Sawa, sio uchawi ni ushirikina.Matambiko ni mila na sio uchawi!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, sio uchawi ni ushirikina.Matambiko ni mila na sio uchawi!.
P
Ni ushirikina.Tambiko ni uchawi???
Walmushirkina finari Jehanam.....Duh. Kumbe Kimei ni Mchawi
Mila na desturi, sio ushirikina.Sawa, sio uchawi ni ushirikina.
Duh kwahiyo yanayofanyika makanisani na misikitini ndio ya kisasa ?Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
TUNAZIONEA AIBU TAMADUNI ZETU HAKIKA MTOA POST NI MTU WA AJABU SANA AJABU IPO WAPI HAPO #TUSIWE WATUMWA WA WATU WA MAGHARIBIMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Kama jumapili unaingia kanisani na unaamini katika ukuu wa Mungu, halafu una-submit kwa hivi vi impotent god katika jina la mila ndio ushirikina wenyewe. Impliedly, your belief in the Almighty, most high God is shaky.Mila na desturi, sio ushirikina.
P
Wewe ni mjinga wa mwisho, hizo ni tamaduni za kawaida za kimasai, sielewi huo ushirikina umetoka wapiPumbavu kabisa, alishikiwa bastola? Kwanini hakukataa mambo hayo ya kishirikina!
Taratibu, labda ukinielimisha ujinga utanitoka. Mimi ninaamini katika Mungu mmoja muumba wa kila kitu. Hizo tamaduni za kimasai zinaamini katika huyo Mungu ninayemuamini?Wewe ni mjinga wa mwisho, hizo ni tamaduni za kawaida za kimasai, sielewi huo ushirikina umetoka wapi
Hayo ni mambo ya kitamaduni kama wengine wanavyoenda kuombewa kanisani au kufanyiwa dua misikitiniMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Hujui.......Sasa Kimei na huyu mgombea urais, nani mwenye hadhi ya juu?......Sijui.....Kweli imebidi niwakumbuke wahenga.' Kunya anye kuku, akinya bata.......' ONA SASA!kuna mambo yanakushushia sana heshima ukianza kuyashiriki,moja wapo ni hili la kugombea nafasi za kisiasa...kimei alishafika hadhi ya juu kabisa ya heshima katika utumishi,tena kwa mafanikio makubwa kabisa,leo anaanza jidhalilisha hivi
Duh. Kumbe Kimei ni Mchawi
Pumbavu kabisa, alishikiwa bastola? Kwanini hakukataa mambo hayo ya kishirikina!
Kumbe kwenu Mungu wa Kiafrika mnamwita Shetwani!