Uchaguzi 2020 Charles Hilary chukua fomu ya Ubunge Jimbo la Kibamba hakika utashinda kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Charles Hilary chukua fomu ya Ubunge Jimbo la Kibamba hakika utashinda kwa kishindo

Hivi wewe dogo unakuwaga na matatizo gani? Kwa hiyo hilo bunge ndio la kupeleka wastaafu? Mtu kafanya kazi mpaka kachoka, ww ndio unaona aende bungeni!
Mkuu kwani hapo wewe kinachokupa hasira ni kipi hasa?
 
Unapigia debe wastaafu waende bungeni ili iwe nini kwa mfano?
Huyo ni mstaafu kwenye sector binafsi huko ila bado ni mtu makini anaye weza kutufaa kwa kutumikia watanzania kwenye nafasi za kiasa kama hizi.
Bado tunahitaji watu wenye busara kama hawa wakatuwakirishe kuliko kupeleka watukanaji kule bungeni mkuu.
 
Huyo ni mstaafu kwenye sector binafsi huko ila bado ni mtu makini anaye weza kutufaa kwa kutumikia watanzania kwenye nafasi za kiasa kama hizi.
Bado tunahitaji watu wenye busara kama hawa wakatuwakirishe kuliko kupeleka watukanaji kule bungeni mkuu.

Umri wa kustaafu una tofauti sekta binafsi na serikali? Kwahiyo Charles naye ni kondoo? Maana bunge la jiwe inatakiwa makondoo tu wa kutii kila atakacho yesu.
 
Umri wa kustaafu una tofauti sekta binafsi na serikali? Kwahiyo Charles naye ni kondoo? Maana bunge la jiwe inatakiwa makondoo tu wa kutii kila atakacho yesu.
Sasa mimi huwa siwezi kujadili kauli za namna hiyo mkuu mana sijawaona kondoo mule bungeni. Mijadala kama hiyo inakufaa wewe na wenzako unao fanana nao.
 
Hii nchi uwezo wa vijana kuwaza ni kama unapotea na awamu hii ndo imekuwa mbaya mno
Bila kificho wala unafiki ningekushauri ndugu yangu Charles Hilary kuwa huu ndio wakati wako sasa kuwatumiakia watanzania baada ya kustaafu utangazaji kwa mafanikio makubwa, utashi na busara yako bado tunaihitaji watanzania ituletee faida.

Hivyo basi ni wakati sahihi wa kuchukua form ya Ubunge na jimbo linalo kufaa ni Kibamba kwa kuwa ndipo unapoishi na unakubalika sana.

Ushauri kwa CCM kama kweli mna nia ya dhati ya kulichukua Jimbo la Kibamba na kumuondoa John Mnyika basi huyu Charles Hilary ndio chagua sahihi ni mtu mwenye ushawishi mkubwa na anapendwa na wengi.

Nini maoni yenu Wana JF tunaihitaji huduma ya Charles Hilary kwenye bunge lijalo?
Na si bunge tu mana ninahakika akiingia bungeni hatokosa kuwa waziri huyu.
 
Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa Kaka yetu Januarius Maganga naye angechukua form kuwania Ubunge.

Ndugu mmoja msomi na mwenye upeo mkubwa sana na ni mkazi wa jimbo hilohilo Kibamba hakika nitakupigia kura Kaka ukichukua form.
 
Sasa mimi huwa siwezi kujadili kauli za namna hiyo mkuu mana sijawaona kondoo mule bungeni. Mijadala kama hiyo inakufaa wewe na wenzako unao fanana nao.

Mkuu huwezi kuwaona, lakini humo ndani wako wa kutosha. Hujawahi kuona neno nyumbu, au lina tofauti na hilo makondoo?
 
Hivi wewe dogo unakuwaga na matatizo gani? Kwa hiyo hilo bunge ndio la kupeleka wastaafu? Mtu kafanya kazi mpaka kachoka, ww ndio unaona aende bungeni!
Mkuu, Bungeni watu hawaendi kulima kule. Kama wamekuwapo akina makamba jr,lusinde,rizone,kigwangala,gudlak mlingi kuna maana gani ya kumkataa mstaafu wa 55yrs/60yrs.

Hawa ni watu wenye busara,hekima na uzoefu uliotukuka. Bado wanahitajika kwa mchango ktk taifa.
 
