nyama walikula majani huku maumbile yao ni ya kula nyama mfano mzuri ni DUBU au PANDA. Hii imedhibitika kuwa sio kwa sababu ya externa enviroment bali ni Internal GENE POOL inainformation ya kutosha kumcontrol huyu mnyama kulingana na mazingira. Na Huku elimu ya DARWIN haikuwahi kifikiri
Huwezi kusema Darwin ni dhaifu kwakuwa hakujumuisha modern Genetics kwenye tafiti zake,....Hivi unaweza kumlaumu Musa na wana wa Israel kwa kutembea kwa miguu kutoka Misri hadi Kanani badala ya kutumia treni za umeme?
 
Je Mutations na Geographical isolation ya viumbe wa kufanana inaweza kusababisha kutokea kwa species mpya?
1.5 Gbytes x 100 trillion cells = 150 trillion Gbytes or 150×10^12 x 10^9 bytes = 150 Zettabytes (10^21)!!!
Haya ndio makadilio ya information zilizotunzwa ndani ya Mwili wa mwanadamu. Taarifa hizi zinatunzwa ndani ya genes(Geneology) na zinacontrol mwili wa nje kupambana na mazingira(Phsiology).

Hitu hivyo vyote matrillion havikutokea kwa CHANCE, bali by DESIGN na master ARCHITECT id the CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.
 
1.5 Gbytes x 100 trillion cells = 150 trillion Gbytes or 150×10^12 x 10^9 bytes = 150 Zettabytes (10^21)!!!
Haya ndio makadilio ya information zilizotunzwa ndani ya Mwili wa mwanadamu. Taarifa hizi zinatunzwa ndani ya genes(Geneology) na zinacontrol mwili wa nje kupambana na mazingira(Phsiology).

Hitu hivyo vyote matrillion havikutokea kwa CHANCE, bali by DESIGN na master ARCHITECT id the CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.
Je kuna ushahidi kwamba huyo creator ndiye aliyefanya hiyo kazi? je yupo wapi? kwanini asieleze mwenyewe?
 
Swali lipo wazi hapo na picture naomba jibu. View attachment 397147
Kwa hiyo kuna watu wanaamini kuwa hao pichani ni bibi na babu zao wa mwanzoni😀😀 namshukuru mwalimu wangu wa history primary school alipokuwa akitufundisha hii topic alisema "tunawafundisheni ili mfaulu masomo yenu tu,ila msiamini upuuzi huu" na watoto wote tukawa hatuna mbavu,maana tulijua huu ni upuuzi wa kiwango cha university!
 
Je hao mamilioni ya nyani msituni ni wa species moja wote? na hawa modern men wote wanafanana?
Within species we have what we call variants or strains, ndo maana kuna kuku wa nyama (broilers) na mayai (layers), ng'ombe wa maziwa e.g. Friesian na wa nyama e.g. Aberdeen Angus, binadamu mzungu na mweusi. These are variations within species na zinaweza kutokea kutokana na selection and cross-breeding mfano kwenye animal breeding. But we don't expect any variant ya nyani, kwa mfano, kubadilika kuwa binadamu.....what can drive this to happen!?
 
Je hao mamilioni ya nyani msituni ni wa species moja wote? na hawa modern men wote wanafanana?
Sasa mbona hata haujielewi unachokiongelea?
Nimekupa picture naona imekushinda kutambua sasa nakupa majina.
Nataka unipe sababu kwanini hatuwaoni Ramapithecus, Austrolopithecus, Homo-erectus, Cro-magnon na Homo-sapiens mtaani?
 
Je kuna ushahidi kwamba huyo creator ndiye aliyefanya hiyo kazi? je yupo wapi? kwanini asieleze mwenyewe?
Kwa mfano wako wa wana wa ISRAEL Kutembea kwa miguu kutoka Misri kwenda Kanani miaka hiyo , BAdala ya kutumia treni ya Umeme ambayo haikuwepo, mfano huo unakupa wewe majibu ya theory unazozisimamia.

