Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Kwa hiyo mwafrika mweupe kuitwa mzungu au Zungu ni kosa?

Mbona mimi ni mweusi tii kama mkaa au lami, lakini watu wakiniita blackie au mpingo nafurahi tu?

Kwa maoni yangu Chasambi hajafanya kosa lolote kutakiwa aombe msamaha.

Acha kuyatafutia maneno harmless maana mbaya.
Yaah kwasababu we ni Mbu mbu Mbu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Lakini aliyafuta mazuri yote aliyoyafanya akiwa Simba Kwa jinsi alivyokuwa aki act Kama vile alikuwa na kisasi na Simba alikotoka.
Manara alishindwa kuelewa kuwa alikuwa na ugomvi na bosi wake Tu na wala si Timu ya Simba. Pamoja na umri wake wote huo hajui 'Utu Uzima ni dawa' Angetoka na kuhama Timu bila jeuri Kama alivyofanya, angejijengea heshima.
Hizi Timu kubwa Simba na Yanga si za viongozi Tu, zinawafuasi mamilioni, ilipaswa awe makini na maneno na kejeli zake
Lkn chasambi ndo kamchokoza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Manara na Simba .....nani ana followers wengi mitandaoni [emoji23][emoji23][emoji23]

Manara ni mkubwa Kwa Simba

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Heee ww kumbe hamnazo aisee halafu huna unalolijua yani Manara ameizidi Simba Followers...yani ukiingia muda huu mtandao wowote utakuta manara ameizidi simba followers? Hivi huko utopoloni kweli huwa mna reason kabla ya kuropoka...
Simba anaelekea followers milion 7 insta...
Manara anawazidi nyie utopolo followers...
Shame on you...
Kaa huko Tukuyu uuze maparachichi ya mjini huyajui...
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA

Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile.

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living legend kwenye upande wa Habari Simba, anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba.

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz

Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni.



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Aanze kwanza dulla makabila
 
Labani og ni zuzu..
..anawa aibisha wenye akili utopoloni
Manara aliekua analia kwny simu anamlilia Barbra kwanini hampendi..et kuwa anaipenda Simba ila Barbra ndo anamfanya aondoke...analia viongozi wamemkaushia hakuna wa kumtetea ndo manara ambae kwa sasa utopoloni wanamuona mzee wa kismati yani wanaona akiwepo ndo mafanikio yao..
Manara ambae ana video kibaoo za kuwakashfu utopolo yani kibaoo..
Huyu mwaisa anataka tuone huruma kisa kaitwa mzungu...
 
Hapana mkuu...mtu hawezi kuwa mkubwa Kwa nchi

Ila mtu (manara) anaweza kuwa mkubwa Kwa taasisi (simba

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana Kwa Simba sio mkubwa ila Kwa yanga ni mkubwa ndo maana walitoswa yanga lialia na wakapuuzwa mashabiki oyaoya wa yanga ili tu manara aje yanga licha ya kuwatukana na kuitukana brand ya yanga
 
Back
Top Bottom