Chato pajengwe Chuo Kikuu cha Afya kama MUHAS

Chato pajengwe Chuo Kikuu cha Afya kama MUHAS

Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.

Ka mwamshe ajenge sw
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Fully nonsense
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Butiama,na Lupaso Kuna hospitali Kama MIHAS? MATAGA bwana!!!
 
Naona mkuu umesahau kwa sasa zungumzia Zanzibar.
enzi ya Chattle imeisha
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Naona ulikua umelala sasa umeamka.

Kwa taarifa yako mfalme meko hayupo tena. Huo ujinga sahau.
 
Mwandiko kama wa Paskali Njaa...huu!

Kwakweli kwanini isiwe Kigoma au Katavi huko?? Hebu punguzeni mahaba jamani!
Pole navuruga mada,
Bora tuseme Zanzibar wajenge hospital na chuo kikubwa, coz kuna watu wengi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Mama samia sio mjinga kama wewe,chato itabaki kua pori la fisi n mataga
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Mpaka magufuli afufuke, agombee urais tena, ashinde ndio itafanyika hivyo.
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.

"Chuo cha nini wakati wasomi hawana faida yoyote kwa nchi kama wale wa darasa la saba?" - King Msukuma.
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Sawa
 
Hawa ndio wale wale waliojenga international airport chato
Sasa panzi ndio wanatua
Mnachezea kodi za wananchi
Ile hela ingemaliza shida ya madarasa nchi nzima
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Nafikiri Butiama pangefaa zaidi.
Mtoa hoja una ugonjwa wa kudeka.
 
Mataga katika rangi halisi, mlifurahia akina Ben Saanane kushughulikiwa! Sasa mshughulikiaji kashughulikiwa na Mungu mnaanza ujinga ujinga na upuuzi!

Stop adding insult to an injury.... hatujasahau, hatujasamehe!
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
CUHAS si bugando hii, yaan Catholic University Of Health And Allied Science
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
CUHAS - Catholic university of health & allied sciences, Bugando...
 
Wanabodi salaam.

sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.

Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.

Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.

Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
Kwa kweli kuna haja ya kutafuta matumizi bora ya miundo mbinu kama hiyo kuliko kuiacha ikiharibika bure, kama kutumika kama hospitali ya rufaa inapwaya! Raslimali za umma nyingi zimetumika pale, kwa kukurupuka au la lakini tusiziache zikapotea bure!
 
Back
Top Bottom