Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
na mimi siku nikiwa rais lazima BUTIAMA iwe MKOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss you charminglady long time no see!!Chatonia....
Pole Nyerere alikosea kupeleka watu wa labour force shule ona tunavyoaibikaHUWA NAJIULIZA KITU KIMOJA.
NCHI YETU RAIS AKIWA MCHAGA ITAKUWAJE?
Kwa sababu kwa Tanzania, ndyo kabila linaloongoza kwa unyumbani
Hahahaha chattle kuw kisiwa cha burudaniMkuu,soon fiesta itaanza kufanyikia Chattle!
Pole Nyerere alikosea kupeleka watu wa labour force shule ona tunavyoaibika
Jiwe ingependeza zaidiNapendekeza jina uitwe Chattle.
Mngeogopa maandamano?Mtajibebba awamu hii kwa staili ya kuvizia matukio mnazidi kuisha kama sabuni ya mche
Hata Njombe ilitokana na yule Katibu Mkuu Kiongozi awamu ya Jakaya.Hakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha
Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda
Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi
Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
Na li singidaHahahahaha! Jamani li morogoro hawalioni lilivyo kubwa waligawe?
Loo msalalee..
Naomba tuendelee kupongeza juhudi hizi ..
Yeye ni rais kweli kweli, jiwe..
Hahaa
Wewe unayeongelea Njombe, unafahamu mazingira yaliyokuwepo. Ukumbuke kuwa Njombe ilikuwa ni sehemu ya Iringa. Kutoka Njombe mpaka Iringa ni km 210, zaidi ya kutoka Mwanza mpaka Geita (~100km) na ni zaidi ya kutoka Mwanza mpaka Shinyanga (164km).Hata Njombe ilitokana na yule Katibu Mkuu Kiongozi awamu ya Jakaya.