Ila Msata au Bagamoyo haikua Mkoa kipindi cha JK naamini hata Chato haitakua. JPM is smart hawezi sumbuka na vitu vidogo vidogoHakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha
Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda
Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi
Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
Bado tu mpaka leo?
Mikoa mingi imezaliwa kisiasa,this is not news,ingawa sio proper.Kugawa mkoa kunatakiwa kuwe out of need na kwa kutumia already laid out criteria.
Aiseeeeh....! yaani wanashindwa kuifanya ifakara kuwa mkoa ( mahenge, mwaya, ifakara, mtimbila) na inavigezo vyote, sijajua kwanini watu wa ifakara na mahenge hawatakiwi kupelekewa huduma jirani ila wana ng'ang'ana na sehemu nyingine tu
Duuuh....ila sio jibu sahihi hiliToeni Rais na nyinyi
Wait n seeIla Msata au Bagamoyo haikua Mkoa kipindi cha JK naamini hata Chato haitakua. JPM is smart hawezi sumbuka na vitu vidogo vidogo
I am waiting, the problem is to see this happening I don’t think it will. JPM is smart won’t let it happenWait n see
Sikubaliani na wewe, watumishi uongezeka, huduma za jamii kama maji, barabara, umeme,hospital/ vituo vya afya, polisi, Benki huongezeka, vyanzo vya mapato huongezeka.Mikoa na Wilaya nyingi sio chachu ya maendeleo hata Marekani kwa miaka nenda rudi wana majimbo 50 na wilaya 435 tu.
Kuongeza hayo siku zote ni kuwaongezea walipa kodi mzigo, hakuna manufaa yoyote wananchi wanayopata kutokana na wingi wa mikoa au wilaya.
Utasikia "Wajinga" wakisema eti ni kuwasogezea wananchi huduma karibu.!! Huduma gani? Wananchi hawana shida na DC au sijui RC bali wana shida na Maji, Afya, Elimu, Miundo mbinu na kuwezeshwa ktk kuboresha shughuli za kilimo. That's All, na hayo hayahitaji uongeze mikoa au wilaya eti ndio zipatikane.
Inayefikiria ktk kuongeza sijui mikoa/wilaya hana lolote ni akili ndogo tu.
Not that smart he is overrated.I am waiting, the problem is to see this happening I don’t think it will. JPM is smart won’t let it happen
mbona habari hii ya siku nyingi mkuu. Siyo mpya na kama ni wanakakonko basi wanalitambua hili kuliko udhaniavyo. Kufungua tawi la CRDB pale CHATO haikuwa bure. Kila mtu anajua kuwa JIWE yuko katika harakati zake..