Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Baada ya kumshangilia sana dogo wiki iliyopita mpaka mkajisahau kuwa mna mechi na JKT pale Major Jeneral Isamuhyo. Sasa endeleeni kuwa buzy na Chasambi muone.
 
Sio alikuwa anamfikishia ujumbe huyu mzungu ?
1000022884.jpg
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwaiyo angemuita zeruzeru au!? Ujielewi mkuu
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama hataki kuitwa mzungu basi tumuite ZERUZERU, tuone lipi lina unyanyapaa.

Huyu Albino anawabagaza watu kwenye mitandao kila siku wala hamjitokezi kumkanya.

Kila mmoja ashinde mechi zake
 
Manara na ualbino wake akae kwa kutulia.Ningekuwa mimi ndo Chasambi nisingemuita mzungu.Ningemuita zeruzeru.
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Asitumie ulemavu wake kutafuta huruma kwa watu huwa mdomo wake huyo mzungu pori ni mchafu sana yeye ali-print jezi kwa kumdhihaki....sawa sawa tu!
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mchango wa manara nje ya taifa kwa simba ni upi buda… we unadhani wenzetu wanaendeshwa na kelele za wasemaji. Labda amuombe radhi kwa heshima au umri…
 
Ni mbaya mno mkamkashifu kutokana na hali yake ya ulemavu
Angemtania tu bila kuhusisha ulemavu wake
Dogo acheze mpira sio mzungumzaji mzuri, aachane na mike acheze mpira

Kila akiongea anaharibu
Kabisa mkuu.... wachezaji waswahili hawa ndio maana hawadumu Kwa kusikiliza zaidi mambo ya nje ya uwanja .....

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada hujawahi kuwa na akili hata kisoda, mlivyoshangilia na kumkashfu mliwaza nini? Wakati huyo TAKADINI anamdhihaki kwa kuprint tshirt mbona hukuleta huu ujinga hapa. Kila mtu ashinde mechi zake
 
Back
Top Bottom