Charles Kitwanga: Inanichekesha kuona kivuko chetu kinapelekwa Kenya kutengenezwa


Noma sana…

Hao ni sub usiogope…muda wowote wanaingia uwanjani
 
Inawezekana spana zinazofungua bolt haziwezi kufika tz
Maajabu hayaishi Tanzania
 
Mafundi wa TEMESA na wakandarasi waliopo nchini hawana akili ya kufanya maintenance ya hicho kivuko cha kizamani? nakubaliana na Kitwanga kwenye hili.....
 
Sasa kama Rais anaruhusu mambo kama hayo kwanini wasipeleke.

Tusijidanganye bwana Watanzania hatuwezi lolote zaidi ya kula kuoana na kupiga umbea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…