Charles Hilary ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu - Zanzibar

Nenda kaangalie Nyundo ya Baruan Muhunza, mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, ww na yy nani anajifaham zaid?
Sekondari tumesoma wote Kinindoni Muslim Sec, huko Zanzibar alikulia huko wakati Baba yake ni Jamishina wa Jeshi la Polisi. Bwege wewe hujui kitu!
 
Sawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.
 
Sekondari tumesoma wote Kinindoni Muslim Sec, huko Zanzibar alikulia huko wakati Baba yake ni Jamishina wa Jeshi la Polisi. Bwege wewe hujui kitu!
kwani umeambiwa kukulia au kuzaliwa, na nani kapinga kama hakusoma kinondoni Muslim? mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, kaondoka Zanzibar akiwa na miaka 9 kuja dar, hayo ni maelezo yake mwenyw, mbona mnakua wajinga kisa hicho? yaani mtu mwenyw anajieleza ww unajifanya unamjua kuliko mwenyw, pumbavu kabisa
 
Ni huyu wa Azam? Wanavyosoma habari na Kamumtu wananifurahisha sana.
 
Sawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.

Mwenyewe amethibitisha kuwa ni Mzanzibar na kuwa ndio kwao wewe unapata shida ya nini?
Kweli baba yake alitokea bara na kuzamia Zanzibar kutafta maisha, Mama ake alikua ni mzanzibari na yeye akazaliwa Zanzibar nakukulia huko, alihamia Bara kuja kwa mama yake mdogo.
 
Sawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.
Kwani Wazanzibari wangapi wanasoma sekondari bara? mbona miaka ile ya sabini na themanini walikuwepo wengi sana ambao walimalizia sekondari bara kwa vile enzi zile sekondari zilikuwa mbili tu, moja unguja na moja pemba. Kwa hivyo waliokuwa na uwezo wengi wakipeleka watoto wao bara kusoma sekondari au kumalizia form three na four bara.
 
Sawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.
Heshima yako kaka mkubwa,huu mwaka sijazaliwa na huu uzee wangu
 
Ww jamaa ni Muongo na wala hujui chochote kuhusu Charles Hillary nyie ndo wale mnatusumbua vijiweni kila kitu mnajifanya mnajua kumbe fiksi
Hee we jamaa mbona unabisha vitu amnavyo viko clear. Hivi Charles Hillary ni dhehebu gani. Tuambie wew

Nazungumza kitu nikiwa na uhakika kabisa kwamba Charles Hillary ni muanglikana. Narudia tena nina uhakika
 
NO, NO, NO na sitaki kusadikisha hata kidogo na hilo, alafu imekuwa tabia ya ajabu sana mtu akiwa na grant fulani eti ni kipenyo, ni mtumishi wa kawaida tu although hata wewe ni afisa kipenyo kwa Taifa lako.
Inaonyesha wewe na Ruta Sr ni work mate wenu kwenye kitengo.

Maana huo utetezi huo. Hiiii (in late Jiwe's voice)
 
Hongera kwake,
Hivi Charles Hilary ana umri gani? Maana toka kitambo sana namsikia alivyokua akitangaza Mpira.
We unasema akitangaza mpira, watu tumemsikia day one ktk safari yake ya utangazaji RTD kwenye kipindi cha 'Sokoni Kariakoo'. Hongera sana mwanetu wa Sinza Mori.
 
https://www.facebook.com/
 
https://www.facebook.com/
 
https://www.facebook.com/
 
Kwa cheo na mshahara wake pale Azam Media kwenda huko ni anguko kubwa sana ni sawa na Mchezaji wa Man City kuja kuchezea Ndanda
Sidhani tena sidhani ulichokiandika hapo kama umekifanyia utafiti. In short Charles si bwege kuacha maslahi makubwa kwenda ambako maslahi mdogo. Ana uwezo wa kukata a kuteuliwa. Bottom line is 'Ikulu ni Ikulu' Anakula sawa na Aniu wa Magogoni kama sio Chamwino.
 
We unasema akitangaza mpira, watu tumemsikia day one ktk safari yake ya utangazaji RTD kwenye kipindi cha 'Sokoni Kariakoo'. Hongera sana mwanetu wa Sinza Mori.
Sijamaanisha kua mara ya kwanza kumsikia ni wakati anatangaza mpira tu,

Hicho kipindi nimekisikia,na alikua anakipindi kingine akipenda kupiga nyimbo alizokua anaziita "Macharanga" au "Charanga" nyimbo fulani kama za Kimexico hivi,

Mimi ni Muhenga mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…