Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #41
Umemaliza mkuu.... inawezekana hata Simba au Yanga zote sio sahihi labda sehemu sahihi ilikuwa Azam vipi hapo????.....Ni suala la kumpa muda na sio kukariri kila mchezaji fulani wa nchini akienda Simba au Yanga atafeli hapanaUamuzi wowote saa nyingine hauwezi kuwa sahihi Kwa kila mtu. Hata mapenzi Kwa timu Fulani nayo siyo ya kuyapuuza pia. Hata ulaya ambako ndo reference yetu Kuna wakati mchezaji anakuwa tayari hata mshahara upungue Ili mradi tu akacheze timu anayoitaka Kwa sababu zake mwenyewe.
Hata kina samatta au msuva....Ni wazawa na wamepita hizi hizi Simba na Yanga lkn wametoboa labda Ni zamu ya CHASAMBI naye Nani aijuaye kesho yake???
Sent using Jamii Forums mobile app