Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Manara alipochonga jezi na kuandika chasambi ilikua uungwana?
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mnaendelea na uchonganishi wenu kama DNA yenu inavyowataka.
 
Chasambi ana haki yake pia ya kuumia au kufurahi. Manara anapaswa kujiheshimu yule dogo bado anasafari ndefu ya maisha, Manara ameshamaliza zamu yake aache shobo. Lakini pia Chasambi kumtaja mzungu haimaanishi kamtaja Manara
Dg chasambi Mzee wa kujisweka
....hatakiw kuko ncentrate na maneno ya nje ya uwanja

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kimsingi, mleta mada ndiye anayemuita manara kuwa ni mzungu. Yaani kama suala ni kashfa, basi mleta mada ndie anayemkashfu manara. Chasambi anawajibika kwa alichokisema na sio kwa namna alichokisema kinavyotafsiriwa.

Siku nyingine Acha vingine vipite kimyakimya, usichochee. Hapa wewe ndio unasambaza habari kwa ambao hawakuisikia awali iliposemwa na Chasambi (kama ni kweli alisema). Mbaya zaidi wewe umeenda mbele kwa kutoa tafsiri yako kuhusiana na kauli ya Chasambi.
Alitaja na jina

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Manara aliondoka Simba na kutufanyia fitina Sana, alitegemea angeweza kuiua Simba, ametuhujumu Sana mjinga Yule, kwani alichokuwa anashabikia Chasambi kujifunga NI nini! Achaneni kumtetea huyo ameyataka mwenyewe.
Kwa iyo yeye kukebehi NI rukhsa! Ila wengine kumjibu kebehi zake NI dhambi! Ulemavu wa ngozi usiwe NI fimbo ya kutandikia wengine! Atachambwa Tu! Na wala si Kwa ulemavu wake Bali Kwa tabia zake za kutaka sofa!
Lkn amewafanyia mambo mengi mazuri kuliko mabaya

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA
.
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" Akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living Legend kwenye upande wa Habari Simba , Anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz


Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni View attachment 3235073

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa umejaa mavi hivi kati Simba na manara yupi kamfanya mwenzake ajurikane Tanzania?
 
Baada ya kumshangilia sana dogo wiki iliyopita mpaka mkajisahau kuwa mna mechi na JKT pale Major Jeneral Isamuhyo. Sasa endeleeni kuwa buzy na Chasambi muone.
Kujisahau kivipi mkuu....wakati sisi wachambuzi tuliplay part yetu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA

Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile.

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living legend kwenye upande wa Habari Simba, anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba.

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz

Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni.



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Yeye kasema anampa mzungu, wew unamsema manara, manara ni mzungu?
 
Back
Top Bottom