Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha
Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda
Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi
Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
Huoni ungekuwa ukabila maana watu tungepigia kura wa kwetu tu.He he he he.
Naona Kiranja wa zamu kaamua aiseee.
Ila kila Rais anayeingia madarakani angeamua kufanya hivi kwao, Tanzania nzima ingekuwa Ulaya kwa sasa.
Yale mahela waliyoficha Uswisi yangetumika kujenga hata kwa ndugu zao huko wanakotoka, ingekuwa poa sana.
Unashabikia kwasababu una justify huu ukabila wenu kwa kutoa hizo reference mfu! Chuki mbaya sana mnazo mkuu daah! Nadhani kwa utaratibu huu, hata ile proud to be a Tanzanian ni mashaka sana. Halafu eti unatoa mfano wa mama Anna Mkapa! Akili zako za kiafrika typical! Tunazungumzia watu wanaotoa maamuzi yenye kuliathiri Taifa, wewe unaleta ngonjera za “eti Mpaka wanyama walikuwawa mchagga yuko ikulu”, akili gani hizo?Wapi nimeshabikia?
Kukumbushia Matukio ya Zamani no kushabikia?
Tangu tumerudisha Mfumo wa Vyama vingi Hakuna Uchaguzi ambao Mtu wa Kaskazin hajajaribu Kugombea Urais na Mungu kasaidia chaguzi zote wamepigwa chini
1995-2005 alipatikana tu First Lady lakin mpaka Wanyama walijua kuna Mchagga Ikulu
Umepigilia msumaliHakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha
Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda
Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi
Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
MhutuNitapita hapo kwenda bk lakini mmmm hakuna mkoa pale afu chato hakna waskuma uyu mtu alitokea wapi
Acha umaviii weweUnashabikia kwasababu una justify huu ukabila wenu kwa kutoa hizo reference mfu! Chuki mbaya sana mnazo mkuu daah! Nadhani kwa utaratibu huu, hata ile proud to be a Tanzanian ni mashaka sana. Halafu eti unatoa mfano wa mama Anna Mkapa! Akili zako za kiafrika typical! Tunazungumzia watu wanaotoa maamuzi yenye kuliathiri Taifa, wewe unaleta ngonjera za “eti Mpaka wanyama walikuwawa mchagga yuko ikulu”, akili gani hizo?
Nimekwambia anaset bad precedence, kwasababu tunachagua rais wa Tanzania na siyo wa Kabila wala jimbo au mkoa.
Mkuu huyo ni mswahili. Ana laana yake ya kuzaliwa nayo. Akili zao huishia kwenye vikopo vyao vya kuchambia baas!!Unashabikia kwasababu una justify huu ukabila wenu kwa kutoa hizo reference mfu! Chuki mbaya sana mnazo mkuu daah! Nadhani kwa utaratibu huu, hata ile proud to be a Tanzanian ni mashaka sana. Halafu eti unatoa mfano wa mama Anna Mkapa! Akili zako za kiafrika typical! Tunazungumzia watu wanaotoa maamuzi yenye kuliathiri Taifa, wewe unaleta ngonjera za “eti Mpaka wanyama walikuwawa mchagga yuko ikulu”, akili gani hizo?
Nimekwambia anaset bad precedence, kwasababu tunachagua rais wa Tanzania na siyo wa Kabila wala jimbo au mkoa.
Kamwambie maamako aache umavi. Stupid wahed!Acha umaviii wewe
Stupidity is justifying one on behalf of another. And surely u are stupid. God bless u in that way
Mkuu acha uchocheziIwe nchi kabisa na bendera yake!
Mpiga ramliMorogoro, Mkoa wa Ulanga unakuja muda si mrefu ukiwa na Wilaya za Ulanga, Kilombero ,Malinyi na Mlimba.
Makao makuu ya Mkoa Mahenge.
Mambo ya ukubwa wa Mkoa si hoja,hoja ni kuweka huduma za maendeleo karibu na wananchi,Kama ukubwa itakuwa na kaya nyingi tu.Ni mtaji wa wanasiaza kuigawa nchi kutoka ilipokuwa mikoa minane hadi sijui 30.Je ukizaa watoto wengi unatafuta baba mwingine awe baba yao?Jiulize Kenya ina mikoa mingapi?Issue ya Manyara na Arusha ni serious case na ilijadiliwa muda mrefu sana!! Arusha ilikua kubwa mno na mkapa ndiye alianzisha mchakato kwa kuunda tume na hatimaye kuja na mapendekezo ya kuugawanya