Wanasayansi 21st century wameamua kuachana na Masonic hoja za Huyu mzee Darwin. Baada ya kuangalia kwa undani jinsi hizo information zilivyikuwa layed down, Wamekubaliana kwa IT was no By chance or Natural adaptation or Result of BING BANG bali ni INTELLINGENT DESIGN.
Kama umekubali Darwin Theories are Outdated and impractical, USOGEE KIDOGO TUANZIE KWENYE INTELLGENT DESIGN.

Swali; Who is the INTELLIGENT DESIGNER? scientific dilema!!!!!
 
Kwa hiyo kuna watu wanaamini kuwa hao pichani ni bibi na babu zao wa mwanzoni😀😀 namshukuru mwalimu wangu wa history primary school alipokuwa akitufundisha hii topic alisema "tunawafundisheni ili mfaulu masomo yenu tu,ila msiamini upuuzi huu" na watoto wote tukawa hatuna mbavu,maana tulijua huu ni upuuzi wa kiwango cha university!
Mkuu huo upuuzi kuna watu wameubeba bado alafu wapo kifua mbele kuutetea upuuzi ambao hauna kichwa wala miguu hivj mtu na akili timamu unaanzaje kuwaza kwamba umetokana na nyani???

Hii ni imani kali sana kuamini kwamba umetokana na nyani na hata siku moja hukumuona nyani anakua angalau kama binadamu tupo na nyani miaka 2006 sasa hatuwaoni hata wakitembelea miguu miwili hata hatua kumi achilia mbali kuita "mama" lafu jitu linakuja kusema tumetokana na nyani??
 
Within species we have what we call variants or strains, ndo maana kuna kuku wa nyama (broilers) na mayai (layers), ng'ombe wa maziwa e.g. Friesian na wa nyama e.g. Aberdeen Angus, binadamu mzungu na mweusi. These are variations within species na zinaweza kutokea kutokana na selection and cross-breeding mfano kwenye animal breeding. But we don't expect any variant ya nyani, kwa mfano, kubadilika kuwa binadamu.....what can drive this to happen!?
mkuu uko vizuri. na hii concept ya "Strains" ndio inayotokea kwa HIV Virus according to Sources. Ndio maana hata kirusi abadilike vipi Hawezi kuwa CHAWA au FUNZA. atabaki kuwa Virus. ambayo inathibitisha kinachotokea kwa HIV hakuna uhusiano wowote na THEORY YA KALE YA EVOLUTION
 
Je kuna ushahidi kwamba huyo creator ndiye aliyefanya hiyo kazi? je yupo wapi? kwanini asieleze mwenyewe?
Huko tutaenda baadae ukitaka, Kwa sasa tunaendana na MADA. JE? Umekubali huwa hizo hoja za DARWIN ni masonic concepts kuchanganya walimwengu kwa malengo yao wenyewe?
Pili, They are now VOID. Unapata wapi nguvu ya kusimamia vitu ambavyo havipo.
 
Kwa mfano wako wa wana wa ISRAEL Kutembea kwa miguu kutoka Misri kwenda Kanani miaka hiyo , BAdala ya kutumia treni ya Umeme ambayo haikuwepo, mfano huo unakupa wewe majibu ya theory unazozisimamia.

Wanasayansi 21st century wameamua kuachana na Masonic hoja za Huyu mzee Darwin. Baada ya kuangalia kwa undani jinsi hizo information zilivyikuwa layed down, Wamekubaliana kwa IT was no By chance or Natural adaptation or Result of BING BANG bali ni INTELLINGENT DESIGN.
Kama umekubali Darwin Theories are Outdated and impractical, USOGEE KIDOGO TUANZIE KWENYE INTELLGENT DESIGN.

Swali; Who is the INTELLIGENT DESIGNER? scientific dilema!!!!!
Ni kweli viumbe wana Intelligent design,....ila nani ni designer? ushahidi uko wapi? kitu kingine Darwin alikuwa ni mtu kama sisi so ni jambo la kawaida kuwa sahihi au siyo....unataka kusema kabla ya Darwin hapakuwepo na wasioamini kwenye special creation theory na kutokuamini uwepo wa Mungu kwa ujumla? tukutana kesho.
 
Huko tutaenda baadae ukitaka, Kwa sasa tunaendana na MADA. JE? Umekubali huwa hizo hoja za DARWIN ni masonic concepts kuchanganya walimwengu kwa malengo yao wenyewe?
Pili, They are now VOID. Unapata wapi nguvu ya kusimamia vitu ambavyo havipo.
Masonic concepts? hahahaaa...unaushahidi gani kwamba ni kweli au siyo? tukutane kesho.
 
