Chat with warumi

Chat with warumi

Maswali yangu ni kama ifuatavyo

Broo unamiaka mingapi? Je umeoa?
Je unamudu vipi mda wa kuendesha familia na kutafuta umbea?

Je unadhani umbea ni sahihi katika jamii Kama ndio kwanini na kama hapana ningependa nijuee kwa nini?

Je unadhani hao unaowaletea umbea wanapenda uwafanyie hvyo? Na kama hawapendi kwa nini ufanye hivyo?

Kaka hivi hizi habari unazipataga wapi we ni celebritie au mtu wao wakaribu? Au we sio lukole kweli umebadili I'd? Ushawahi shtukiziwa na hao unaowafichua?


Je unadhani umbea ni sahihi katika jamii


kama sio kwa nini unafanya hvyo Kama ndio kwa nini ni sahihi?


Je ungependa mwanao awe mmbea kama wewe?

Maswali ya nyongeza

Je serikali yetu ya awamu ya tano inabidi ifanye nini kukuza kilimo cha pamba?

Katika sekta yetu ya utalii unadhani serikali ifanye nini kuondoa tatizo la industry espionage?


Hivi mkuu ni kwa nini sisi kuna baadhi ya mazao tunalima lakini bado tunanunua products ya hayo mazaoo au hayo mazao kutoka nje mfano sukari?


Tukiangalia kweny biashara mkuu kwa nini demand ya products uwa inapanda pale ambapo price inashuka? Hivi hii ai affect inflation rate?

Mkuu ningependa kulima zao la ngano unaweza nielekeza nifanyaje na linalimwa vipi na condition zake?


Unaichukuliaje serikali awamu ya tano?

Nb: nijibu maswali yangu ya nyongeza hayo ya juu sipo interested nayo ila ukipenda unaweza ukayajibu

Ntashkuru Kama ntapata majibu yangu
GH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameeenda wapi hawa watu?...umemsahau nifah

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengi siku hizi wengine wake za watu hapo..

Nimemsahau nifah na diva Beyonce!!! Na eveline salt[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]!!!!!
Halafu hapo tulikua team Zari tupu...mrembo by nature tu ndo alikua team Wema...!!!

Kumepoa mnoo sasa hv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengi siku hizi wengine wake za watu hapo..

Nimemsahau nifah na diva Beyonce!!! Na eveline salt[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]!!!!!
Halafu hapo tulikua team Zari tupu...mrembo by nature tu ndo alikua team Wema...!!!

Kumepoa mnoo sasa hv

Sent using Jamii Forums mobile app
Doooh umenikumbusha Diva Beyonce...huyu mdada kapotelea wapi? I real miss her

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie napendaga unavyoweza kumind business za celebrities tu....hunaga muda na sisi tusiojulikana

Sasa binamu watu humu mna fake ID naanzaje kupata umbea wenu ?, na kuna baadhi ya watu nafahamiana nao humu na tunachat whatsapp na ninawaheshimu sana na itabaki hivyo mpaka nakufa, ahaah

Mastaa wanajulikana na wengi , umbea wao unanoga zaidi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
My binamu,nakupenda mnoo..toka enzi zile tunatukanwaaa!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]na matola kisa umbea!!!nammis,HOE,Heaven Sent,Tatiana,ladykims,dinazarde,Queen of Sheba,mrembo by nature n.k!!!

Alikua akichambwa Wema enzi zile [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]sisahau siku ile Lara peke yake sisi kama wote tunamchamba mange yeye anamtetea!!!Eeh Mungu wee!siku hizi nakaa siku nzima sijaingia jf...!!!



Sent using Jamii Forums mobile app

Ahaha Enz hizo ilikua balaa binamu , umbea vichambo, dah na matola alijua kuchamba na alikua na maneno Makali sana, sijui zitarud zile Enz , maana ilikua balaa, nimewamis sana wanazengo wote uliowataja


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Maswali yangu ni kama ifuatavyo

Broo unamiaka mingapi? Je umeoa?
Je unamudu vipi mda wa kuendesha familia na kutafuta umbea?

Je unadhani umbea ni sahihi katika jamii Kama ndio kwanini na kama hapana ningependa nijuee kwa nini?

Je unadhani hao unaowaletea umbea wanapenda uwafanyie hvyo? Na kama hawapendi kwa nini ufanye hivyo?

