Charles Kimei: Serikali iwekeze kwenye Elimu ya ujuzi ambayo inaakisi maisha yetu ya kila siku

Charles Kimei: Serikali iwekeze kwenye Elimu ya ujuzi ambayo inaakisi maisha yetu ya kila siku

Mpeleke attachment kwa mama ntilie atalipwa elfu tatu kwa siku kupika ku serve na kuosha vyombo ajifunze umama au ubaba nitilie halafu mpe mtaji baada ya mwaka afanye
Wangu nilimpeleka kwenye ufundi cherehani sasahivi ananunua materials tandika na kitumbini, anashona magauni, mashati na nguo za watoto na kuziuza kwa bei powa.
 
Shida mwingereza alipokuja lengo lake lilikuwa kuandaa makarani wa white color jobs tulipopata uhuru tuka adapt elimu ya muingeteza!! ya kuzalisha white color jobs officials!! Tukabaki na mentality ya kikoloni hadi Leo

Niseme wazi tulipofikia white color jobs are not nuch needed kwenye makert na hazina future kubwa both in the public sector na private sector

Wanafunzi wasisome tu kama wehu waangalie soko linataka nini. NA WAZAZI tuwe serious tuangalie soko linataka nini vyuo pia waangalie soko lataka nini sababu wakisubiri wazazi na watoto waamke kugomea course zao sababu hazina ajira wala future watakuja jikuta vyuo vinafungwa kwa kukosa wanafunzi

Kwahiyo zile ajira 8m mlikuwa mnawatapeli the so called wapiga kura?
 
Wangu nilimpeleka kwenye ufundi cherehani sasahivi ananunua materials tandika na kitumbini, anashona magauni, mashati na nguo za watoto na kuziuza kwa bei powa.
Hongera walau huyo anajielewa na division zero yake tofauti na graduates wengi wanaowadodea wazazi na ndugu zao majumbani
 
Wangu nilimpeleka kwenye ufundi cherehani sasahivi ananunua materials tandika na kitumbini, anashona magauni, mashati na nguo za watoto na kuziuza kwa bei powa.

Na mitumba yote hii kuna mtu anavaa nguo za kushonesha zinazotoka oversize in most cases?
 
Hivi kinachotusumbua graduates ni kutokusoma stadi za kazi au ni kuandaliwa kuishinda tunayohisi kuwa aibu endapo tutaonekana kufanya baadhi ya kazi?

Mfano ni wahitimu wangapi wa mechanical/electrical engineering wanaoona aibu kujichanganya gereji za kitaa kufanya kazi zilizopo wajipatie kipato ila wanashinda kutwa na bahasha kutafuta kazi za ofisini zinazoendana na walichosomea vyuo?

Kwasababu kama umesoma technical schools uka graduate katika fani husika unashindwa vipi kufanya ulichokisomea hadi unazidiwa maisha na muhitimu wa veta mtaanj kwenu.. Hapa sio kwamba ni aibu tu inatukumba na kujikuta tunashindwa kufanya kazi za tunaoamini hawajasoma?
 
Kwahiyo zile ajira 8m mlikuwa mnawatapeli the so called wapiga kura?
Kazi Nyingi sasa hivi sio za white color jobs za kulamba suti na tai muambiane huko Chadema kuwa kazi za kulamba suti na tai hazipo ukiwemo ugombea uraisi , ubunge na udiwani kupitia Chadema
 
Salamu wakuu, nilipata nafasi ya kutizama Bunge Leo wakati wa majadiliano ya hotuba ya Raisi, kwa moyo mmoja kabisa nimpongeze mbunge Charles kimei kwa kufikiri na kutoa mawazo ya nje ya box.

Graduates kwa sasa ni wengi mtaani hakuna ajira za kutosha kila anayegraduate kuajiriwa, ni wakati wa meza kupinduliwa kazi za mikono ziwekewe kipaumbele kikubwa kwenye system ya elimu...mitaala itanduliwe tupone, hii mind set ya MTT akimaliza Chuo aajiriwe akashike kalamu tu kwenye kiyoyozi ife, vijana wapewe skills za maisha zinazotumika kila Siku...

Kuna skills zingine mie nilisoma sijui unaiapply VP kwenye maisha ya kawaida serious!. Mh. Kimei Ameishauri serikali kuwekeza zaidi kwenye skills ambazo ajira zake zinaakisi maisha yetu ya kila siku kina fundi simu ,magari na the likes VETA izidi kukua.


