much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kwani kasema analipwa na matajiri au na yanga kama angekuwa analipwa na GSM angesema pale GSM analipwa pesa nyingi?Maybe Yanga Kwa vile m .Wana matajiri wengi wanamlipa in personal
But kwenye payroll hayumo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Pia kama analipwa na matajiri wa yanga pesa nyingi kuliko yoyote basi hao madoni wameona manara ni mkubwa kuliko yanga Ivo wameona wampe pesa ndefu ili yanga itoboe