Chat with warumi

Chat with warumi

Ahaha Enz hizo ilikua balaa binamu , umbea vichambo, dah na matola alijua kuchamba na alikua na maneno Makali sana, sijui zitarud zile Enz , maana ilikua balaa, nimewamis sana wanazengo wote uliowataja


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaaahaaa!binamu nna PM zako siku nikisomaga nachekaaaaaa loooh!umbea huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa unakumbuka enzi za #bringbackourwarumi#
My binamu,nakupenda mnoo..toka enzi zile tunatukanwaaa!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]na matola kisa umbea!!!nammis,HOE,Heaven Sent,Tatiana,ladykims,dinazarde,Queen of Sheba,mrembo by nature n.k!!!

Alikua akichambwa Wema enzi zile [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]sisahau siku ile Lara peke yake sisi kama wote tunamchamba mange yeye anamtetea!!!Eeh Mungu wee!siku hizi nakaa siku nzima sijaingia jf...!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom