Charles Kitwanga: Inanichekesha kuona kivuko chetu kinapelekwa Kenya kutengenezwa

Charles Kitwanga: Inanichekesha kuona kivuko chetu kinapelekwa Kenya kutengenezwa

Imefika wakati sasa Tanzania tuachane na REMANUFACTURING.
Chombo kikizeeka, iwe meli, pantoni ama kichwa cha treni kiwe scrapped na nguvu tuiwekeze kwenye kununua vyombo vipya.
Sasa tukiwa tunanunuwa Vyombo vipya tu na mafundi wetu wale wakurekebisha nao watakula wapi!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani wanajaribu kupingana na Magu mtangulizi ktk Kila jambo hata kama ni zuri Kwa maslah ya nchi.

Magu alisisitiza Uzalendo, wao wanafanya tofauti,

Uliona wapi pesa za walipakodi wa US zipelekwe Urusi Kwa njia ya maintainance🙃🙃🙃

USALAMA wa Nchi umezingatiwa? Ndomana mtu kama Kitwanga ametoka kupiga kelele.

Mshindani wetu kiuchumi na kiusalama awezaje kuruhusiwa kuingia bedroom Ili kufix nuts za kitanda tunacholalia?
 
Shida siyo viongozi wetu! Shida ni Wananchi wenyewe, Wanawezaje kuvumilia uozo huu?

Sielewi nchi hii ingekuwa ndo ipo mikononi mwa mkoloni, nani angelikuwa tayari amwage damu yake ili kuondoa mkoloni?

Haya yapo kwa sababu ni nchi ya watu wa ajabu sana!

Hata tukiwa na katiba nzuri na akapatikana wa kuikanyaga itakanyagwa na hakuna kitakachotokea
 
Amechukia kwanini hawakupewa wale sangara? Hii inathibitisha walikula sana enzi yao, wawe wapole tu sasa, wao ndio waliiba sana tena sanaaaaa
Wezi wakubwa, mirija imekata na kufungwa na kufungwa wanatapatapa
 
Mafundi wa TEMESA na wakandarasi waliopo nchini hawana akili ya kufanya maintenance ya hicho kivuko cha kizamani? nakubaliana na Kitwanga kwenye hili.....
Walitaka 10b wakati Kenya ni 7b,3b zimeokolewa
 
Amechukia kwanini hawakupewa wale sangara? Hii inathibitisha walikula sana enzi yao, wawe wapole tu sasa, wao ndio waliiba sana tena sanaaaaa
Wezi wakubwa, mirija imekata na kufungwa na kufungwa wanatapatapa
Tenda ilikuwa ipo wazi mbona hao SONGORO MARINE wao bei yao waliweka BILLION 11 wakati bei elekeze ilatakiwa isizidi BILLION 7+ ...hizi kampuni za KITANZANIA huwa ni longolongo hasa .

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Tenda ilikuwa ipo wazi mbona hao SONGORO MARINE wao bei yao waliweka BILLION 11 wakati bei elekeze ilatakiwa isizidi BILLION 7+ ...hizi kampuni za KITANZANIA huwa ni longolongo hasa .

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Wangeendelea na bargaining Hadi wakakubaliana.

All in all uamuzi wa kuvuka mpaka haikubaliki.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Zamani wa Tanzania, Charles Kitwanga amesema “Tunachukua kivuko chetu, sijali kama ilinunuliwa kwa Bilioni 8 na inaendwa kutengenezwa kwa bilioni 7.5, tunashindwaje kuitengeneza sisi Watanzania hadi kupeleka Kenya.

“Tuangalie nani yupo nyuma wa huo mpango, inanipa usumbufu wa mawazo. Sikubaliani na suala la kuipeleka Kenya, niwaambieni hata mkitaka kuiba ibeni kisha muwekeze Tanzania ili wapate kazi”

Chanzo: Dar24
Watu wengine wak irrelevant kabisa... Yani huyo mwandishi anayemfuata huyu jamaa leo ana nini behind..ana interest gani na kitwanga... Nonsense..
 
Sisi ukiwa nje ya mfumo unakuwa upo njema kweli kwenye kifikiri na kukosoa. Ukiingia tu kwenye mfumo,kichwa kinaoza kabisa.
 
Kwani Mpina na February wanasemaje kwenye hili?!

Bush stars vs Town stars….nani zaidi….ngoja tuone
 
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Zamani wa Tanzania, Charles Kitwanga amesema “Tunachukua kivuko chetu, sijali kama ilinunuliwa kwa Bilioni 8 na inaendwa kutengenezwa kwa bilioni 7.5, tunashindwaje kuitengeneza sisi Watanzania hadi kupeleka Kenya.

“Tuangalie nani yupo nyuma wa huo mpango, inanipa usumbufu wa mawazo. Sikubaliani na suala la kuipeleka Kenya, niwaambieni hata mkitaka kuiba ibeni kisha muwekeze Tanzania ili wapate kazi”

Chanzo: Dar24
Mambo aliyaongea huyu kitwanga yataishi milele na itakuwa legacy yake ya kweli, na amaejizuia sana sana kukiuka kiapo na viapo vyake, he tried a lot to refrain from provocative and hopeless journalist I hope huyo journalist ni coward na unqualified to be a journalist
 
Walitaka 10b wakati Kenya ni 7b,3b zimeokolewa,zitafaa walau kwa matundu ya vyoo shuleni wanao wanye mazingira mazuri
Unafananisha 10b itakayobaki nchini na 7b utakayompelekea nyang'au.......tumia akili kidogo tu.
 
Kw
Unafananisha 10b itakayobaki nchini na 7b utakayompelekea nyang'au.......tumia akili kidogo tu.
Kwamba songoro marines wataitumia 10b yote iingie kwenye mzunguko wa kila siku!!..hiyo 3b ya kupoteza haipo mzee
 
Back
Top Bottom