kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
manara sio mzungu ni zeluzelu
hilo goli zawadi kwa wazungu ulaya(MALENGO ya dogo kucheza huko)
hilo goli zawadi kwa wazungu ulaya(MALENGO ya dogo kucheza huko)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amemtaja jina?au ndo waswahilil kama kawaida yenu tu kuzusha zusha manenoNi mbaya mno mkamkashifu kutokana na hali yake ya ulemavu
Angemtania tu bila kuhusisha ulemavu wake
Dogo acheze mpira sio mzungumzaji mzuri, aachane na mike acheze mpira
Kila akiongea anaharibu
We nawe mswahili mswahili sanaAlimaanisha Albino
Nadhani washauri wa Chasambi wamwambie acheze mpira, aachane na 🎤 🎙️
Fans engagement ilikuwa kubwa sana pale ukoloni kipindi Cha manara kuliko wakati wowoteManara ni makubwa gani ameifanyia Simba , yeye alikuwa mwajiriwa aliyekuwa analipwa mishahara.
Najua hata ww waelewa alimaaniasha nnWe UTOPOLO ni wapi alikwambia mzungu anaemsema ni manara na sio said? Mwisho kabisa angalia wapi umejikwaa na sio ulipoangukia.
Hamkumuelewa... ulikuwa ni utani wa jadikawatukana washabiki,wachezaji na viongozi wote wa Utopolo kuwa wote hawana akili ukiwaondoa baba yake pamoja na Jakaya tu
Ilijulikana kidogo.....manara aliipaisha zaidiKwahiyo kabla ya mzungu Manara kuwa msemaji wa Simba,Simba ilikuwa haijulikani?
That's what we're blaming chasambiManara ni Mzungu???
That's what we're blaming chasambiManara ni Mzungu???
Bila shaka hata ww ulikuwa hujazaliwaUmeanza kufuatilia mpira mwaka jana? wakati Ally Sonso anajifunga dhidi ya Azam ulikuwa wapi?
Hapana mkuu...mbona alipewa hongera....na pesa juuChasambi alipojifunga mlimshobokea,kafunga goli tena mnalilia lia
Tatizo huelewi how universe operate ... endelea kula ugali Kwa shemeji akoWewe mchepuko wa manara una shida. Haji ndo mzungu? Yaani anaendaje kuomba msamaha kwa kumpa goli mzungu?mmemuuliza chasambi mzungu yupi?acheni ufalah nyie madogo
Ubaguzi huoTuna mfanyakaz mwenzetu albino tunamwita mzungu basi anafurahi na sisi tunafurahi pamoja naye, maisha yanakwenda.
Sawa lkn manara kasaidia kuibust zaidi simbaUmeanza kushabikia mpira juzi? Eti manara kaifanya Simba ijulikane ndani na nje. Simba na Yanga zinajulikana ndani na nje muda mrefu tu. Acheni kuwapa watu unuhimu wasiokuwa nao nyie makolo.
U mbu mbu ni ustaarabumanara sio mzungu ni zeluzelu
hilo goli zawadi kwa wazungu ulaya(MALENGO ya dogo kucheza huko)
Tatizo umebanwa na mahaba kwa manara. Endelea kula ugali kwa buana akoTatizo huelewi how universe operate ... endelea kula ugali Kwa shemeji ako
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Basi hata Chasambi wewe ndiye hukumuelewa,mwenzako Kamuelewa ndo maana amepost utani wake kwenye page yake na wala hajamind
Huna Lolote Zaidi Ya Njaa
Wacha majungu na uchochezi wewe. Kama Manara alifanya utani basi na yeye Chasambi alifanya utani kwani nani asiyejua kuwa maalbinp wanaitwa wazungunkwa utani, kuna yule mtangazaji alikuwa Wasafi ambaye ni albino yeye mwenyewe anajiita Zungu. Wacha ushamba wa kukuza jambo dogo kulifanya kubwa, utani hauna mipaka ndiyo maana watani kwenye makabila wanafanya utani hadi kwenye misiba. Wacha hizo dogo.KITENDO SI CHA KIUNGWANA
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile.
Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living legend kwenye upande wa Habari Simba, anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba.
Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu
@sanitizerrtz
Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app