Kaka hivi hizi habari unazipataga wapi we ni celebritie au mtu wao wakaribu? Au we sio lukole kweli umebadili I'd? Ushawahi shtukiziwa na hao unaowafichua?


Je unadhani umbea ni sahihi katika jamii


kama sio kwa nini unafanya hvyo Kama ndio kwa nini ni sahihi?


Je ungependa mwanao awe mmbea kama wewe?

Maswali ya nyongeza

Je serikali yetu ya awamu ya tano inabidi ifanye nini kukuza kilimo cha pamba?

Katika sekta yetu ya utalii unadhani serikali ifanye nini kuondoa tatizo la industry espionage?


Hivi mkuu ni kwa nini sisi kuna baadhi ya mazao tunalima lakini bado tunanunua products ya hayo mazaoo au hayo mazao kutoka nje mfano sukari?


Tukiangalia kweny biashara mkuu kwa nini demand ya products uwa inapanda pale ambapo price inashuka? Hivi hii ai affect inflation rate?

Mkuu ningependa kulima zao la ngano unaweza nielekeza nifanyaje na linalimwa vipi na condition zake?


Unaichukuliaje serikali awamu ya tano?

Nb: nijibu maswali yangu ya nyongeza hayo ya juu sipo interested nayo ila ukipenda unaweza ukayajibu

Ntashkuru Kama ntapata majibu yangu
GH

Sent using Jamii Forums mobile app

Sina ndoa ndugu


Mmh kama watu wangekua hawapedi umbea sidhani kama ningekua na wafuasi wengi kama nilivyokua nao

Yes nafahamiana na baadhi ya mastaa na kupitia marafiki wa mastaa Hao

Mimi sio maarufu wala sio juma lokole

Umbea ni burudani kama ilivyo burudani nyingine mf. Comedy na kadhalika.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
My binamu,nakupenda mnoo..toka enzi zile tunatukanwaaa!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]na matola kisa umbea!!!nammis,HOE,Heaven Sent,Tatiana,ladykims,dinazarde,Queen of Sheba,mrembo by nature n.k!!!

Alikua akichambwa Wema enzi zile [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]sisahau siku ile Lara peke yake sisi kama wote tunamchamba mange yeye anamtetea!!!Eeh Mungu wee!siku hizi nakaa siku nzima sijaingia jf...!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha nimekumbuka mbali siku hizi majukumu yameongezekaa unajua binam queen of sheba alikuwa mpole sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali yangu ni kama ifuatavyo

Broo unamiaka mingapi? Je umeoa?
Je unamudu vipi mda wa kuendesha familia na kutafuta umbea?

Je unadhani umbea ni sahihi katika jamii Kama ndio kwanini na kama hapana ningependa nijuee kwa nini?

Je unadhani hao unaowaletea umbea wanapenda uwafanyie hvyo? Na kama hawapendi kwa nini ufanye hivyo?

Kaka hivi hizi habari unazipataga wapi we ni celebritie au mtu wao wakaribu? Au we sio lukole kweli umebadili I'd? Ushawahi shtukiziwa na hao unaowafichua?


Je unadhani umbea ni sahihi katika jamii


kama sio kwa nini unafanya hvyo Kama ndio kwa nini ni sahihi?


Je ungependa mwanao awe mmbea kama wewe?

Maswali ya nyongeza

Je serikali yetu ya awamu ya tano inabidi ifanye nini kukuza kilimo cha pamba?

Katika sekta yetu ya utalii unadhani serikali ifanye nini kuondoa tatizo la industry espionage?


Hivi mkuu ni kwa nini sisi kuna baadhi ya mazao tunalima lakini bado tunanunua products ya hayo mazaoo au hayo mazao kutoka nje mfano sukari?


Tukiangalia kweny biashara mkuu kwa nini demand ya products uwa inapanda pale ambapo price inashuka? Hivi hii ai affect inflation rate?

Mkuu ningependa kulima zao la ngano unaweza nielekeza nifanyaje na linalimwa vipi na condition zake?


Unaichukuliaje serikali awamu ya tano?

Nb: nijibu maswali yangu ya nyongeza hayo ya juu sipo interested nayo ila ukipenda unaweza ukayajibu

Ntashkuru Kama ntapata majibu yangu
GH

Sent using Jamii Forums mobile app
He is she!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom