Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Hii ajachora mmiliki wa roli, hiyo ni company Logo ya Scania
😃😃😃
Malori Mengi ni kampuni ya Scania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ajachora mmiliki wa roli, hiyo ni company Logo ya Scania
Mkuu hiyo kwenye magari ni kama fashion, wapiga sticker wanaenda na trend.
Ni kama zile sticker za watoto wa chekechea kwenye cabin za Fuso hasa tandam.
Ndio, huwezi kuta hiyo picha kwenye Iveco,Benz,Daf,Denis Atkison ,Isuzu,Mitsubishi,Volkwagen,Howo,Beiben,Shacman,Howo😃😃😃
Malori Mengi ni kampuni ya Scania
View attachment 3216795View attachment 3216795
Hii ni company Logo ya Scania huwa wanaweka pale mbele na ubavuni gari za miaka ya karibuni huwa wanaichora kwenye cabin ya truck. Wa Sweden wanachora Simba nusu na Eagle kwa juu kuonyesha nguvu na ukali wa hao wanyama kama ishara ya ubora wa gari zao.
Man Diesel zenyewe Logo yake ni Mnyama simba akiwa anatembea
Hiyo ni logo ya kampuni ya kutengeneza magari SCANIA
Hii ajachora mmiliki wa roli, hiyo ni company Logo ya Scania
Hao wamechora kwa mapenzi yao binafsiSawasawa
Sasa vipi Yale ambayo sio kampuni Scania lakini wameweka hiyo sticker ambayo sio official
Ndio, huwezi kuta hiyo picha kwenye Iveco,Benz,Daf,Denis Atkison ,Isuzu,Mitsubishi,Volkwagen,Howo,Beiben,Shacman,Howo
Nikipata Muda nitataweka
Hao wamechora kwa mapenzi yao binafsi
Kwema Wakuu!
Kuanzia mwaka Juzi 2023 mwezi December, na mwaka Jana kukachanganya kuna ongezeko kubwa la Magari hasa malori ya Mafuta yakiwa na chata la Tai aliyevishwa Taji kichwani.
Kama utakuwa mdadisi unaweza kugundua Jambo hilo kwamba Kati ya malori matatu basi Lori Moja litakuwa na chata la Tai mwenye taji kichwani.
Sitaki kuwakosea Wakubwa kwa kusema mambo haya.
Acha niwaachie wakina Mshana Jr DR Mambo Jambo
Bujibuji Simba Nyamaume
Na wengineo wenye utaalamu na mambo ya Code, Siri, ishara na michoro.
Tunaomba ufafanuzi kwa Sababu najua lazima mtakuwa mmeliona Jambo hilo.
Je hiyo inamaanisha nini?
Kwa nini Jambo hilo limepata nguvu hasa mwaka Jana 2024 na Nina uhakika mwaka 2025 kila baada ya Lori Moja litakuwa na chata la Tai mwenye taji kichwani.
Nini maana yake. Je inaathari yoyote kwenye jamii?
Nawaachia Maiki
Karibuni
Mtibeli
Alama ya Tai & Maana ya Kiroho ya Kuona Tai
Tai anawakilisha uhuru, uaminifu, ukweli na Uungu. Na kujifunza juu ya ishara ya tai kunaweza kuunda dhamana thabiti kwa mwongozo wako wa roho.
Nitaendelea
Hii naona inatokana na uhodari wa tai kama ndege anaehesabika kama king kwenye viunga vyake kama alivyo simba.
Hivi bwana Robert sura ya kishetani umeijuaje kwamfano🤣Tai wa hood ni tai ndege asiye na mambo mengi Mkuu.
Tai wa kwenye malori hasa kwenye kichwa amevalishwa Taji lenye msalaba(au Alama ya jumlisha) alafu mengine ni Yale matai yenye sura za kishetani haswa
Ilikuwepo ila iliondoka na lori.Picha ipo wapi?
Kwa sababu Tai ni mmoja wa ndege warukao juu zaidi, Anachukuliwa kuwa Mkuu wa viumbe vyote vinavyoruka; hakika hii pia inamuunganisha tai na kipengele cha Hewa. Pia anatawala juu ya robo ya Mashariki ya uumbaji, ambayo inawakilisha upya na msimu wa kiangazi (kiroho nyakati za neema)Tunachukua notes Mkuu
Mkuu hii ni nembo ya scania