Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndugu yangu hivi level ya Charles na Amba ruti wai na wapi...?Ukweli upi sasa hapo zaidi ya propaganda na chuki tu mkuu.
TunajivuniaHuyo ni mstaafu kwenye sector binafsi huko ila bado ni mtu makini anaye weza kutufaa kwa kutumikia watanzania kwenye nafasi za kiasa kama hizi.
Bado tunahitaji watu wenye busara kama hawa wakatuwakirishe kuliko kupeleka watukanaji kule bungeni mkuu.