Niliwahi kumuuliza mwalimu wa history inakuaje tena manyani hayageuki na kuwa binadamu alishindwa kujibu wote tukaangua kicheko.

Ajabu upuuzi huu bado unafundishwa tuu.
 
Huko tutaenda baadae ukitaka, Kwa sasa tunaendana na MADA. JE? Umekubali huwa hizo hoja za DARWIN ni masonic concepts kuchanganya walimwengu kwa malengo yao wenyewe?
Pili, They are now VOID. Unapata wapi nguvu ya kusimamia vitu ambavyo havipo.
Mkuu nakufuatilia kwa karibu hizi nondo hana ubavu wa kukujibu zaidi ya blabla.
 
Ni kweli viumbe wana Intelligent design,....ila nani ni designer? ushahidi uko wapi? kitu kingine Darwin alikuwa ni mtu kama sisi so ni jambo la kawaida kuwa sahihi au siyo....unataka kusema kabla ya Darwin hapakuwepo na wasioamini kwenye special creation theory na kutokuamini uwepo wa Mungu kwa ujumla? tukutana kesho.
Umeanzia pazuri. Lengo la thread ni kusafisha bongo zenye imani potofu za EVOLUTION. Ukielewa hayo na kukili ndio unapata uhalali wa Kujadili Mambo ya CREATION Theory.

Mfano albert einstein alituambia Light ndio yenye speed kubwa kuliko vitu vyote. Lakini science ya leo imeprove otherwise. Kwa fact kubali kuwa theory zote vimefeli ndio upate uhalali wa kujadili otherwise
 
Niliwahi kumuuliza mwalimu wa history inakuaje tena manyani hayageuki na kuwa binadamu alishindwa kujibu wote tukaangua kicheko.

Ajabu upuuzi huu bado unafundishwa tuu.
Mkuu huu ni msiba we jiulize tayari umeshapingwa kwa tafiti za 2000s kwenye hii modern techo age lakini wapo wengine humu wanaamini hii chai ya 1800s sio maajabu haya?
 
Umeanzia pazuri. Lengo la thread ni kusafisha bongo zenye imani potofu za EVOLUTION. Ukielewa hayo na kukili ndio unapata uhalali wa Kujadili Mambo ya CREATION Theory.

Mfano Eistain alituambia Light ndio yenye speed kubwa kuliko vitu vyote. Lakini science ya leo imeprove otherwise. Kwa fact kubali kuwa theory zote vimefeli ndio upate uhalali wa kujadili otherwise
Yeah saivi radioactive materials Gamma > Beta > Alpha zimeiacha mbali zaidi. Lakini sio ajabu jamaa akakuambia light.
 
Masonic concepts? hahahaaa...unaushahidi gani kwamba ni kweli au siyo? tukutane kesho.
erasmusdarwin.jpg

It was Erasmus Darwin who first proposed the idea of evolution in England (babu yake mshikaji wako Charles Darwin).
Na hizo theory zilikuwepo kitambo kwa babu yake kabl ajamaa hajazuga kuzitunga pale Kisiwani Galapagos Equador miaka hiyo. Na zilitungwa kwenye masonic lodges, na lengo lilikuwa ni kuongeza dimension nyingine ya kupambana na Christianity.
Gooogle kitabu cha huyu Babu ERASMUS DARWIN THE TEMPLE OF NATURE and ZOONOMIA, utakuta huo ujanjaujanja. Kubisha inaruhusiwa ila Ukiamka chungulia kidogo kutokea DIRECTION HII ANAYOTUPA MUANZISHA POST. Utagain vingi na kujipunguzia mizigo kichwani.

Good night
 
Masonic concepts? hahahaaa...unaushahidi gani kwamba ni kweli au siyo? tukutane kesho.
Je wewe unavyomuamini unao ushahidi gani kama amefanya utafiti kweli?

Nikikuambia alikua amejifungia chumbani anaipika hii chai kuanzia mwanzo mpaka mwisho bila kuvuka hata mtaa utakataa?
 
Back
Top Bottom