Mkuu, Bungeni watu hawaendi kulima kule. Kama wamekuwapo akina makamba jr,lusinde,rizone,kigwangala,gudlak mlingi kuna maana gani ya kumkataa mstaafu wa 55yrs/60yrs.

Hawa ni watu wenye busara,hekima na uzoefu uliotukuka. Bado wanahitajika kwa mchango ktk taifa.

Mkuu kwani lazima wakatolee mchango wao bungeni? Kuna mtu kawanyima kutolea mchango wao huku nje? Kwa jinsi bunge linavyoendeshwa kwa itikadi za vyama, unategemea kupata wazo lolote tofauti na business as usual?
 
Bila kificho wala unafiki ningekushauri ndugu yangu Charles Hilary kuwa huu ndio wakati wako sasa kuwatumiakia watanzania baada ya kustaafu utangazaji kwa mafanikio makubwa, utashi na busara yako bado tunaihitaji watanzania ituletee faida.

Hivyo basi ni wakati sahihi wa kuchukua form ya Ubunge na jimbo linalo kufaa ni Kibamba kwa kuwa ndipo unapoishi na unakubalika sana.

Ushauri kwa CCM kama kweli mna nia ya dhati ya kulichukua Jimbo la Kibamba na kumuondoa John Mnyika basi huyu Charles Hilary ndio chagua sahihi ni mtu mwenye ushawishi mkubwa na anapendwa na wengi.

Nini maoni yenu Wana JF tunaihitaji huduma ya Charles Hilary kwenye bunge lijalo?
Na si bunge tu mana ninahakika akiingia bungeni hatokosa kuwa waziri huyu.
Alikuambia anataka kuwa Mbunge? Kwa nini usigombee wewe? Au akili yako inatosha kusifia na kuabudu tu?
 
Charles alihojiwa pale clouds+ akasema yeye hana interest na mambo za siasa kabisa,akaulizwa na vipi rais akikuteua kwny mambo ya siasa?

Akajibu sasa hilo ni jambo lingine lkn kamwe hutakuja kunisikia nimechua form kugombea cheo chochote kile.
Yeah Kuna watu hawana time na siasa

Nakumbuka bwana Ambwne Yessayah alishawai ulizwa huko nyuma Kama atakuja shiriki kugombea ubunge maana wasanii wameanza kupata ubunge(refer sugu na Jay )

Jamaa alijibu "....Nina aleji na siasa...."

2020 Hamis ametia Nia Muheza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi uwezo wa vijana kuwaza ni kama unapotea na awamu hii ndo imekuwa mbaya mno
Hapana sio kwamba uwezo wa kuwaza umepotea bali wewe unataka kila mtu awaze kama wewe unavyowaza, tatizo linaanzia hapo mkuu.
 
Mkuu huwezi kuwaona, lakini humo ndani wako wa kutosha. Hujawahi kuona neno nyumbu, au lina tofauti na hilo makondoo?
Bado hujanielewa tu mkuu unakwama wapi? Hizo siasa za kuitana nyumbu na kondoo ni wewe na wenzako ndo mnaziweza, Mimi sizijui mkuu.
 
Siyo dhambi, mimi nakushauri ugombee, yule amestaafu tunahitaji vijana kama wewe wenye mtazamo mpya.
Na Mimi pia nimeshauri agombee yule kwasababu ya utu uzima wake na busara alizo nazo pia amefanya kazi mashirika mengi hivyo ana weledi wa kutosha, kama kustaafu ni huko sekta binafsi ili kwenye siasa bado anaweza kuendelea.
 
Na Mimi pia nimeshauri agombee yule kwasababu ya utu uzima wake na busara alizo nazo pia amefanya kazi mashirika mengi hivyo ana weledi wa kutosha, kama kustaafu ni huko sekta binafsi ili kwenye siasa bado anaweza kuendelea.
Kama wastaafu wakiingia tena kwenye siasa nyie vijana mnaomaliza vyuo lini mtapata fursa ya kutumia elimu yenu kulitumikia Taifa? Ni wakati wenu sasa. Wewe jitose hakuna mtu aliyezaliwa na weledi utajifunzia humo humo, mtu ukiwa na at least first degree huwezi kushindwa kukabiliana na majukumu yoyote yanayohitaji weledi.
 
Back
Top Bottom