Yaaah ilitokea .....Kwa Simba
.manara alikuwa na follower 3 million
Simba walikuwa na 1.6million follower
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mi bado najiuliza ilikuwaje hadi akamwita mzungu? Chanzo nini?
Siyo kweli,Simba ni maarufu kabla Manara hajazaliwa, mwaka 1974 Simba imefika nusu fainali klabu bingwa afrika na ikafahamika Afrika nzima hapo Manara hajazaliwa.
Kwenye korti of law hakuna kosa. Kwani yeyot anayeitwa Mzungu ni Manara?Ni mbaya mno mkamkashifu kutokana na hali yake ya ulemavu
Angemtania tu bila kuhusisha ulemavu wake
Dogo acheze mpira sio mzungumzaji mzuri, aachane na mike acheze mpira
Kila akiongea anaharibu
Mkuu ...tatizo humu hatujuani .....Huna Lolote Zaidi Ya Njaa
Kwani Ni Kesi Mpaka Ukatae?
Manara alitania ( Ili kumkomaza dg .....lkn dg kamaindiMi bado najiuliza ilikuwaje hadi akamwita mzungu? Chanzo nini?
Ela Sio Matako.Mkuu ...tatizo humu hatujuani .....
Naweza finance ukoo wako ...Hadi ukoo wa mkeo .......
Siku ukinijua utanipigia goti ....kuomba kuokota (in mwijaku's voice)
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Yule ni mtoto wa mjini ...[emoji23][emoji23]Yaani hyo zungu ni fitna na mchonganishi halafu alienda hija ile siku anawatukana askari magereza pale uwanjani niliona kabisa kumbe jamaa akivuta mibangi na sigara maneno yanamtoka tu hata ile kumtukana karia pale arusha alijitia huruma kaonewa kama mtu anawatukana askari ashindwe kumtukana karia kweli jamaa ni fitna na mchonganishi mkubwa sana.
Yaaah mkuu.....fanya jitihada ( uchawa) unijuue ........utakula mema ya nchiEla Sio Matako.