Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

Hakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha

Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda

Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi

Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao

Stupidity is justifying one on behalf of another. And surely u are stupid. God bless u in that way
 
He he he he.
Naona Kiranja wa zamu kaamua aiseee.

Ila kila Rais anayeingia madarakani angeamua kufanya hivi kwao, Tanzania nzima ingekuwa Ulaya kwa sasa.

Yale mahela waliyoficha Uswisi yangetumika kujenga hata kwa ndugu zao huko wanakotoka, ingekuwa poa sana.
Huoni ungekuwa ukabila maana watu tungepigia kura wa kwetu tu.
 
Wapi nimeshabikia?

Kukumbushia Matukio ya Zamani no kushabikia?

Tangu tumerudisha Mfumo wa Vyama vingi Hakuna Uchaguzi ambao Mtu wa Kaskazin hajajaribu Kugombea Urais na Mungu kasaidia chaguzi zote wamepigwa chini

1995-2005 alipatikana tu First Lady lakin mpaka Wanyama walijua kuna Mchagga Ikulu
Unashabikia kwasababu una justify huu ukabila wenu kwa kutoa hizo reference mfu! Chuki mbaya sana mnazo mkuu daah! Nadhani kwa utaratibu huu, hata ile proud to be a Tanzanian ni mashaka sana. Halafu eti unatoa mfano wa mama Anna Mkapa! Akili zako za kiafrika typical! Tunazungumzia watu wanaotoa maamuzi yenye kuliathiri Taifa, wewe unaleta ngonjera za “eti Mpaka wanyama walikuwawa mchagga yuko ikulu”, akili gani hizo?

Nimekwambia anaset bad precedence, kwasababu tunachagua rais wa Tanzania na siyo wa Kabila wala jimbo au mkoa.
 
Hakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha

Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda

Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi

Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
Umepigilia msumali
 
MHESHMIWA MAJALIWA, NI WAKAT SASA WA KUUGAWA MKOA WA LINDI, NI MKUBWA MNO, HYO CHATO INAINGIA HATA MARA 100..
 
Unashabikia kwasababu una justify huu ukabila wenu kwa kutoa hizo reference mfu! Chuki mbaya sana mnazo mkuu daah! Nadhani kwa utaratibu huu, hata ile proud to be a Tanzanian ni mashaka sana. Halafu eti unatoa mfano wa mama Anna Mkapa! Akili zako za kiafrika typical! Tunazungumzia watu wanaotoa maamuzi yenye kuliathiri Taifa, wewe unaleta ngonjera za “eti Mpaka wanyama walikuwawa mchagga yuko ikulu”, akili gani hizo?

Nimekwambia anaset bad precedence, kwasababu tunachagua rais wa Tanzania na siyo wa Kabila wala jimbo au mkoa.
Acha umaviii wewe
 
Unashabikia kwasababu una justify huu ukabila wenu kwa kutoa hizo reference mfu! Chuki mbaya sana mnazo mkuu daah! Nadhani kwa utaratibu huu, hata ile proud to be a Tanzanian ni mashaka sana. Halafu eti unatoa mfano wa mama Anna Mkapa! Akili zako za kiafrika typical! Tunazungumzia watu wanaotoa maamuzi yenye kuliathiri Taifa, wewe unaleta ngonjera za “eti Mpaka wanyama walikuwawa mchagga yuko ikulu”, akili gani hizo?

Nimekwambia anaset bad precedence, kwasababu tunachagua rais wa Tanzania na siyo wa Kabila wala jimbo au mkoa.
Mkuu huyo ni mswahili. Ana laana yake ya kuzaliwa nayo. Akili zao huishia kwenye vikopo vyao vya kuchambia baas!!

Kwao huamini ktk chuki ya walionacho!! Huamini watasimama kwa kuangusha wengine!! Ndio maana mpaka leo huamini wamebaki duni Shauri ya wengine. Zaidi ya zinaa na kwenda chooni hawawezi lingine.
 
HUWA NAJIULIZA KITU KIMOJA.

NCHI YETU RAIS AKIWA MCHAGA ITAKUWAJE?

Kwa sababu kwa Tanzania, ndyo kabila linaloongoza kwa unyumbani
 
Hakuna tatizo ndio nafasi nzuri ya kupeleka maendeleo kwa wananchi
 
Morogoro, Mkoa wa Ulanga unakuja muda si mrefu ukiwa na Wilaya za Ulanga, Kilombero ,Malinyi na Mlimba.
Makao makuu ya Mkoa Mahenge.
 
Na sisi wa tanga tunataka mkoa mpya ukiwa na wilaya za Handeni,Sogwe, Korogwe na Lushoto.. Tanga ibaki na Tanga ,Pangani, Muheza na Mkinga. Nchi kubwa hii wazee halafu haina uchama , ukabila na udini
 
Issue ya Manyara na Arusha ni serious case na ilijadiliwa muda mrefu sana!! Arusha ilikua kubwa mno na mkapa ndiye alianzisha mchakato kwa kuunda tume na hatimaye kuja na mapendekezo ya kuugawanya
Mambo ya ukubwa wa Mkoa si hoja,hoja ni kuweka huduma za maendeleo karibu na wananchi,Kama ukubwa itakuwa na kaya nyingi tu.Ni mtaji wa wanasiaza kuigawa nchi kutoka ilipokuwa mikoa minane hadi sijui 30.Je ukizaa watoto wengi unatafuta baba mwingine awe baba yao?Jiulize Kenya ina mikoa mingapi?
 
Siamini hii habari. JPM alisema katika kipindi chake hakutakuwa na mikoa mipya, wilaya mpya wala majimbo ya uchaguzi mapya. Kama hili linalosemwa ni kweli, sielewi JPM tutamweka kundi gani kuhusiana na yale anayoyatamka.
 
Back
Top Bottom