Sekondari tumesoma wote Kinindoni Muslim Sec, huko Zanzibar alikulia huko wakati Baba yake ni Jamishina wa Jeshi la Polisi. Bwege wewe hujui kitu!Nenda kaangalie Nyundo ya Baruan Muhunza, mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, ww na yy nani anajifaham zaid?
Inawezeka nina rafiki zangu baba yao pia alikuwa polisi na wao walikuwa wanakaa morogoro. Walikuwa wanafanya biashara ya kuchukua nguo zanzibar na kuleta huku, kuna kipindi walienda wakati wa mfungo na wao ni wakiristo hotel zote zilikuwa zimefungwa baada ya kuzunguka bila mafanikio ndio wakakumbuka kina charles walikuwa wanaishi huko ndio wakaenda kula na biashara ikaishia hapo
kwani umeambiwa kukulia au kuzaliwa, na nani kapinga kama hakusoma kinondoni Muslim? mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, kaondoka Zanzibar akiwa na miaka 9 kuja dar, hayo ni maelezo yake mwenyw, mbona mnakua wajinga kisa hicho? yaani mtu mwenyw anajieleza ww unajifanya unamjua kuliko mwenyw, pumbavu kabisaSekondari tumesoma wote Kinindoni Muslim Sec, huko Zanzibar alikulia huko wakati Baba yake ni Jamishina wa Jeshi la Polisi. Bwege wewe hujui kitu!
Sawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.
Kwani Wazanzibari wangapi wanasoma sekondari bara? mbona miaka ile ya sabini na themanini walikuwepo wengi sana ambao walimalizia sekondari bara kwa vile enzi zile sekondari zilikuwa mbili tu, moja unguja na moja pemba. Kwa hivyo waliokuwa na uwezo wengi wakipeleka watoto wao bara kusoma sekondari au kumalizia form three na four bara.Sawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.
Heshima yako kaka mkubwa,huu mwaka sijazaliwa na huu uzee wanguSawa kabusa lakini Hilary siyo Mzanzibari na hatatokea kuwa mzanzibari. Sekondari yenyewe tumesoma naye Kinondoni Muslim na tukamaliza 1979 na mwaka 1980'akajiunga na RTD.
Hee we jamaa mbona unabisha vitu amnavyo viko clear. Hivi Charles Hillary ni dhehebu gani. Tuambie wewWw jamaa ni Muongo na wala hujui chochote kuhusu Charles Hillary nyie ndo wale mnatusumbua vijiweni kila kitu mnajifanya mnajua kumbe fiksi
Mada ya Charles Hillary mkuuBaada ya kifo cha yule masihi wenu umepotea kabisa.
Inaonyesha wewe na Ruta Sr ni work mate wenu kwenye kitengo.NO, NO, NO na sitaki kusadikisha hata kidogo na hilo, alafu imekuwa tabia ya ajabu sana mtu akiwa na grant fulani eti ni kipenyo, ni mtumishi wa kawaida tu although hata wewe ni afisa kipenyo kwa Taifa lako.
We unasema akitangaza mpira, watu tumemsikia day one ktk safari yake ya utangazaji RTD kwenye kipindi cha 'Sokoni Kariakoo'. Hongera sana mwanetu wa Sinza Mori.Hongera kwake,
Hivi Charles Hilary ana umri gani? Maana toka kitambo sana namsikia alivyokua akitangaza Mpira.
https://www.facebook.com/Heshima yako kaka mkubwa,huu mwaka sijazaliwa na huu uzee wangu
Kwani Wazanzibari wangapi wanasoma sekondari bara? mbona miaka ile ya sabini na themanini walikuwepo wengi sana ambao walimalizia sekondari bara kwa vile enzi zile sekondari zilikuwa mbili tu, moja unguja na moja pemba. Kwa hivyo waliokuwa na uwezo wengi wakipeleka watoto wao bara kusoma sekondari au kumalizia form three na four bara.
Mwenyewe amethibitisha kuwa ni Mzanzibar na kuwa ndio kwao wewe unapata shida ya nini?
Kweli baba yake alitokea bara na kuzamia Zanzibar kutafta maisha, Mama ake alikua ni mzanzibari na yeye akazaliwa Zanzibar nakukulia huko, alihamia Bara kuja kwa mama yake mdogo.
https://www.facebook.com/kwani umeambiwa kukulia au kuzaliwa, na nani kapinga kama hakusoma kinondoni Muslim? mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, kaondoka Zanzibar akiwa na miaka 9 kuja dar, hayo ni maelezo yake mwenyw, mbona mnakua wajinga kisa hicho? yaani mtu mwenyw anajieleza ww unajifanya unamjua kuliko mwenyw, pumbavu kabisa
Asili yake ndiyo, lakini kwa kukua na kusoma ni Zanzibar. Sikiliza lafudhi yake vizuri uone kama ni ya kipogoro. Baba yake Mzee Hilary amestaafu polisi akiwa Zanzibar na alifungua 'business' yake maeneo ya Mpendae baada ya kustaafu.
Zanzibar wako wengi wenye asili ya bara ambao baadhi ni wazawa wa kule, mfano akina Mwakanjuki ambao baadhi wamezaliwa kule na wamekuwa wakiishi Zanzibar miaka yote.
Sidhani tena sidhani ulichokiandika hapo kama umekifanyia utafiti. In short Charles si bwege kuacha maslahi makubwa kwenda ambako maslahi mdogo. Ana uwezo wa kukata a kuteuliwa. Bottom line is 'Ikulu ni Ikulu' Anakula sawa na Aniu wa Magogoni kama sio Chamwino.Kwa cheo na mshahara wake pale Azam Media kwenda huko ni anguko kubwa sana ni sawa na Mchezaji wa Man City kuja kuchezea Ndanda
Nenda kaangalie Nyundo ya Baruan Muhunza, mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, ww na yy nani anajifaham zaid?
Sijamaanisha kua mara ya kwanza kumsikia ni wakati anatangaza mpira tu,We unasema akitangaza mpira, watu tumemsikia day one ktk safari yake ya utangazaji RTD kwenye kipindi cha 'Sokoni Kariakoo'. Hongera sana mwanetu wa Sinza Mori.
https://www.facebook.com/Kumbe mtoto wa ndani. Sisi wana wa wafugaji tutulie tu