Charles Kimei: Vunjo tunaanza upya. Katika awamu ya 5 kulikuwa hakuna ushirikiano na Serikali. Mrema na Mbatia hakuwaleta maendeleo Vunjo

Charles Kimei: Vunjo tunaanza upya. Katika awamu ya 5 kulikuwa hakuna ushirikiano na Serikali. Mrema na Mbatia hakuwaleta maendeleo Vunjo

Maisha bhana ! huyu jamaa alitegemea eti awe waziri wa fedha , mwishowe kaishia kuwa Mgonga meza tu bungeni

Shetani hana rafiki
Nadhani Kimei ana shida ya kuchambua mambo ya siasa za ccm. Unaposema tu kwamba awamu ya 5 Vunjo ilitengwa na serekali ya ccm kusudi lilikuwa nini??Je wachaga wangapi wanaopenda siasa za kujikomba.
 
..ni mahojiano na Dar24.

Dkt. Kimei ametoa tuhuma nzito dhidi ya Augustino Mrema, na James Mbatia, ambao ni watangulizi wake.

Lakini ktk kutoa tuhuma hizo Dkt. Kimei pia ameituhumu Serikali ya awamu ya 5 kwa kulitenga kimaendeleo jimbo la Vunjo.

Nadhani Dkt. Kimei ana mushkeli kidogo ktk maelezo yake. Naamini haya anayozungumza hayajatoka moyoni kwake na amebabaika sana wakati akitoa kauli hizo.


Jioni unawakuta wako na Mbatia wanakula kitimoto

Wachagga wako smart sana
Siasa ni kama klabu za mpira, siasa si ugomvi ni jukwaa la kupitisha maendeleo kwa mtazamo tofauti. Tatizo ni watanzania kutokujua maana ya siasa japo Dr. Slaa na mkewe enzi zake akiwa Chadema na mke akiwa CCM walijaribu kuwaonesha watanzania siasa ni nini. Unapokuwa jukwaani wewe ni mwanasiasa na ukirudi nyumbani wewe ni baba, mama au mtoto si mwanasiasa.
 
Mbatia alukuwa na kampeni ya jenga barabara ya vitongoji huko vunjo. Sasa hutu ataenda kuanza upya na kipi au kuendeleza hii, au...
Ni zipi hizo barabara za vitongoji alizojenga zaidi ya zile za kwenda Iwa na Kisomachi ambako kote ni nyumbani kwake?
 
..anawatuhumu wenzake wabunge wa upinzani kwamba walikuwa wanagomea au hawahudhurii vikao vya BAJETI.

..pia amezungumzia dhana ya " mafiga matatu " inayohalalisha jimbo kutengwa na chama tawala ikiwa litachagua mbunge toka upinzani.

..Yaani kwa mtizamo Dr.Kimei majimbo yaliyochagua Ccm yana haki zaidi kulinganisha na yaliyochagua upinzani.
Dunia kote ndio hivyo;lazima ufanye kazi na ambae mnaelewana,inawezekana vipi kufanya kazi na kiumbe kila siku ni kupinga unayoyafanya ?
 
..ni mahojiano na Dar24.

Dkt. Kimei ametoa tuhuma nzito dhidi ya Augustino Mrema, na James Mbatia, ambao ni watangulizi wake.

Lakini ktk kutoa tuhuma hizo Dkt. Kimei pia ameituhumu Serikali ya awamu ya 5 kwa kulitenga kimaendeleo jimbo la Vunjo.

Nadhani Dkt. Kimei ana mushkeli kidogo ktk maelezo yake. Naamini haya anayozungumza hayajatoka moyoni kwake na amebabaika sana wakati akitoa kauli hizo.

Huyo ni mbunge viti maalum vya jpm 2020
 
Kimei alijivunjia heshima sana kuja kwenye hizi siasa uchwara za propaganda
Angeweza kwenda kwenye taasisi binafsi au kushirikiana ba serikali kwa namna nyingine kuleta maendeleo kuliko kuingia moja kwa moja kwenye hizi siasa chafu
Hivi naye alipita bila kupingwa au Kwa wizi wa kura?
 
Yeye baada ya kupewa ushirikiano na awamu ya sita kafanya nini?

Huo mwanzo mpya una kipi cha maana kinachopimika?
 
..ni mahojiano na Dar24.

Dkt. Kimei ametoa tuhuma nzito dhidi ya Augustino Mrema, na James Mbatia, ambao ni watangulizi wake.

Lakini ktk kutoa tuhuma hizo Dkt. Kimei pia ameituhumu Serikali ya awamu ya 5 kwa kulitenga kimaendeleo jimbo la Vunjo.

Nadhani Dkt. Kimei ana mushkeli kidogo ktk maelezo yake. Naamini haya anayozungumza hayajatoka moyoni kwake na amebabaika sana wakati akitoa kauli hizo.

 

Attachments

  • IMG_8393.MP4
    8.2 MB
Dkt. Kimei ametoa tuhuma nzito dhidi ya Augustino Mrema, na James Mbatia, ambao ni watangulizi wake.

Lakini ktk kutoa tuhuma hizo Dkt. Kimei pia ameituhumu Serikali ya awamu ya 5 kwa kulitenga kimaendeleo jimbo la Vunjo.
Huyu PhD holder naye ni chawa type, anachokitafuta atakipata
Msomi mzima anakalia kusema watu, hivi mwenye akili timamu anaweza kumsimanga Marehemu?
Yeye afanye sehemu yake aachie wengine
 
Back
Top Bottom