Chato Airport ni kaa la moto lisilozimika kwa CCM na Magufuli. Sasa anaahidi kujenga Airport kama ya Chato kila anakopita...!

Chato Airport ni kaa la moto lisilozimika kwa CCM na Magufuli. Sasa anaahidi kujenga Airport kama ya Chato kila anakopita...!

Hii airport ipo umbali gani kutoka Chato, Katoro na Geita?

Kuna sehemu nimeona wanaiita geita airport
 
Swali la nyongeza ni lini mama nae ataanza kujenga international airport kijijini kwake Ili wakati wa ramdhani atue kule
 
Mitano tena 😜😜😜
Sasa hali si hali kambi ya mgombea Urais - CCM Mzee Pombe Magufuli.

Chato Airport ya kijijini na shambani kwake inamtesa yeye, inawatesa CCM wote maana haina utetezi wenye macho na akili watu wakaelewa.

Sasa kama kujifariji na kujidanganya, kila mahali anapopita anamwaga ahadi za kujenga Chato Airports kote kote.

Katoa ahadi ya kuwajengea Chato International Airport wana Njombe....!!

Katoa ahadi ya kuwajengea CHATO AIRPORT wana Kigoma...!!

Katoa ahadi ya kuwajengea nao CHATO AIRPORT wana Bukoba, Karangwe na kotekote anakopita....!!

Leo tena ahadi ni za kujenga CHATO AIRPORT ni za kumwaga kila mji na kijiji atakachopita.

Ukistaajabu ya Mussa, basi subiri uyaone ya Firauni. Huyu ndiye Magufuli bwana, msukuma jeuri asiyejali chochote....!!

Chato Airport kweli ni kaa la moto, halizimiki hata kuleta kikosi cha Zimamoto cha Ukonga...

Kuzimika kwake, ni mtu kufukuzwa atoke kwenye ofisi za umma, baaaaasi....
 
Hivo route za ATCL bado zinaenda Shuttle ? Au ndio wameamka na unafiki wao ? Matindi yuko wapi ??
 
Hii airport ipo umbali gani kutoka Chato, Katoro na Geita?

Kuna sehemu nimeona wanaiita geita airport
Chato - Geita 116km
Chato - Katoro 74km
Screenshot_20210525-044227.jpg
Screenshot_20210525-044339.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hali si hali kambi ya mgombea Urais - CCM Mzee Pombe Magufuli.

Chato Airport ya kijijini na shambani kwake inamtesa yeye, inawatesa CCM wote maana haina utetezi wenye macho na akili watu wakaelewa.

Sasa kama kujifariji na kujidanganya, kila mahali anapopita anamwaga ahadi za kujenga Chato Airports kote kote.

Katoa ahadi ya kuwajengea Chato International Airport wana Njombe....!!

Katoa ahadi ya kuwajengea CHATO AIRPORT wana Kigoma...!!

Katoa ahadi ya kuwajengea nao CHATO AIRPORT wana Bukoba, Karangwe na kotekote anakopita....!!

Leo tena ahadi ni za kujenga CHATO AIRPORT ni za kumwaga kila mji na kijiji atakachopita.

Ukistaajabu ya Mussa, basi subiri uyaone ya Firauni. Huyu ndiye Magufuli bwana, msukuma jeuri asiyejali chochote....!!

Chato Airport kweli ni kaa la moto, halizimiki hata kuleta kikosi cha Zimamoto cha Ukonga...

Kuzimika kwake, ni mtu kufukuzwa atoke kwenye ofisi za umma, baaaaasi....
Lisu alishasema tangu zamani huu uwanja utakuwa kama Badotile wa Mobuti kule kongo na yametimia pia kuhusu ndege ni hasara nayo yametimia
 
Back
Top Bottom