Wakati wa Nyerere elimu ilikuwa inasukwa kuwa ya kumfanya mtu ajitegemee, yaani elimu ya Kujitegemea. Shule zilikuwa na michepuo ya stadi mbalimbali kiasi kuwa mtoto anapomaliza shule anakuwa ana uwezo wa kuanzisha shughuli zake mwenyewe. Kuna ugonjwa tulioupata wa kuamini kila kitu cha Nyerere ni kibaya, tukafuta elimu ya kujitegemea na kurudi kwenye elimu ya kuajiriwa sasa hivi tumefika njia panda ndipo tunaanza kulialia.
 
Hivi kinachotusumbua graduates ni kutokusoma stadi za kazi au ni kuandaliwa kuishinda tunayohisi kuwa aibu endapo tutaonekana kufanya baadhi ya kazi?
Mfano ni wahitimu wangapi wa mechanical/electrical engineering wanaoona aibu kujichanganya gereji za kitaa kufanya kazi zilizopo wajipatie kipato ila wanashinda kutwa na bahasha kutafuta kazi za ofisini zinazoendana na walichosomea vyuo?
Kwasababu kama umesoma technical schools uka graduate katika fani husika unashindwa vipi kufanya ulichokisomea hadi unazidiwa maisha na muhitimu wa veta mtaanj kwenu.. Hapa sio kwamba ni aibu tu inatukumba na kujikuta tunashindwa kufanya kazi za tunaoamini hawajasoma?
Umepigilia msumari penyewe mtu kasoma degree ya electronics and telecommunication hawezi fungua hata kibanda bubu cha kuingiza nyimbo kwenye simu au kutengeneza unakuta darasa la saba ndio mafundi simu hadi za touch! Na Ipad na iphone !!!
 
Nyingi sio za white color jobs za kulamba suti na tai muambiane huko Chadema kuwa kazi za kulamba suti na tai hazipo ukiwemo ugombea uraisi , ubunge na udiwani kupitia Chadema

Wanacdm wengi ni wajasiriamali maana hawana wa kuwabeba kwenye mfumo, hayo mambo ya kazi za white color jobs ni wanaccm maana ndio wamezoea kubebwa kwani hawana uwezo.
 
Wapo wengi tuu wa kumtosha Wanaovaa mitumba wanavaa na hizo pia

Ni kweli, ila atazeekea kwenye nyumba ya kupanga, maana hicho kipato kutoka ni majaliwa.
 
Hili suala limekuwa likizungumzwa miaka kadhaa iliyopita hv unadhan nn tatzo?
Curriculum ya elimu ya Tanzania na afrika kwa ujumla hazisadifu mahitaji ya nchi, imekazia kumuandaa mtoto kuajiriwa tuu.
Kwa kiasi kikubwa sana curriculum yetu imechangia kuua vipaji wanavyozaliwa navyo watoto, inakinzana pia na shughuli za uzalishaji zilizo katika jamii zetu kama nufugaji na kilimo na na hii inachangia sana kuwako kwa hii shida ya ajira Tanzania na Africa

Eti zaidi ya 70% ya ajira zipo kwenye kilimo halafu vijana wetu wapenda chipsi hawajui hata kama viazi vya chips vinachumwa kwenye mti kama maembe au vinachimbwa ardhini [emoji41][emoji41]
 
Salamu wakuu, nilipata nafasi ya kutizama Bunge Leo wakati wa majadiliano ya hotuba ya Raisi, kwa moyo mmoja kabisa nimpongeze mbunge Charles kimei kwa kufikiri na kutoa mawazo ya nje ya box.

Graduates kwa sasa ni wengi mtaani hakuna ajira za kutosha kila anayegraduate kuajiriwa, ni wakati wa meza kupinduliwa kazi za mikono ziwekewe kipaumbele kikubwa kwenye system ya elimu...mitaala itanduliwe tupone, hii mind set ya MTT akimaliza Chuo aajiriwe akashike kalamu tu kwenye kiyoyozi ife, vijana wapewe skills za maisha zinazotumika kila Siku.

