Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona waalimu mashulen na wao huwa wanatuuliza mambo wanayoyajua kwenye mitihaniMaswali mengine mnayoliuliza hilo dude mnalichosha tu, kitu unakijua sasa unauliza ili iweje ?
Je Google ama search engine yoyote ile inaijua T.I.S.S..??Hili dude limejaa uongo mtupu halina maana , baada ya kusema anayemiliki Tanzania ni Mohamed Dewj leo linatulisha Matango pori
USSR
View attachment 3114193
ndomana mnatekwa kizembe ,ungesoma ukaelewa usingeleta bandiko hiloTobias Andengenye hajawahi kuwa mkuu wa TISS
USSR
😂😂😂😂 khaaa.!!Wewe mwenyewe umeuliza " Who is the head of Tanzania Instistute os Secret Service"?
Garbage In Garbage Out.
Una muda wa kuchezeaChatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya
Kufika jioni likaniomba msamaha
Shenzi!!!
😂😂😂 haki nyie watu mnaniumiza mbavu.!Embu liulize Yanga itaifunga ngapi Simba tarehe 12
Mkuu wa Zimamoto. Yeye na yule Waziri mcheza ngoma walitolewa sababu ya kuagiza drones za kuzimia motoTobias Andengenye hajawahi kuwa mkuu wa TISS
USSR