OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakati anaapa alisema atailinda katiba,anailinda??????wabongo bana,kama mtu anafanya kinyume na katiba atashindwa kufanya mkoa ambao ipo ndani ya mamlaka kisheria?Siamini hii habari. JPM alisema katika kipindi chake hakutakuwa na mikoa mipya, wilaya mpya wala majimbo ya uchaguzi mapya. Kama hili linalosemwa ni kweli, sielewi JPM tutamweka kundi gani kuhusiana na yale anayoyatamka.
Kuna mengi ameenda kinyume. Kama na hili alilolisema mwenyewe akashindwa kulisimamia, sijui tutamwitaje!!!Wakati anaapa alisema atailinda katiba,anailinda??????wabongo bana,kama mtu anafanya kinyume na katiba atashindwa kufanya mkoa ambao ipo ndani ya mamlaka kisheria?
[emoji23] [emoji23] . Iwe kama Lesotho na Swaziland kwa South Africa.kwann isiwe jamhuri ya watu wa chato na wakamchukua mtu wao watuachie Tanzania yetu??? fanyeni hivyo bhana
Dunia ya sasa ni kama kijiji Kaka. Suala sio kuanzisha mikoa na mbwembwe zake na gharama zake za kisiasa. Suala ni kuimarisha MAWASILIANO. Miundombinu iwe mizuri. Tanzania hii ni jimbo moja la Marekani.Wewe unayeongelea Njombe, unafahamu mazingira yaliyokuwepo. Ukumbuke kuwa Njombe ilikuwa ni sehemu ya Iringa. Kutoka Njombe mpaka Iringa ni km 210, zaidi ya kutoka Mwanza mpaka Geita (~100km) na ni zaidi ya kutoka Mwanza mpaka Shinyanga (164km).
Mkoa wa Katavi, kutoka Sumbawanga mpaka Mpanda ni zaidi ya 200km. Lakini kutoka Chato mpaka Geita ni kama 100km tu. Huo ni umbali wa kawaida kwa wilaya nyingi kutoka makao makuu ya wilaya mpaka makao makuu ya mkoa.
Lakini ukumbuke pia kuwa Rais alisema katika kipindi chake hakutakuwa na uongezaji wa wilaya, mikoa au majimbo ya uchaguzi. Ndiyo maana siiamini hii taarifa.
Kwani tunagawa makabila mkuu?Bora angefanya kakonko , ngara na biharamulo , angalau makabira ya huko yanaendana
Isipokuwa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Msuya, Warioba na Kawawa hawakuzalisha mikoa sehemu wanazotoka. Hongera ila chato mpaka inakuwa mkoa itakuwa imejengeka sana. Uwanja wa ndege wa kisasa, stadium, traffic lights, bank kubwa imeshafungua tawi na hata bandari inaweza kuanzishwa soon. Congratulations Chato people under Mbunge wenuHakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha
Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda
Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi
Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
Arusha ile ilikuwa kubwa kuliko Morogoro.Ukubwa wa Arusha unafikia wa Morogoro? Kwanini mpaka Leo Moro haujagawanywa?
Unajua Idadi ya Wilaya za Mkoa Katavi
Nimecheka adi nimepaliwakwann isiwe jamhuri ya watu wa chato na wakamchukua mtu wao watuachie Tanzania yetu??? fanyeni hivyo bhana
Mfuatilie vizuri huyo jamaa utagundua kituKwani tunagawa makabila mkuu?
Hata mie niliwaza hivyo hivyo naona kuufanya mkoa tu hakutoshiIwe nchi kabisa na bendera yake!
Hata Njombe ilitokana na yule Katibu Mkuu Kiongozi awamu ya Jakaya.