Kuna skills zingine mie nilisoma sijui unaiapply VP kwenye maisha ya kawaida serious!. Mh. Kimei Ameishauri serikali kuwekeza zaidi kwenye skills ambazo ajira zake zinaakisi maisha yetu ya kila siku kina fundi simu ,magari na the likes VETA izidi kukua.

Yeye Kimei anafanya nn bungeni kama anajua hayo? Mawazo kama hayo hakuna jipya, elimu ya ufundi stadi ipo na inafundishwa, kipi kipya Kimei kasema? Yeye mwenyewe kastaafu CRDB, kashindwa kujiajiri, kakimbilia kuomba ajira kwa wananchi.

Kwanini Kimei pamoja na kuwa MD wa CRDB ana mahela kibao, asijiajiri na kufungua miradi ambayo ingetoa ajira kwa wananchi hata wa jimbo alilotoka la Vunjo?

Kimei kashindwa kujiajiri mwenyewe, halafu anaishauri serikali itengeneze ajira kwa kufundisha ufundi, mbona hakuna jipya hapo. Au ww mpambe tu wa Kimei, hapa JF sio kila mtu mjinga, ukipost jambo waza mara nyingi, acha kuona watu wajinga ww.

Kimei nothing new kasema. Mwenyewe kashindwa kujiajiri..
 
Mpeleke attachment kwa mama ntilie atalipwa elfu tatu kwa siku kupika ku serve na kuosha vyombo ajifunze umama au ubaba nitilie halafu mpe mtaji baada ya mwaka afanye
Mnajua kuongea Sana
 
Kwel mazuzu hamtomalizika
Kazi Nyingi sasa hivi sio za white color jobs za kulamba suti na tai muambiane huko Chadema kuwa kazi za kulamba suti na tai hazipo ukiwemo ugombea uraisi , ubunge na udiwani kupitia Chadema
 
Ni kweli, ila atazeekea kwenye nyumba ya kupanga, maana hicho kipato kutoka ni majaliwa.
Kwani waajiriwa kwenye ajira rasmi wanalipwa sh ngapi? Na wao hawazeekei kwenye nyumba za kupanga? Fundicherehani mdogo kabisa anaingiza wastani wa 20 kwa siku sioni kama ni kitu kidogo

Na hiyo statement ya kuzeekea kwenye nyumba za kupanga ulivyoitumia hapo umesahau kama kuwa na kitu fulani inategemea na vipaumbele vya mtu
 
Charles Kimei ni msomi aliyeelimika mwenye kujua jinsi ya kuitumia elimu yake kwa matumizi sahihi ya mazingira yaliyopo
Hongera kwake mbunge wa Vunjo
Sijui ni wangapi wa kariba yake waliojiajiri
 
Yeye Kimei anafanya nn bungeni kama anajua hayo? Mawazo kama hayo hakuna jipya, elimu ya ufundi stadi ipo na inafundishwa, kipi kipya Kimei kasema? Yeye mwenyewe kastaafu CRDB, kashindwa kujiajiri, kakimbilia kuomba ajira kwa wananchi.. Kwanini Kimei pamoja na kuwa MD wa CRDB ana mahela kibao, asijiajiri na kufungua miradi ambayo ingetoa ajira kwa wananchi hata wa jimbo alilotoka la Vunjo? Kimei kashindwa kujiajiri mwenyewe, alafu anaishauri serikali itengeneze ajira kwa kufundisha ufundi, mbona hakuna jipya hapo. Au ww mpambe tu wa Kimei, hapa JF sio kila mtu mjinga, ukipost jambo waza mara nyingi, acha kuona watu wajinga ww.. Kimei nothing new kasema. Mwenyewe kashindwa kujiajiri..
Ni ujinga tu unaongelewa humu na watu ambao hawajui chochote kuhusu hustling za mtaa , sjui nan atakubali humu akatwe mshahara wake ili multi billion dollar ziende kuturn around huo mtaala wanaousema istoshe wakufunzi lazima watoke nje , waliopo ni wachache na skills zao zinatia mashaka na still hao mafundi wa kitaa most of them wanapata hela ya Kula tuuu , tusidanganyane hapa ...... Wanaotoboa ni wenye mitaji mizito tatizo ambalo hata graduates wa sa hvi linawaumiza kichwa
 
Na hivi majuzi kiongozi mkubwa wa nchi akatushauri tukazibe pancha magari, ajira zipo nyingi Sana na uvivu wetu tu.
 
Back
Top Bottom